Pages

Was Rapper Eminem Stabbed 4 Times In NYC??

Eminem Stabbed Don't click on links to purporting to offer surveillance video of Eminem being stabbed four times by a crazed fan. The story is false, the video doesn't exist, and the links actually redirect users to scam websites promising "free prizes" (which don't exist either) for completing an online survey.
Worse yet, users who comply with instructions to share said links via social media will suck their Facebook friends and Twitter followers into the scam as well. Don't do it!
An identical scam claiming Justin Bieber was the victim of a stabbing attack made the rounds in 2011. Even the photo was the same.
Tips & tricks:
How to Spot a Facebook Survey Scam

Watch Everything Wrong With Jurassic Park In 3 Minutes Or Less

VODACOM NA SAMSUNG WAZINDUA Samsung Galaxy S4.

Samsung Tanzania Meneja wa kampuni ya simu za Samsung nchini Kishor Kumar akiwaonyesha simu aina ya Samsung Galaxy S4 iliyosheheni teknolojia mbalimbali za kisasa ,Meneja uendeshaji wa maduka ya Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi (kulia) Meneja Mauzo na Usambazaji wa Samsung Sylvester Manyar na Meneja Masoko wa Vodacom Ibrahim Kingozi (kushoto) wakati wa uzinduzi wa simu hizo mpya ambapo wateja watakaonunua aina ya simu hizo watapata huduma ya bure ya Intaneti ya (5GB) kwa muda wa siku 30 ikiwa sambamba na waranti ya mwaka mmoja wa matengezo uzinduzi huo.ulifanyika katika duka la Vodacom lililopo eneo la Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Samsung Tanzania Country Manager, Kishor Kumar, illustrates the features of the new Samsung Galaxy S4 to Vodacom Tanzania Manager for Franchise and Operations, Elihuruma Ngowi (right), Samsung Tanzania Manager for Sales and Distribution, Sylvester Manyar and Vodacom Tanzania Post Paid and Enterprise Acquisition Manager, Ibrahim Kiongozi (left) during the launch of the device in Oysterbay, Dar es Salaam. Upon purchase of the Samsung Galaxy S4, customers will get free 5GB internet for 30 days when activated with Vodacom SIM card. The device also comes with 24 months of warranty that will cover any device feature malfunctions.
Ibrahim KingoziMeneja Uendeshaji wa Maduka ya Vodacom Tanzania,Bw.Elihuruma Ngowi,akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa simu za mkononi za Samsung Galax S4 ambazo zitapatikana kwenye maduka ya Vodacom,wanaoshuhudia kulia ni Meneja wa kampuni ya simu za Samsung nchini Kishor Kumar na kushoto ni Afisa Masoko wa Vodacom Ibrahim Kingozi. wateja watakaonunua aina ya simu hizo watapata huduma ya bure ya Intaneti ya (5GB) kwa muda wa siku 30 ikiwa sambamba na waranti ya mwaka mmoja wa matengezo uzinduzi huo.ulifanyika katika duka la Vodacom lililopo eneo la Oysterbay jijini Dar es Salaam.

BABA JONII KUTAMBULISHA BOONGE LA MIXTAPE KESHO KWA BIRTHDAY YAKE 16TH MAY

Adam Mchomvu a.k.a baba jonii Radio presenter clouds fm mwenye crown ya best presenter, anatarajia kutoa mixtape yenye ngoma kumi na nane alioshirikiana na wasanii mbali mbali kama Jose Mtambo, Banana Zorro, Illimatix, Cliff mitindo, G.nako, Niki wa 2, Babuu wa kitaa, TID, na wasanii wengine wengi kama zawadi kwa mashabiki wake ibaki kama kumbukumbu kwa kile anachokifanya hewani (on air) ... mixtape itaingia kitaani soon baada kupreview ngoma hizo ndani ya double XL (XXL) kuanzia saa tisa alasiri kwa hot 3 @ 3 ..... big up baba la baba!
BABAJONII MIXTAPE VOL 1

Ikulu Yamruka Profesa Lipumba Kuhusu Dai la Rais JK Kujiongezea Muda

Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba MWENYEKITI wa Chama cha CUF, Mheshimiwa Profesa Ibrahim Lipumba amekaririwa na Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatano, Mei 15, 2013 akisema kuwa “amenasa taarifa za siri za kuwepo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani”.
Katika habari hiyo iliyoandikwa chini ya kichwa cha habari, “Lipumba: Kuna njama za kumwongezea JK muda” Mheshimiwa Lipumba anadai kuwa Serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete “ itakaa madarakani hadi mwaka 2017” kwa sababu kuna“wasiwasi kuwa mchakato wa sasa wa kupata Katiba Mpya hautaweza kukamilika mwaka 2014.”

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, inapenda kufafanua kuwa taarifa hiyo ya Mheshimiwa Prof. Lipumba ni uzushi mtupu na ni upotoshaji usiokuwa na msingi. Rais Kikwete hafahamu kuwepo mipango hiyo.
Taarifa hiyo imedokeza kuwa itakuwa ni vyema kwa Mheshimiwa Lipumba kuisaidia jamii kusema nani anafanya mpango huo ili ukweli ujulikane.

Aidha, Mheshimiwa Rais anawasihi wanasiasa na Watanzania kwa ujumla kuacha tabia za uongo na uzushi na kuwapotezea muda Watanzania kufikiria mambo yasiyokuwepo.
Ukweli ni kwamba, kama ambavyo amesema mara nyingi, ni matarajio ya Rais Kikwete kuwa mchakato wa Katiba utakamilika mwaka 2014 na kuwezesha Uchaguzi Mkuu wa 2015 kufanyika chini ya Katiba Mpya kama inavyotarajiwa na kumpa nafasi ya kustaafu mwisho wa kipindi chake cha uongozi wa taifa letu.

MWANA FA AMELIPWA MILIONI 18 NDANI YA MIEZI MITATU KWENYE RINGBACK TONE

Mwana FA Kwa mujibu wa Mwana FA mwenyewe ambaye leo ameachia wimbo wake mpya, Kama Zamani, hivi karibuni alipokea malipo ya miezi mitatu kutoka kampuni moja ya kuuza miito ya simu aka RBT yanayofikia shilingi za kitanzania milioni 18.
 Akiongea leo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, FA aliyekuwa wa tatu kati ya wasanii waliopata fedha nyingi zaidi kwenye malipo hayo chini ya Rose Mhando na Diamond, amesema ameamua kuweka wazi hilo ili watu waondoe imani kuwa muziki wa hip hop hauuzi.
Mwana FA ambaye jina lake halisi ni Hamis Mwinjuma atakuwa na show yake aliyoipa jina, The Finest.

ASKOFU MKUU NORBERT MTEGA AMEKUBALIWA KUSTAAFU

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Songea, Norbert Mtega
Mtakatifu Francis, amekubali ombi la Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Songea, Norbert Mtega (68),pichani, kustaafu katika utume wa kuongoza jimbo hilo.Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Anthony Makunde, kutoka kwa Balozi wa Papa nchini, Askofu Mkuu Frascisco Padilla, ilieleza kuwa, Papa amekubali ombi hilo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, ombi la Askofu Mtega kwa Papa, lilitokana na kuwa na matatizo ya kiafya, hivyo kushindwa kuwahudumia waumini inavyopaswa. Hata hivyo, kikanisa ni siri ya mtu mwenye hadhi ya Askofu, anapoomba kwa Papa kustaafu.
“Baba Mtakatifu Francis amekubali ombi la Mhashamu Askofu Mkuu Norbert Mtega, kustaafu kutoka majukumu ya utawala wa kichungaji wa Jimbo Kuu la Songea, kwa sababu ya..

FA ft NJENJE,MANDOJO NA DOMOKAYA - KAMA ZAMANI (Audio)

FA ft NJENJE,MANDOJO NA DOMOKAYA - KAMA ZAMANI

Video ya Mazungmzo Kati ya Gadner,Linah na Barnaba Kuimba MIAKA 13 ya LADY JAYDEE

Kanye West's $750,000 Lamborghini is CRUSHED as it's Trapped by Girlfriend Kim Kardashian's Electric Gates

 Los Angeles
It's just not his month! Kanye West's $750,000 Lamborghini Aventador was seen being crushed by Kim Kardashian's electric gates as it was delivered to her Los Angeles house following a service on Tuesday
Kanye West's $750,000 Lamborghini
He's not been having the most successful of months.
And just days after his stumble into a New York street sign was caught on camera, Kanye West's stunning $750,000 Lamborghini has been crushed after getting trapped in Kim Kardashian's electric gates.
The matte black vehicle was being delivered back to Kanye's pregnant girlfriend's Los Angeles house by a driver following a service when the incident occurred.
 Kim Kardashian's Electric GatesTaking things too slow: The car could be seen heading into the property when the gates began to close
It hurts: Kanye clutched his head in pain as Kim tried to assess the damage while standing outside the restaurant Heavily pregnant Kim also looked on with deep concerned after her man hit his head, grabbing his arm, trying to coax him.
However, after going into the restaurant to nurse his wounds, Kanye did not calm down. Instead, the rapper came back out of the eatery and started yelling at a photographer.
Caught on video by TMZ Kayne screams: 'Don't take another photo man. All you stop it.'
Kanye looked equally grumpy as he left Kim's house on Saturday morning in Los Angeles sporting a giant protrusion just below his hairline.
The proud rapper strode manfully down the Manhattan sidewalks with his eyes fixed firmly ahead of him