Pages

White House Press Briefing

White House Press Briefings are conducted most weekdays from the James S. Brady Press Briefing Room in the West Wing.

VICTOR AMBROSE NDIYE ALIRUSHA BOMU KANISANI...! SOMA RIPOTI YA LEO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitmr1817OAPI8nZwUeJUybKt67HcyDokulVqhnaCozBYx211jbu_UidEibjonDv63oBkIcF6qMpY5V52pVnSmzPo3J6FlAxMPc_lCRoWrrsptk5e8nFNB25zJx7cBU837grCfi6ifzXDEe/s1600/12.jpg
DEREVA wa pikipiki maarufu kama bodaboda, Victor Ambrose, anatuhumiwa kurusha bomu katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti jijini Arusha, lililosababisha vifo vya watu wawili na wengine karibu 70 kujeruhiwa.
Ambrose mwenye umri wa miaka 20 na mkazi wa Kwa Mrombo, Arusha, anashikiliwa pamoja na watuhumiwa wengine tisa, wakiwemo raia wanne wa Saudi Arabia kwa mahojiano zaidi ya kuhusika na tukio hilo.

Taarifa zilizopatikana jana jioni, zilieleza kuwa raia hao wa Saudi Arabia, waliingia nchini Jumamosi usiku kwa ndege kupitia Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), na baada ya tukio Jumapili, waliondoka nchini kupitia mpaka wa Tanzania na Kenya, Namanga.
Serikali kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi, ilitoa taarifa hiyo jana bungeni na kueleza namna uhalifu huo ulivyotendeka kanisani hapo juzi, muda mfupi baada ya ibada kuanza.

Kwa mujibu wa Waziri Nchimbi, uchunguzi wa awali unaonesha kuwa mlipuko huo ni bomu. Hata hivyo uchunguzi wa kubaini aina ya bomu lililotumika, unaendelea kufanywa na Polisi na wataalamu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). “Hadi sasa watuhumiwa sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi. Miongoni mwao ni Victor Ambrose mwenye umri wa miaka 20 dereva wa bodaboda...ambaye anatuhumiwa kurusha bomu hilo. “Watuhumiwa wengine watano waliokamatwa ni..

Shock as Man Rapes Woman on Moving Bus

Rio de
Police in Brazil are looking for a man who raped a woman on a moving Rio de Janeiro bus.
Witnesses say the armed man ran away after a busing the woman for about 30 minutes, and robbing other passengers.
The crime has shocked the country, becoming a topic of discussion on social media.
The rape of a tourist in late March had already raised concerns about security ahead of the football World Cup next year and the Olympics in 2016.

Days later, seven people died as a packed bus crashed off a bridge following an alleged argument between the driver and a passenger.
After these episodes, Rio de Janeiro's mayor, Eduardo Paes, vowed to tighten security and checks on public transport.

But Friday afternoon's attack comes as a fresh blow, correspondents say.
Witnesses told the authorities the assailant took a group of about 10 passengers to the front of the vehicle, telling the driver to keep on driving.
After taking their belongings, the man is said to have hit a 30-year-old woman with his gun before raping her.
The man, who witnesses said appeared to be under the influence of drugs, then got off the bus and ran across a busy motorway.

Kim Kardashian in Floral Horror Dress

Kim and Kanye The pregnant reality star poured her baby curves into the high-necked printed gown – which even covered her hands thanks to some sewn-in gloves.
But far from looking blooming the mum-to-be was an example of how not to do it.
Even her strappy sandals echoed the fabric of the gown, which exposed a flash of leg thanks to a thigh-high split.

Styled to the fingertips ... dress came with glove-sleeves
The 32-year-old chose the custom-made Givenchy gown despite a “punk” theme at the ball in New York last night.
And reports revealed she had to have it altered after gaining more weight than expected.
A source told a magazine: “She’s gained a lot of weight in her arms and her stylist has told her she should not show them off.
“So her dress now has sleeves when it was sleeveless before.”
Kim Kardashian
Head to toe in flower fabric ... even Kim's sandals had the same pattern as dress
But Kim’s boyfriend Kanye West, who donned a dinner suit minus the bow tie last night, was reportedly annoyed she had the dress altered.
The insider added: “Kanye is annoyed, as the dress is by his best friend Riccardo Tisci at Givenchy, and he feels embarrassed that Kim is messing with a beautiful piece of art.”

Video ya Chidi Benzino Akichezea Kichapo Maisha Club Dar kutoka kwa Kalapina

GNLD Customers Now to Pay for Products Through M-Pesa

Vodacom Tanzania and GNLD Tanzania have signed a deal to enable people pay for GNLD products through M-PESA.
Vodacom Tanzania Corporate Communications Manager, Rukia Mtingwa
Vodacom Tanzania Corporate Communications Manager, Rukia Mtingwa (left) shows the steps to be used when purchasing GNLD products through M-Pesa. Vodacom Tanzania has entered into a partnership with GNLD that will see GNLD customers pay for products through M-Pesa.
Vodacom Tanzania Corporate Communications Manager, Rukia Mtingwa, said in the statement issued in Dar es Salaam individuals willing to pay for GNLD products did not need to carry money around for safety reasons.

“M-Pesa is a service that is safe and fast. With this partnership, you will not need to carry around money. All you need to do is make use of M-Pesa to make the payments,” says Mtingwa.
On his part, GNLD Tanzania Country Manager, Daniel Mutiso, says that GNLD would maintain the highest level of quality in order to promote good health for everyone as well as provide opportunities to earn extra income.

“This partnership is the first of its kind in this market. We are happy to launch it today because it shall go a long way in helping everyone in this country,” says Mutiso.
Mobile money transfer service, M-Pesa, continues to spread its wings to various sectors of the economy, a move that is aimed at easing the lives of Tanzanians across the country. On Monday, M-Pesa has entered into a partnership with GNLD Tanzania in a deal that will see individuals pay for GNLD products through the service.

Lauryn Hill Gets 3 Months for Failing to Pay Taxes

Lauryn Hill
NEWARK, N.J. (AP) — Grammy-winning singer Lauryn Hill stood in federal court Monday and compared her experience in the music business to the slavery her ancestors endured before a judge sentenced her to three months in prison for failing to pay about $1 million in taxes over the past decade.

"I am a child of former slaves who had a system imposed on them," Hill said before U.S. Magistrate Madeline Cox Arleo. "I had an economic system imposed on me."

Hill, who started singing with the Fugees as a teenager in the 1990s before releasing her multiplatinum 1998 album "The Miseducation of Lauryn Hill," pleaded guilty last year to failing to pay taxes on more than $1.8 million earned from 2005 to 2007. Monday's sentencing also took into account unpaid state and federal taxes in 2008 and 2009 that brought the total earnings to about $2.3 million.
Despite having paid more than..

Levysill - Kijani (Audio)

Levysill - Kijani

Picha za Shoo ya Diamond Iliyopondwa Hizi Hapa!

 Shoo ya Diamond 
  Shoo ya Diamond
 Shoo ya Diamond
 Shoo ya Diamond
 Shoo ya Diamond
 Shoo ya Diamond

CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU) CHATOA UNAFUU KWA WANAFUNZI WA KITANZANIA WATAKAOJIUNGA NA CHUO HICHO

CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Mkuu wa chuo akikielezea chuo hicho wakati wa maafali ya chuo yaliyofanyika Jumapili May 5, 2013 Fairfax Virginia nchini Marekani
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Wahadhili wa chuo pamoja na mgeni rasmi katika picha
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Mhadhili akitoa cheti kwa mmoja ya wahitimu wa chuo hicho kwenye maafali yaliyofanyika Jumapili May 5, 2013 Fairfax Virginia.
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Baadhi ya wanafunzi Watanzania wanaosoma chuo hicho Kutoka kushoto ni Alex John Luketa(student recruitment and marketing assistant in Virginia international University ),anaefuata Veronica N Magacha ,Cathereen Virginia Minja, Rehema Waziri ,Winfrida Josephat na Jose Fabian

Bendera ya Tanzania inayowawakilisha wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma chuo hicho cha Virginia International University. ikipitishwa mbele na mwanafunzi wa ...