
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU) CHATOA UNAFUU KWA WANAFUNZI WA KITANZANIA WATAKAOJIUNGA NA CHUO HICHO
Mkuu wa chuo akikielezea chuo hicho wakati wa maafali ya chuo yaliyofanyika Jumapili May 5, 2013 Fairfax Virginia nchini Marekani
Wahadhili wa chuo pamoja na mgeni rasmi katika picha
Mhadhili akitoa cheti kwa mmoja ya wahitimu wa chuo hicho kwenye maafali yaliyofanyika Jumapili May 5, 2013 Fairfax Virginia.
Baadhi ya wanafunzi Watanzania wanaosoma chuo hicho Kutoka kushoto ni Alex John Luketa(student recruitment and marketing assistant in Virginia international University ),anaefuata Veronica N Magacha ,Cathereen Virginia Minja, Rehema Waziri ,Winfrida Josephat na Jose Fabian
Bendera ya Tanzania inayowawakilisha wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma chuo hicho cha Virginia International University. ikipitishwa mbele na mwanafunzi wa ...
Tweets za Mchezaji wa Chelsea Adam Nditi Akiiponda Show ya Diamond Uingereza
Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz kwa wiki kadhaa sasa amekuwa nchini Uingereza akifanya maonyesho yake ya kimuziki, usiku wa jana jijini London alikuwa akifanya show na mmoja ya wahudhuriaji alikuwa mchezaji wa kikosi cha pili cha Chelsea Adam Nditi ambaye ni mzaliwa wa Tanzania Visiwani. Kwa mujibu wa tweets za Adam Nditi amesema hakupenda hata kidogo kitendo alichofanya Diamond katika show yake kwa kufanya show mbovu ambayo ilichelewa kuanza baada ya msanii kuingia ukumbini asubuhi badala muda halisi uliopangwa.
Dramatic footage: Vintage Stunt Plane Crashes Outside Madrid at Aerobatics Show
An air show featuring aerial acrobatics and vintage aircraft has ended
in tragedy near Madrid as a stunt plane crashed into buildings. A pilot
sustained severe injuries and reportedly died in hospital
Subscribe to:
Posts (Atom)