Pages

Lwakatare, Ludovick Wafutiwa Mashitaka ya Ugaidi

Lwakatare, Ludovick Wafutiwa Mashitaka ya Ugaidi  
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashitaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanawakabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare na mwenziye Ludovick Joseph.Taarifa zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la kula njama ya kuteka na kudhuru, kosa ambalo kimsingi ni la jinai na lenye dhamana.
Taarifa zaidi zinasema kuwa watuhumiwa wamerudishwa rumande kwa kuwa dhamana haikuwa imeandaliwa.
Katika kesi hii, Lwakatare anawakilishwa na jopo la mawakili watano ambao ni Mabere Marando, Tundu Lissu, Prof. Abdallah Safari, Peter Kibatala na Nyaronyo Kicheere.

Beyonce Launches Online Shop

Beyonce Launches Online Shop Mrs. Carter is introducing her latest business venture, an online store. This shop has both woman and men wear. Her main features are the portrait graphic t-shirts and not to mention the price is quite affordable, averaging $45. If for some silly reason the t-shirts weren’t fab enough she carries baseball caps, personalized logo totes, and Mrs. Carter World Tour programs.

So if you can’t make it to the Mrs. Carter World Tour aka The Concert of the Century at least you can snag you a stylish hat and tee and that should help some.

Visit the site world.shop.beyonce.com

P-Funk Majani Amefunguka Kuhusu Lady JayDee

Lady JayDee
Producer mwenye historia kubwa na ya kipekee katika muziki wa Bongo Fleva P-Funk Majani ameonesha kumuunga mkono Lady JayDee na kwamba anadhani ni muda sasa wengine wakafuata nyayo zake, yeye mwenyewe majani amemhakikishia Jide kuwa yuko nae “Count Me in”.

Ameongeza kuwa endapo wasanii na watayarishaji wa muziki wakiungana hakuna kitakachowazua isipokuwa Mungu.

Rihanna's 777 DVD Extended Preview on Fox - Complete


Mahojiano na Dj Joe CatDaddy wa 93.9FM WKYS Washington DC

Karibu katika mahojiano kati ya Jamii Production na mmoja kati ya maDj waTanzania ambao kwa zaidi ya muongo mmoja amekuwa akifanya kazi katika kituo kinachoongoza kwa burudani katika maeneo ya Washington DC cha Kiss Fm (93.9 FM WKYS).
Katika mahojiano haya, Dj Joe anaeleza mengi

Kijiwe cha Ughaibuni (Video)

Suma Lee -Wanasema (Audio)

Suma Lee -Wanasema

Katuni ya Leo

Katuni

Sweat Dawg feat AlvinDad On Fire (Video)

Sweat Dawg from the HIPOZ MEN Grouup featuring his son Alvin,DAD ON FIRE

The PlayList With Izzo Buzness (Audio)

The PlayList With Izzo Buzness