Lipumba: Kuna Njama za Kumwongezea JK Muda
Profesa Lipumba alisema hiyo inatokana na wasiwasi kuwa mchakato wa Katiba Mpya hautaweza kukamilika mwaka 2014 hivyo kutokuwa rahisi kwa uchaguzi kufanyika mwaka 2015.
Akizungumza Dar es Salaam jana, wakati akifungua kikao cha Baraza Kuu la CUF, Profesa Lipumba alisema kuwa Serikali inataka kuongezewa muda wa kukaa madarakani kwa miaka miwili ikimaanisha kuwa Serikali ya Awamu ya Nne chini ya Rais Jakaya Kikwete itakaa madarakani hadi mwaka 2017.
Hata hivyo, madai hayo ya Profesa Lipumba yamepingwa vikali na Serikali na viongozi wake watatu waandamizi ambapo walijibu walipoulizwa kwa maandishi na mwandishi wetu mjini Dodoma wanakohudhuria kikao cha Bunge.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe alijibu: “Mchakato wa Katiba upo ‘on track’ (unakwenda vizuri) hatuna sababu ya kufanya hivyo.”
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alijibu” “Njooni ofisini kwangu nitasema ni...
MAGAZETI YA UDAKU HATARINI KUFUNGIWA , NI KUTOKA BUNGENI
MAGAZETI yanayochapisha picha zenye kukiuka maadili hususan za wanawake kwa kuwageuza malighafi ya kujiingizia kipato, yamemulikwa bungeni huku Serikali ikihojiwa sababu za kutoyachukulia hatua.
Mbunge wa Konde, Khatib Saidi Haji (CUF) alihoji hayo kwenye swali la nyongeza baada ya kujibiwa swali la msingi ambalo alitaka kufahamu ni aina gani ya makosa yanaweza kusababisha Serikali kuyafungia magazeti kama ilivyotokea kwa gazeti la Mwanahalisi.
Katika majibu ya msingi, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla alitaja sababu mbalimbali za kufungia magazeti hayo.
HabariLeo
Mbunge wa Konde, Khatib Saidi Haji (CUF) alihoji hayo kwenye swali la nyongeza baada ya kujibiwa swali la msingi ambalo alitaka kufahamu ni aina gani ya makosa yanaweza kusababisha Serikali kuyafungia magazeti kama ilivyotokea kwa gazeti la Mwanahalisi.
Katika majibu ya msingi, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla alitaja sababu mbalimbali za kufungia magazeti hayo.
HabariLeo
OMOTOLA JALADE JOINS HALLE BERRY AND OTHERS TO SUPPORT WOMEN WITH BREAST CANCER

The nationally acclaimed EIF Revlon Run/Walk For Women has touched the lives of millions of people by raising money to increase awareness, education, research, and diagnostic treatment services in the fight against women’s cancers.Created in 1994 by Lilly Tartikoff, Ronald O. Perelman and the Entertainment Industry Foundation, the EIF Revlon Run/Walks (Los Angeles & New York)


KICHAPO KWA RAIA WALIOKUWA WANAPINGA NYONGEZA YA POSHO ZA WABUNGE KENYA
Polisi nchini Kenya wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliokusanyika nje ya Majengo ya Bunge mjini Nairobi kupinga matakwa ya wabunge ya kutaka waongezewe mishahara yao.
Makundi ya kijamii yamesema kuwa, maandamano hayo yanaakisi hasira za Wakenya kuhusu wanasiasa ambao wanataka mishahara mikubwa baada ya kuchaguliwa katika uchaguzi wa Machi 4.
Waandamanaji waliwapa nguruwe hai damu kama nembo ya wabunge walafi, wanaojitakia makuu na wasiojali wananchi na ambao wanafyonza damu ya walipa kodi Kenya.
Hivi karibuni Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya alitoa wito kwa wabunge kutafakari kuhusu kuwahudumia wananchi badala ya kufikiria kujishughulisha na mkakati wa kujiongezea mishahara.
Rais Kenyatta amesema Kenya haiwezi kumudu
gharama kubwa za mishahara. Amesema huenda Kenya ikapoteza nafasi yake ya kiuchumi barani Afrika kutokana na bajeti kubwa ya mishahara.
Tume ya Mishahara Kenya SRC ilipunguza mishahara ya wabunge kutoka Shilingi 851,000 hadi 532,400 jambo ambalo limewakasirisha wabunge wapya.
Tume hiyo imeshikilia msimamo wake na kusema wabunge kamwe hawatapa nyongeza ya mishahara kwenye kipindi hiki kigumu katika uchumi wa Kenya.
Wabunge wa Kenya ni kati ya wabunge wanaopata mshahara mkubwa zaidi duniani.
Chanzo Idhaa ya Kiswahili ya Redio Tehran.
Makundi ya kijamii yamesema kuwa, maandamano hayo yanaakisi hasira za Wakenya kuhusu wanasiasa ambao wanataka mishahara mikubwa baada ya kuchaguliwa katika uchaguzi wa Machi 4.
Waandamanaji waliwapa nguruwe hai damu kama nembo ya wabunge walafi, wanaojitakia makuu na wasiojali wananchi na ambao wanafyonza damu ya walipa kodi Kenya.
Hivi karibuni Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya alitoa wito kwa wabunge kutafakari kuhusu kuwahudumia wananchi badala ya kufikiria kujishughulisha na mkakati wa kujiongezea mishahara.
Rais Kenyatta amesema Kenya haiwezi kumudu
gharama kubwa za mishahara. Amesema huenda Kenya ikapoteza nafasi yake ya kiuchumi barani Afrika kutokana na bajeti kubwa ya mishahara.
Tume ya Mishahara Kenya SRC ilipunguza mishahara ya wabunge kutoka Shilingi 851,000 hadi 532,400 jambo ambalo limewakasirisha wabunge wapya.
Tume hiyo imeshikilia msimamo wake na kusema wabunge kamwe hawatapa nyongeza ya mishahara kwenye kipindi hiki kigumu katika uchumi wa Kenya.
Wabunge wa Kenya ni kati ya wabunge wanaopata mshahara mkubwa zaidi duniani.
Chanzo Idhaa ya Kiswahili ya Redio Tehran.
HABARI NJEMA KWA WASANII WA TANZANIA

Waziri wa Viwanda na Biashara ameagiza mabadiliko ya kanuni katika Sheria ya Hakimiliki ili kuhakikisha kwamba wasanii wa muziki hapa nchini wanapata mapato stahiki katika biashara ya “Ring Back Tones” (RBT). Mirahaba katika biashara ya miito ya simu na matangazo ya televisheni na radio. Ni mapato muhimu sana kwa wasanii. Angalau sasa tunaona mwanga. Tutaendelea kuishinikiza serikali kulinda wasanii na hakimiliki zao. Kabwe Z. Zitto, Mb
Huyu Hapa Victor Ambrose Calist,Dereva wa Bodaboda Mtuhumiwa Namba Moja wa Kanisa la Arusha!!

Mtuhumiwa mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka 21 ya mauaji na kujaribu kuua.
Victor Ambrose Calist (20) ambaye ni dereva wa bodaboda na mkazi wa eneo la Kwa Mromboo jijini Arusha amesomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu mkazi, Devotha Kamuzora.
Mtuhumiwa huyo anakabiliwa na mashtaka matatu ya mauaji ya watu watatu waliofariki dunia katika tukio ambalo
lililotokea Mei 5, mwaka huu.
Mawakili wa serikali, Haruna Matagane na Zachariah Elisaria wanadai Calist pia anatuhumiwa kwa makosa 18 ya kujaribu kuua. Hata hivyo makosa mengine bado hayajatajwa..
Pia polisi imewaachia huru raia wanne wa kigeni waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuhusika katika tukio hilo baada ya uchunguzi uliofanywa na jeshi hilo kwa kushirikiana na FBI na polisi wa kimataifa (Interpol), kubaini hawakuhusika kurusha bomu katika kanisa hilo.
Kwa Hisani ya .
Victor Ambrose Calist (20) ambaye ni dereva wa bodaboda na mkazi wa eneo la Kwa Mromboo jijini Arusha amesomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu mkazi, Devotha Kamuzora.
Mtuhumiwa huyo anakabiliwa na mashtaka matatu ya mauaji ya watu watatu waliofariki dunia katika tukio ambalo
lililotokea Mei 5, mwaka huu.
Mawakili wa serikali, Haruna Matagane na Zachariah Elisaria wanadai Calist pia anatuhumiwa kwa makosa 18 ya kujaribu kuua. Hata hivyo makosa mengine bado hayajatajwa..
Pia polisi imewaachia huru raia wanne wa kigeni waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuhusika katika tukio hilo baada ya uchunguzi uliofanywa na jeshi hilo kwa kushirikiana na FBI na polisi wa kimataifa (Interpol), kubaini hawakuhusika kurusha bomu katika kanisa hilo.
Kwa Hisani ya .
WINNIE MANDELA ORDERED TO SELL HER POSSESSIONS TO PAY DEBT

Household goods belonging to the once revered anti-apartheid campaigner and ex-wife of Nelson Mandela, will go under the hammer next Tuesday to cover fees she owes to an upmarket Johannesburg private school, according to the order released by a Soweto sheriff.
A dining table set, 50 paintings, sculptures and a “room with books” are listed in the sale.
Madikizela-Mandela owes the school around 40,000 rand (Sh363,000) in accommodation fees for a family member, the Sowetan newspaper reported.
She earns around 900,000 rand (Sh8.1 million) a year as a member of South Africa’s parliament.
Mandela married Winnie five years before he was jailed for sabotage during his opposition to apartheid in 1963. The pair separated shortly before he became the country’s first black president after the end of minority rule in 1994. Mandela married Graca Machel, widow of Mozambican president Samora Machel, in 1998.
Controversy has followed Madikizela-Mandela closely in recent years.
She was convicted a decade ago for using her position as the ruling African National Congress women’s league leader to defraud a bank.
In March this year investigators said they were probing the “Mother of the Nation” for the murder of two men she accused of being apartheid spies in the 1980s.
Source: The Raw Story
Three Little Birds | Bob Marley | LEGEND REMIXED (Video)
The fourth track on the album, "Three Little Birds," was remixed by Stephen Marley and DJ/producer Jason Bentley. This iconic Marley track will serve as the worry-free anthem for Hyundai's new Assurance Connected Care program, a new suite of features that allows drivers to feel safe and secure and enjoy a stress-free ownership experience. Prior to its television debut, "Three Little Birds" will be available starting May 14 for free download to the first 15,000 fans through Hyundai's Facebook and YouTube channels and also available for sale through all digital retailers.
Subscribe to:
Posts (Atom)