Pages

Bangladesh Building Collapse, Kills at Least 76 Garment Workers!

Bangladesh
Efforts are under way to rescue those beneath the debris
At least 76 people have been killed and many more are feared trapped after an eight-storey building collapsed in the Bangladeshi capital, Dhaka, government officials say.
Frantic efforts are under way to rescue those beneath the debris. At least 200 were injured by the collapse.

The army is helping with the rescue operation on the outskirts of Dhaka.
Building collapses are common in Bangladesh where any multi-storey blocks are built in violation of rules.
The eight-storey building contained a..

Zitto Kabwe Afunguka Baada Mama Yake Mzazi Kuvamiwa na Majambazi na Kutishiwa Bastola

Zitto Kabwe Nimekuwa naulizwa kuhusu Habari za mama yangu Mzazi Bi. Shida kuvamiwa na kutishiwa bastola. Nawajibu watu Kwa ujumla kwamba
"Moja, mie sio msemaji wa familia. Ni basi tu katika watoto wa mama yetu mie najulikana zaidi na hivyo mama anaitwa Mama Zitto. Kwetu Kigoma haitwi hivyo, ama Ni mama Salum au mama Lulu.

Pili, hili Ni suala la polisi. Lipo polisi na linashughulikiwa na polisi. Nisingependa kulisemea wakati Ni suala linalochunguzwa na polisi. Mama yangu Ni mama wa kawaida wa kitanzania kama mama mwingine yeyote yule. Matukio ya namna hii yamezagaa nchi nzima. Hivyo suala lake litashughulikiwa kama yanavyoshughulikiwa masuala mengine yote ya Watanzania. Polisi wakimaliza uchunguzi wao naamini hatua mwafaka zitachukuliwa.
Ushauri- tuwe makini na "Agente provocatuers" au in English "provocation agents" nyakati kama hizi. Calmness is the best protection against provocations. Nadhani mmenipata"

Nawatakia Kila la kheri katika kazi za ujenzi wa Taifa letu na kuimarisha Umoja na mshikamano wa Watanzania dhidi ya ufisadi, umasikini na ugandamizaji.

Makala ya Nyuma ya Pazia ya Siri ya Mtungi

Familia kubwa inapokumbana na changamoto mbalimbali, baadhi ya wanafamilia husambaratika na wengine huikabili kama sehemu ya mitihani ya maisha iliyowapitia.
Mchanganyiko mzuri wa wahusika wa siri ya Mtungi, waliohusiana kwa damu au ndoa, au kwa mapenzi tu, unaunda jamii inayohamasishwa na penzi, lililoletwa na woga, ushirikina na usaliti, ikinyanyuliwa na ucheshi na furaha, na kupewa nguvu ya mshikamano wa ndani wa familia na urafiki.
Ni hadithi ya mahusiano yaliyofaulu na yale yaliyopotea.

FL Studio 11 is Out, What's New?

Kibonzo cha Leo

Reggae Invitations

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgC1AlVV6TaPHQS2LTGurdrrFPQgaBSafNAlP1XmXKESv4Enl4hSqKAOhz-mY8KBxhzXOGuiCayfHWBSi9f0cNYz1j-Z-545n-1kAFHC9Z25RSP39uDBjLPIZygxnKHG-j-XJQf9wgFuDg/s1600/reggae+invitation.jpg

News Anchor, Fired Cursing On Air (F*cking Sh*t) First Day on the Job

A local news anchor was fired on Monday after his first-ever words on air turned out to be very inappropriate. As AJ Clemente prepared for his debut on the evening news program for North Dakota's NBC affiliate KFYR, he uttered some words that he must have dearly wished he could take back.
"F---ing sh-t," he was heard whispering into his mic as an announcer introduced the show. It was Clemente's very first moment on air, and also his last. He was first suspended for using profanity and his coanchor, Van Tieu, opened up the 10:00 p.m. news hour with an apology.

"We were caught off guard and [Clemente] didn't realize his microphone was on. And while that was no excuse - we do train our reporters to always assume that any microphone is live at any time - unfortunately we cannot take back what was said. But, we do apologize and hope that you may forgive us and rest assured, that something like this will not happen again.," she said.

Clemente later tweeted an apology as well:
@ClementeAJ
A.J. Clemente
Tough day,Thanks for the support,We all make mistakes. Im truly sorry for mine. I'll try my hardest to come back better and learn from this.

He also clarified what he said. Before dropping the f-bomb, it sounded as though Clemente said the word "gay." He tweeted about that report as well:
@ClementeAJ
A.J. Clemente
I just want to say that I did not say the word gay, I was trying to pronounce the London Marathon winners name Tsegaye Kebede.

On Monday, Clemente tweeted that he had been fired:
@ClementeAJ
A.J. Clemente
Unfortunately KFYRTV has decided to let me go. Thank you to them and everyone in ND for the opportunity and everyone for the support.

Hawa Ndio Wale Panya Wenye Uwezo wa Kugundua Mabomu Yaliyo Fukiwa Aridhini!

Panya,Morogoro
Panya hao ambao ni wakubwa kuliko panya wa kawaida wanafanyiwa majaribio mkoani wa Morogoro. Jaribio hilo linafanywa na Shirika moja lisilo la kiserikali kutoka nchini Ubelgiji.
Panya,Morogoro
Inaaminika wanauwezo mkubwa wa kunusa kuliko mbwa. Hii inatokana na kuwa pua zao zipo karibu na ardhi,hali ambayo inawasaidia katika kazi yao ya utambuzi wa mabomu.
Panya,Morogoro
Panya,Morogoro

Maserati Quattroporte Limited Edition by Zegna Will Mark The Auto Brand’s Centenary

Maserati and Ermenegildo Zegna
Luxury brands Maserati and Ermenegildo Zegna have joined hands, indulging their customers with Italian design and style. The two brands are set to collaborate on a number of ventures in the coming years. They begin their journey with a special edition of the Maserati Quattroporte sedan, which will be available next year. The new special edition marks 100 years of the auto brand being in the market.
Fashion label Zegna plans to take some of their materials directly from their suit line to dress the Maserati flagship sedan. They will reinterpret the car with new colors, trims, and mainly the fabric, produced by the infamous Lanificio Zegna wool mill in Trivero, Italy.
Italian design and style
Only 100 of these sedans will be sold along with an exclusive collection of accessories by the fashion brand designed especially for each car. The first prototype of the Quattroporte sedan will be..

Rick Ross - Ice Cold ft. Omarion (Official Video)