Pages

Mambo Matatu Aliyohojiwa Lema Polisi

Lema Polisi Arusha: Kushikiliwa kwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema kumeendelea kuibua sokomoko baina ya polisi kwa upande mmoja na wafuasi wa Chadema na familia yake kwa upande mwingine.

Arusha. Lema aliyekamatwa usiku wa manane kuamkia
Ijumaa wiki hii, alihojiwa kwa saa tatu mfululizo katika Kituo Kikuu cha Polisi, Arusha lakini alinyimwa dhamana kwa maelezo kwamba kuachiwa kwake kungehatarisha amani.

Akizungumza na gazeti hili kabla ya kujisalimisha kwa askari hao usiku huo wa kuamkia juzi, Lema alithibitisha kuwapo kwa polisi nje ya nyumba yake:
“Wapo nje ya nyumba yangu, wanatishia kupiga mabomu kama nisipotoka nje, lakini wanajadiliana na walinzi wangu na mimi nimewataka wanipe hati ya kunikamata,”alisema.

Wakili wa Lema, Humphrey Mtui alisema mahojiano ya mteja wake na polisi yalidumu kwa zaidi ya saa tatu kuanzia saa 7:50 mchana hadi saa 11:15 jioni, na kwamba walitaka ufafanuzi kwenye hoja tatu walizodai kwamba zilijengwa kwenye kauli alizotoa Lema wakati..

Diamond Awatusi Wote Walio Muona Mshamba Kupiga Picha na Magari ya Watu Uingereza!

Diamond,UingerezaUingereza

Wakubwa Wakiweka Saini Mkataba wa Kivuko cha Dar-Bagamoyo

kivuko cha Dar es Salaam – Bagamoyo
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Marceline Magesa (kulia) akizungumza katika hafla ya uwekaji saini mkataba wa ujenzi wa kivuko cha Dar es Salaam- Bagamoyo leo jijini . Kivuko hicho kitakuwa na uwezo wa kubeba watu 300 , kitagharimu shilingi7.91 bilioni.(bilioni7.91 za tz).Pichani kutoka kulia ni Waziri wa Uchukuzi Dkt,John Magufuli,Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mecky Sadick, na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi , Balozi Herbert Mrango.

kivuko cha Dar es Salaam – Bagamoyo
Picha ya mchoro ya kivuko cha Dar es Salaam – Bagamoyo kitakavyokuwa. Denmark nchini Tanzania Mh, Johnny Flinto
Mtendaji Mkuu wa TEMESA Mhandisi Marceline Magesa (mwanamke) , na mwakilishi wa kampuni ya JOHS GRAM HANSSEN A/S ya Denmark Andreas Gottrup wakiweka saini mkataba wa ujenzi wa Kivuko cha Dar es Salaam- Bagamoyo leo jijini Dar es Salaam, katika hafla iliyoshuhudiwa na..

Nole ft Darrasa na OsMan - Siyo Vyote (Audio)

Nole ft Darrasa na OsMan

The X Factor Doesn’t Allow Artistic Freedom, The Voice Does - Gamu Nhengu

 X Factor
She told yahoo: “I’m glad it happened because as much as I want to be in the music industry, I want to do it in my own terms and be my own artist – that is really important to me.
“When you’re in the X Factor, the pressure to release your album within the year is incredible.
“There is no possible way that an 18-year-old can write an album that means anything to anybody in six months – there is just no way.
“So unless you are willing for other people to write for you, you are going to have a s**t album.
“Realistically it is unfeasible to come from not even being any type of musician to then having an album out in six months. I wasn’t ready, I didn’t know what direction I wanted to go in.
“Now I’m more ready, I think my album now is so much better than even if I’d gone through and released it when I was 19. It wouldn’t be as good as it was now.”
Gamu is currently gearing up for the release of her first single ‘Shake the Room,’ a Motown inspired track.

Jambo Squad - Mamon'goo (Video)

Ferguson Tops Manager Rich List!

Eurosport - Sir Alex Ferguson celebrates winning the 2012-13 Premier League title (REUTERS)
 Ferguson
Manchester United boss Sir Alex Ferguson has retained his position as the wealthiest football manager in Britain with a fortune of £34 million, according to the Sunday Times Sport Rich List.

Arsenal manager Arsene Wenger and ex-Ipswich boss Roy Keane are ranked joint second, worth £29m, ahead of Manchester City's Roberto Mancini (£21m).
Another Italian comes in at joint fourth as Republic of Ireland boss Giovanni Trapattoni is level with Mancini on £21m.
As well as Keane, two more of Ferguson's former players make the top 10 with Hull boss Steve Bruce and former QPR manager Mark Hughes both amassing fortunes of £14m.
wealthiest football manager in Britain

Beat It - Sean Kingston (Behind The Scenes)

Sean Kingston featuring Chris Brown and Wiz Khalifa - Behind The Scenes of Beat It. (C) 2013 Epic Records, a division of Sony Music Entertainment

NOTIFICATION FORM FROM RBI - Scam Series #16

Scam Series
From
RESERVE BANK OF INDIA
6, SANSAD MARG,
NEW DELHI - 110 001,INDIA.
RESERVE BANK OF INDIA OFFICIAL PAYMENT NOTIFICATION
PAYMENT FILE: RBI-DEL/ID1033/11.
EMAIL: (rbi_info@rbindiaconnect.in)
PAYMENT AMOUNT:(Ј500,000.00 GBP) EQUIVALENT TO(43,421,815.86 INR)

ATTENTION BENEFICIARY,
THE RESERVE BANK OF INDIA HAS DECIDED TO BRING TO YOUR ATTENTION, THAT YOU WERE LISTED AS A BENEFICIARY IN THE RECENT SCHEDULE FOR PAYMENT OF OUTSTANDING DEBTS INCURRED BY THE BRITISH GOVERNMENT PENDING SINCE 2009 TO 2013 ACCORDING TO YOUR FILE RECORD WITH YOUR EMAIL ADDRESS YOUR PAYMENT IS CATEGORIZED AS:(CONTRACT TYPE:LOTTERY/INHERITANCE/UNPAID FUNDS/UNDELIVERED LOTTERY FUND).

RECENTLY ON 5TH JANUARY 2013 THE RESERVE BANK OF INDIA(RBI) GOVERNOR, DR .D. SUBBARAO AND BAN KI-MOON SECRETARY-GENERAL OF THE UNITED NATIONS MET WITH THE SENATE TAX COMMITTEE ON FINANCE RBI MUMBAI/DELHI BRANCH, REGARDING UNCLAIMED FUNDS WHICH HAVE..

TUMEPOKEA TANGAZO HILI LA KUSIKITISHA KUTOKA MAREKANI,MTANZANIA YEYOTE UNAOMBWA KULISOMA

Tunaomba mtupostie tangazo hili katika blog zenu kama blog yako ni ya habari mbalimbali. Kuna kijana amefariki New Jersey, USA. Kijana aliyefariki alinajulikana kwa jina la Adolf, Brian au Tadeous Rwekagende. Alikua anasema alisoma Tambaza na alikua na mdogo wake anaitwa Rodrick Rwekagende ambaye naye alikua anaishi Texas. Ila cha kusikitisha ni kuwa huyo mdogo wake alisema alifariki mwaka jana mwezi wa nne (Tanzania).

Adolf alikua anasema baba yake na mama yake walifariki yeye na mdogo wake huyo wakiwa wadogo. Sasa yeye alikulia kwa mjomba wake. Juzi Adolf alipata massive stroke na kulazwa st Barnabas hospital, Livingston, NJ na kufariki. Mpaka sasa hivi kuna watu wametafuta ndugu zake na..