Pages

PROFESSOR JAY AJIUNGA CHADEMA RASMI LEO. SUGU AMKABIDHI KADI YA CHADEMA..

CHADEMA
Msanii maarufu wa bongo flava Joseph Haule aka Proffesor Jay, leo hii amejiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kukabidhiwa kadi yake ya uanachama mjini Dodoma..
bongo flava Joseph Haule aka Proffesor Jay,

GARI YA POLISI YAKAMATWA NA BANGI

Tarakea, Rombo
Gari aina ya Toyota Landcruiser linalotumiwa na Mkuu wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Mkoa wa Arusha, lilikamatwa juzi mjini Moshi likiwa limesheheni magunia 18 ya bangi.
Habari za awali zilieleza kuwa gari hilo lilikamatwa juzi saa 4:00 usiku katika Mji mdogo wa Himo, Moshi Vijijini likisafirisha bangi hiyo kwenda Tarakea, Rombo.
Polisi wawili akiwamo dereva wa gari hilo wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Himo na gari lipo Makao Makuu ya FFU, Moshi.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz alithibitisha kukamatwa kwa askari hao: “Mchakato wa kuwafikisha mahakama ya kijeshi unaandaliwa. Bangi hiyo ilikuwa inapelekwa kwa mfanyabiashara mmoja huko Rombo na ndiye aliyewakodi.”
Hata hivyo, Kamanda Boaz alisema atatoa taarifa zaidi leo kwani uchunguzi bado unaendelea.

Bangi ilivyonaswa
Habari zimeeleza kuwa polisi waliokuwa doria waliliona gari hilo likitengenezwa na waliamua kuwauliza wenzao kulikoni? Wakajibiwa kuwa kuna kitu walikuwa wakirekebisha na lilikuwa ni tatizo dogo tu.
“Walipoulizwa kwani mnaelekea wapi wakasema wanapeleka mzigo wa bosi huko Tarakea mpakani na kwa taratibu zetu za kijeshi huwezi kuuliza ni bosi gani,” kilidokeza chanzo kimoja ndani ya polisi.
Hata hivyo, polisi hao wa doria walirudi katika gari yao ili waendelee na doria lakini...

ABDALLAH KITWARA ALONGA NA VIJIMAMBO

Iranian Authorities Hang Two 'Spies' Convicted of Working for U.S. and Israel

Hang Two 'Spies

Mohammad Heidari and Kourosh Ahmadi were hanged at dawn in Tehran
It is not known when they were arrested or where a trial took place
Iran had the second-highest rate of executions last year, killing 314 people
Iranian authorities have executed two men convicted of spying for Israel's Mossad and the American CIA spy agency, according to the country's state radio.
Mohammad Heidari, accused of passing security-related information and secrets to Mossad agents in exchange for money, and Kourosh Ahmadi, accused of gathering information for the CIA, were hanged at dawn, it said.
The sentence for their execution was handed down by Tehran's Revolutionary Court and confirmed by the country's Supreme Court.
Iran has hanged two men alleged to be spies for the US and Israel, according to state radio (file photo)
The report did not say when the pair were arrested nor when their trial took place.
Iran has in the past said it had successfully detected and dismantled spy networks operating inside the country.
Tehran accuses Israel and the U.S. of spying on its vital interests, particularly its nuclear program, which the West suspects is aimed at producing an atomic weapon.
Tehran denies the charge. It has blamed the assassinations of scientists associated with its disputed nuclear programme on Western spy agencies, especially Mossad. 
U.S. and IsraelThe men were hanged in the capital Tehran at dawn for allegedly passing secrets to Mossad and the CIA
The United States has denied any role in the killings. Israel has not commented.
Both Israel and the U.S have not ruled out a military option against Iran's nuclear facilities.
Last month, Amnesty International reported that Iran had 314 officially confirmed executions in 2012, the second highest behind China. It is feared that the actual total is much higher.

MTANGAZAJI WA CLOUDS FM AMEZIDI KUMCHAFUA MH. ZITTO KABWE

Baada ya kutangaza kumpiga chini Mh.Zitto Kabwe, Loveness Diva ameamua kumchokonoa tena kwa kumkejeli kuhusu uamuzi wake wa kugombea Urais.....
Zitto Kabwe, Loveness Diva
Zitto Kabwe, Loveness Diva

The Meaning of Rebellion, Uprising or Insurrection

Rebellion, Uprising or InsurrectionRebellion, uprising, or insurrection is a refusal of obedience or order.[1] It may, therefore, be seen as encompassing a range of behaviors aimed at destroying or taking over the position of an established authority such as a government, governor, president, political leader, or person in charge. On the one hand the forms of behaviour can include non-violent methods such as the (overlapping but not quite identical) phenomena of civil disobedience, civil resistance and nonviolent resistance. On the other hand it may encompass violent campaigns. Those who participate in rebellions, especially if they are armed rebellions, are known as "rebels".

Throughout history, many different groups that opposed their governments have been called rebels. Over 450 peasant revolts erupted in southwestern France between 1590 and 1715.[2] In the United States, the term was used for the Continentals by the British in the Revolutionary War, and for the Confederacy by the Union in the American Civil War. Most armed rebellions have not been against authority in general, but rather have sought to establish a new government in their place. For example, the Boxer Rebellion sought to implement a stronger government in China in place of the weak and divided government of the time. The Jacobite Risings (called "Jacobite Rebellions" by the government) attempted to restore the deposed Stuart kings to the thrones of England, Ireland and Scotland, rather than abolish the monarchy completely.
-Types of rebellion  ..Read more Wikipedia

Dj Qbert vs DJ Shiftee vs Rafiq on Traktor Scratch Pro 2

DMC Champs Qbert, Shiftee and Rafik performing on 4 turntables with just one Traktor Scratch Pro 2

M baba - Never Ever Give Up (Audio)

M baba - Never Ever Give Up

Yanga Yamlaza Simba 2 - 0


Mpira umemalizika, Young Africans 2 - 0 Simba SC
Kavumbagu ddk 4
Kiiza dkk 63
Dk 85 Nizar Khalfan anapiga shuti kali langoni kwa Simba lakini Kaseja anaokoa na kuumia. Simba 0-2 Yanga
Dk 76 SUB....! Simba imefanya mabadiliko ametoka Haruna Chanongo ameingia Ramadhan Singano 'Messi'
Dakika ya 75, Young Africans 1 - 0 Simba SC
Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
Dk 69 Sunzu wa Simba anamchezea faulo Mbuyu Twite wa Yanga. Mpira unasimama kwa muda ili Twite atibiwe.
Dakika ya 63, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la pili - Young Africans 2 - Simba SC
DK 60 Yanga wanaendelea kuongoza hapa dhidi ya Simba
Dk 47 SUB: Simba imefanya mabadiliko, ametoka Abdallah Seseme ameingia Felix Sunzu.
Dk 45 KIPINDI CHA PILI KIMEANZA!
Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Simba SC Dk 38 Simba inapata kona ya...

WajasiliaRhymes - Hajaongea na Mshua (Audio)

WajasiliaRhymes - Hajaongea na Mshua