HAWA HAPA WASHINDI WA TUZO ZA HIP HOP 2013
Lema Amvaa Lowassa kwa Helikopta Monduli
Monduli. Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema jana aliongoza kampeni za Chadema za udiwani katika Kata ya Makuyuni, Wilaya ya Monduli kwa staili ya aina yake, akitumia helikopta huku ikidondosha vipeperushi vya mgombea wa chama hicho, Japhet Sironga.
Akizungumza katika kampeni hizo, Lema alisema: “Chama chetu kina uhakika wa ushindi kwani Sironga ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Ilboru, ana uwezo mkubwa kwa kuwa ni msomi.
Lowassa ndiye aliyepewa mikoba na CCM ya kumnadi mgombea wa chama hicho na Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wabunge wa chama hicho Mei 19, mwaka huu Mjini Dodoma alisema kiongozi huyo anatosha kukipa ushindi katika kata hiyo.
Lema alisema: “Makuyuni, hamna maji, hamna huduma za afya, hakuna barabara za vijiji, wafugaji ardhi yenu inaporwa sasa ukombozi wenu umefika kama mkimchagua msomi Sironga.”
Alimkabidhi mgombea huyo taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kumtaka kazi yake ya kwanza iwe kuibua ufisadi na kumfikishia bungeni ili kuiokoa Halmashauri ya Monduli.
Akizungumza katika kampeni hizo, Sironga alisema ameamua kuingia katika kinyang’anyiro hicho, ili kuokoa jamii ya Makuyuni na Monduli kutokana na shida zinazowakabili.
ADC Kigamboni
Chama cha ADC kimezindua kampeni ya nyumba kwa nyumba ya uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Mianzini, Kigamboni, Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Kigamboni, Mwenyekiti wa ADC Wilaya ya Temeke, Salum Sudi alisema kata hiyo inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwamo kero ya maji, barabara, elimu ya msingi na soko, hivyo wakipewa ridhaa hiyo kero hizo zitakwisha...
Nyongeza na Pamela Chilongola.
Mwananchi
Akizungumza katika kampeni hizo, Lema alisema: “Chama chetu kina uhakika wa ushindi kwani Sironga ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Ilboru, ana uwezo mkubwa kwa kuwa ni msomi.
Lowassa ndiye aliyepewa mikoba na CCM ya kumnadi mgombea wa chama hicho na Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wabunge wa chama hicho Mei 19, mwaka huu Mjini Dodoma alisema kiongozi huyo anatosha kukipa ushindi katika kata hiyo.
Lema alisema: “Makuyuni, hamna maji, hamna huduma za afya, hakuna barabara za vijiji, wafugaji ardhi yenu inaporwa sasa ukombozi wenu umefika kama mkimchagua msomi Sironga.”
Alimkabidhi mgombea huyo taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kumtaka kazi yake ya kwanza iwe kuibua ufisadi na kumfikishia bungeni ili kuiokoa Halmashauri ya Monduli.
Akizungumza katika kampeni hizo, Sironga alisema ameamua kuingia katika kinyang’anyiro hicho, ili kuokoa jamii ya Makuyuni na Monduli kutokana na shida zinazowakabili.
ADC Kigamboni
Chama cha ADC kimezindua kampeni ya nyumba kwa nyumba ya uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Mianzini, Kigamboni, Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Kigamboni, Mwenyekiti wa ADC Wilaya ya Temeke, Salum Sudi alisema kata hiyo inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwamo kero ya maji, barabara, elimu ya msingi na soko, hivyo wakipewa ridhaa hiyo kero hizo zitakwisha...
Nyongeza na Pamela Chilongola.
Mwananchi
SILAHA ZILIZOPATIKANA KWENYE FAINALI YA COPPA ITALIA KATI YA LAZIO VS AS ROMA
Fainali ya mwaka huu ya Coppa Italia kwa mara ya kwanza imezikutanisha timu kutoka Rome, Lazio vs AS Roma hivyo timu zote zikacheza kwenye uwanja wake wa nyumbani (Stadio Olimpico ambao unatumiwa na timu hizo zote). Kutokana na mechi hiyo kuhusisha timu zenye upinzani mkali tena zikigombania kombe mamalaka za usalama walihisi kungeweza kutokea vurugu kubwa hivyo wakaimarisha ulinzi mkubwa kwenye mji huo na viunga vyote vya uwanja wa Stdio Olimpico.
Kufuatiwa ulinzi huo Polisi jijini Roma walikamata silaha nyingi ambazo zingeweza kutoa uhai wa mashabiki ambao wenye upinzani mkali kutokana na mapenzi yao kwa vilabu hivyo viwili vya mji huo - ilipatikana mishale na visu ambazo vingeweza kuharibu mchezo huo wa kihistoria.
Mchezo huo ulifanyika kwa amani na mwishowe Lazio walifanikiwa kubeba kombe la Coppa Italia kwa kuwafunga Roma 1-0, likiwa kombe la 7 la Coppa na la kwanza tangu mwaka 2009.
Kufuatiwa ulinzi huo Polisi jijini Roma walikamata silaha nyingi ambazo zingeweza kutoa uhai wa mashabiki ambao wenye upinzani mkali kutokana na mapenzi yao kwa vilabu hivyo viwili vya mji huo - ilipatikana mishale na visu ambazo vingeweza kuharibu mchezo huo wa kihistoria.
Mchezo huo ulifanyika kwa amani na mwishowe Lazio walifanikiwa kubeba kombe la Coppa Italia kwa kuwafunga Roma 1-0, likiwa kombe la 7 la Coppa na la kwanza tangu mwaka 2009.
MACAULAY CULKIN OF HOME ALONE MOVIE, BEFORE AND AFTER

The Roma Gipsy Beggars of Park Lane: 30 Romanians Camp Out With Soiled Duvets and Cardboard Boxes in Exclusive London Street

Scene of squalor: Birds peck their way between the beggars sleeping rough in Park Lane - one of London's most expensive addresses

Sleeping it off: A Romanian uses duvets and a mattress to turn a park bench into a bed. 'We're waiting for your Government to give us jobs and somewhere to live,' says their leader

Rise and shine: The women prepare to spend the day begging for money and scavenging for food

First cigarette of the day: A gipsy lights up while another huddles in blankets among the camp's detritus
Bagged up: It is the women's job to put theduvets in plastic sacks to keep dry
*A group of 30 Romanians are camped out near Marble Arch in London
*Leader of Westminster Council says it's 'a source of absolute frustration'
*A group of 30 Romanians are camped out near Marble Arch in London
*Leader of Westminster Council says it's 'a source of absolute frustration'
Using a rusting pair of scissors to trim his greying beard, Vasile declares his love for the Queen.
‘It is the Queen who helps and protects her people,’ he says, brushing the hair clippings from the duvet under which he has been sleeping rough.
‘The Queen cares for her people — everyone knows that. That is why we came from Romania, so she can help us, too.’
The 52-year-old Roma gipsy is one of about 30 Romanians sleeping on a now grubby patch of grass on a central reservation in London’s Park Lane near Marble Arch.
The rag-tag encampment with rows of soiled duvets, battered suitcases and cardboard boxes is in stark contrast to the nearby luxury car showrooms and pristine Georgian terraces.
As the city comes to life shortly after dawn, bare feet are thrust into grimy trainers and flip-flops, and lighters flare as the first cigarettes of the day are sparked up.
The younger women are dispatched to get coffee from a café while the..
‘It is the Queen who helps and protects her people,’ he says, brushing the hair clippings from the duvet under which he has been sleeping rough.
‘The Queen cares for her people — everyone knows that. That is why we came from Romania, so she can help us, too.’
The 52-year-old Roma gipsy is one of about 30 Romanians sleeping on a now grubby patch of grass on a central reservation in London’s Park Lane near Marble Arch.
The rag-tag encampment with rows of soiled duvets, battered suitcases and cardboard boxes is in stark contrast to the nearby luxury car showrooms and pristine Georgian terraces.
As the city comes to life shortly after dawn, bare feet are thrust into grimy trainers and flip-flops, and lighters flare as the first cigarettes of the day are sparked up.
The younger women are dispatched to get coffee from a café while the..
Waziri Membe Aelezea Umuhimu wa AU Kwa Nchi za Afrika
Wakati nchi za Afrika zikiadhimisha miaka 50 tangu kuwepo kwa umoja wao Tanzania imesema uwepo wa umoja huo umekuwa ni nguzo muhimu ya ustawi wa mataifa ya afrika ambapo viongozi walipo madarakani wameingia kwa njia ya demokrasia.
Akizungumza na mabalozi na viongozi mbalimbali waliohudhuria maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dar es salaam ,waziri wa Mambo ya nje ya nchi Mh Bernard Membe amesema miaka ya nyuma Waafrika wengi walipoteza maisha kutokana na kuwepo kwa viongozi waliotaka madaraka kwa njia ya mtutu
Akizungumza na mabalozi na viongozi mbalimbali waliohudhuria maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dar es salaam ,waziri wa Mambo ya nje ya nchi Mh Bernard Membe amesema miaka ya nyuma Waafrika wengi walipoteza maisha kutokana na kuwepo kwa viongozi waliotaka madaraka kwa njia ya mtutu
Subscribe to:
Posts (Atom)

