Pages

Kibanda Akiwa Katika Matibabu Ya Jicho Lake Lililotobolewa na Majambazi

Kibanda
Hivi ndivyo ilivyokuwa hospitalini leo wakati daktari wa jicho aliyedhaminiwa na hospitali ya Milpark alipokuwa akinichunguza jicho lililoharibiwa wakati wa shambulio usiku wa kuamkiia Machi 6 mwaka huu. Hapa ni Johannesburg, Afrika Kusini ninakoendelea na matibabu.

Uchafu wa Vimini ktk Filamu za Bongo Sasa Umepigwa STOP!!! Ole Wako Uendelee!

Utamaduni na Michezo chini ya Waziri Fenella Mukangara.
TAARIFA iliyotua hivi karibuni inaeleza kuwa, mavazi yasiyo ya heshima vikiwemo vimini yamepigwa marukuvaliwa na wasanii kwenye filamu wanazorekodi na yoyote atayekiuka atakiona cha mtemakuni.
Chanzo chetu makini kilichoomba hifadhi ya jina lake, kimeeleza kuwa waliotoa agizo hilo ni Serikali ya Tanzania kupitia Bodi ya Filamu lengo likiwa ni kuhakikisha maadili ya taifa yanazingatiwa.
Ikaelezwa kuwa hatua hiyo imekuja kufuatia uwepo wa filamu nyingi mtaani ambazo wasanii wanaoshiriki huvaa mavazi yasiyo ya heshima, mazingira yanayoiharibu jamii.
“Kama wanavyosema vijana huko mtaani kwamba kimenuka na kweli kimenuka! Sasa hivi vimini ‘no’ kwenye filamu, bodi ya filamu imeona ilivalie njuga suala hili ili kulinda maadili ya taifa,” kilieleza chanzo hicho.
Katika kujua ukweli wa jambo hili, mwandishi wetu alimtafuta Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba ambaye alikiri kuwepo kwa utaratibu mpya wa Bodi ya Filamu wa kuzipitia filamu zinazoingia mtaani na kwamba zinazokiuka maadili zinafungiwa.
Mwakifwamba alisema ni kweli mavazi ya nusu utupu hayataruhusiwa tena kuonekana kwenye filamu kama ilivyokuwa huko nyuma na wale watakaojifanya vichwa ngumu watashughulikiwa.
“Sasa hivi kuna sheria mpya kabisa, hakuna kuvaa nguo zisizo za maadili na ukikiuka basi filamu yako haioneshwi au kama unaweza urudie na kuondoa vipande vilivyoharibu filamu hiyo,” alisema Mwakifwamba huku kukiwa na maelezo kuwa, hilo pia litasimamiwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo chini ya Waziri Fenella Mukangara.

Atupwa Jela Miezi 6 Baada ya Uchangudoa, Mchumba Wake Amwaga Machozi Hadharani

changudoa,
MREMBO Brandina Barthon (24), Jumatatu iliyopita alihukumiwa kwenda jela miezi 6 baada ya kupatikana na hatia kwenye kesi ya ukahaba iliyokuwa ikimkabili katika Mahakama ya Sokoine Drive (Jiji) jijini Dar.
Brandina alisomewa hukumu hiyo na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, William Mutaki ambaye alisema kutokana na ushahidi uliothibitika, mahakama hiyo inamhukumu kwenda jela miezi 6, ili liwe fundisho kwa wengine.
Hukumu hiyo ilimfanya mrembo huyo kuchanganyikiwa na kuangua kilio lakini mheshimiwa hakimu aliamua kukazia hukumu yake bila ya kupepesa macho. Wakati mwanamke huyo akiangua kilio, afande wa Jeshi la Magereza alimfikia na kumchukua kwa ajili ya kumpeleka kwenye Karandinga kuelekea Gereza la Segerea kuanza maisha ya jela.
Mbali na Brandina, mwanaume aliyedaiwa kuwa ni mpenzi wa mtuhumiwa huyo aliyekuwa akifuatilia kesi hiyo naye alimwaga machozi baada ya kutolewa hukumu hiyo.

BREAKING NEWS ya Matokeo ya Kidato cha Nne!!

Mdau ameripoti kua: MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YAFUTWA........................ YATASAHIHISHWA UPYA;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;; KWA WALE MNAO-APPEAL KUWENI MAKINI----INATOKEA BUNGENI MUDA HUU!!
      Ni habari ambazo bado hatuna uhakikanazo, tunaahidi kufatilia na kukujulisha ASAP 

Video ya Semina ya Kili Iliowashirikisha Wasanii Mbalimbali

Morgan Freeman Reads "I Hit It First" by Ray J

Welcome to Morgan Freeman's poetry corner. Today, he will be reading lyrics to Ray J's "I Hit it First."

Council Orders Homeowner to Repaint Her Pretty Because it's TOO PINK

Council
Ann Kennedy is upset after officers knocked on her door to say she should have applied for planning permission to paint her Grade II listed thatched cottage in the idyllic Devon countryside (right). Mrs Kennedy and her husband Mark say the cottage is exactly the same colour as it was when they bought it (bottom left). However, the couple claim that Teignbridge District Council in Devon have threatened legal action after a complaint from just ONE member of the public about the colour of Lantern Cottage.

Ni Beyonce and Jay Z in Tanzania

Beyonce and Jay Z

Gadna G Habash Afunguka Juu Ya Wosia Wa Lady Jay Dee

Gadna G Habash
Leo nilipata nafasi ya kuzingumza na Gadan G Habash ambaye ni Meneja na Mume wa Mwanamuziki maarufu nchin Lady Jay Dee, sote tunafahamu juu ya maneno aliyoyasema Lady Jay Dee kama ni Wosia wake.

Kupitia kipindi cha The Takeover kinachorushwa na kituo cha TBC fm haya ndio yalikuwa majibu ya maswali niliyomuuliza Gada G;
Ipi ni Kauli yako juu ya Wosia wa Lady Jay Dee...?

Gadna G: Ni maneno ambayo yametoka moyoni mwake na ni maneno mbayo anajitetea kama msanii, mimi kama Meneja ukiacha pia kama mke wangu naendelea kumsapot kwa kile ambacho anaona ni sawa, basi mimi nitaendelea kumsaport na kujaribu kuzungumza na Lady Jay Dee, mara nyingi anasema tu kwamba watu wasifikilie ni swala la wimbo kupigwa au kutokupigwa, hayo ni mambo ya kawaida lakini wafikirie tu kwamba huyu mtu anaongea kutokana experience yake aliyokuwa nayo na wale watu.
Baada ya mwaka 2003 kuacha kufanya kazi kwenye management yao ya Smooth Vibe, yalitokea mambo mengi hapa katikati ila hakusema lakini siku za hivi siku za karibuni kuna mengine ambayo yametokea, ndio akaona hapana nisipo sema nitazidi kukandamizwa na matokeo yake nitakufa kisabuni.

Hii ni kama vita mmejipangaje..?
Gadna G: Unapoamua kusema ukweli swala la kujipanga mara mbili huwa halipo, ni kwamba unasema ukweli watu wasikie naukizungumzia uhasama watu watauliza juu ya uhasama lakini ulikuwepo tayari kwahiyo tu watu wanajua kwa sasa kwa kuwa jdee ameamuwa kuongea lakini...

Paka Mwanga Apatikana Mombasa, Tazama Video