Pages

WAFUASI 52 WA PONDA WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA JELA

Mahakama ya Hamimu Mkazi Kisutu
Washitakiwa 52 kati ya 54 katika kesi ya kula njama na kufanya maandamano isivyo halali wamehukumiwa kwenda jela kila mmoja baada ya kukutwa na makosa matatu huku mmoja akiachiwa huru baada ya kukutwa hana hatia na mwingine kufariki dunia kabla ya hukumu iliyotolewa leo na hakimu Sundi Fimbo wa Mahakama ya Hamimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

Washtakiwa hao walidaiwa kutenda kosa Februari 15 mwaka huu.
Baada ya pande zote kusikilizwa na washtakiwa kutoa hoja za utetezi, hatimaye hakimu Fimbo alitoa hukumu hiyo leo ambapo aliwatia hatiani washtakiwa 52 kwa makosa matatu kati ya manne na..

Nyota wa Bollywood Sunjay Dutt Ahukumiwa Miaka 5 Gerezani kwa Kesi ya Mwaka 1993

India
.Mahakama ya juu kabisa nchini India leo imemhukumu mwigizaji filamu za Kihindi maarufu kama Bollywood, Sanjay Dutt, kifungo cha miaka mitano gerezani kwa kupatikana hatia ya kukutwa na silaha ambazo zilikuwa sehemu ya shehena ya silaha zilizotumiwa katika shambulio la mjini Mumbai mwaka 1993.

Mahakama hiyo ilishikilia hukumu ya Dutt iliyotolewa na mahakama ya kupambana na ugaidi mwaka 2007, lakini ikapunguza kifungo chake cha miaka sita na kuwa mitano. Mahakama hiyo ya juu kabisa India pia imeshikilia hukumu ya kifo iliyotolewa kwa Yakub Abdul Razzak Memon, ambaye ni... Endelea kusoma>>>

Molly Ft. Wiz Khalifa & Mally Mall - Tyga Behind the Scenes Video

Msanii Matumaini Anahitaji Msaada, Kwa Siku Anameza Vidonge 39

Matumaini Mchekeshaji na muigizaji wa Tanzania Tumaini Martin ‘Matumaini’ amevunja ukimya kuelezea maendeleo ya afya yake akidai kusumbuliwa na maumivu makali ya miguu kwasasa.

Akiongea na BK Cop leo Matumaini amesema kuwa anaendelea kutumia dozi ingawa hali ya afya yake bado si shwari kutokana na kugulia maumivu makali ya miguu hali inayomfanya ashindwe kutembea.
Msanii huyo ameeleza kuwa kwa siku moja huwa anameza vidonge zaidi ya 39 lakini hapati lishe nzuri kwababu ya kutokuwa na pesa na kujinunulia chakula.
Aidha amedai kuwa wakati alipokuwa msumbiji alipata misaada ya kifedha kutoka kwa wasanii mbalimbali lakini hasaidiwi tena tangu alipofika Tanzania.
‘Niliomba msaada kwenye magazeti ambapo niliacha namba zangu za tigo pesa lakini meseji nyingi nazopokea ni za pole; hata hivyo kuna watu wanadai wametuma kwa namba ya Michael Sangu (Mkt Chama cha waigizaji) ambayo alitoa gazetini lakini mimi sikuwahi kuonana tena na Michael tangu aliponililipia matibabu wakati natoka hospitali’. Alisema Matumaini
Mnamo Februari 9 mwaka huu Matumaini aliruhusiwa kutoka hospitali ya Amana jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa kwa siku tatu tatizo kubwa likiwa ni miguu na alitakiwa kurudi tena hospitali baada ya kumaliza dozi aliyoandikiwa na daktari.

Awali Matumaini alikwenda kuishi nchini msumbiji na kuripotiwa kusumbuliwa na maradhi, lakini alishindwa kutibiwa akiwa huko ambako Naibu Waziri wa Habari vijana na utamaduni na michezo Bw Amos Makalla akishirikiana na baadhi ya wasanii alichukua jukumu la kutoa nauli ya kumrudisha nchini

Gulo

Gulo

Wanafnzi Jijini Dar Wanashinda Kwenye Danguro Hili

Danguro
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Majani ya Chai, Yasinta Assey akionyesha baadhi ya nguo na viatu vya wanafunzi vilivyokutwa katika eneo linalodaiwa kuwa danguro linalotumiwa na wanafunzi wa shule hiyo, jana. Picha na Pamela Chilongola

Kwa ufupi
Mkuu wa Sekondari hiyo, Jasinta Assey alikiri na kusema kwamba vitendo vya uvutaji bangi na biashara ya ukahaba kwa wanafunzi wake, vinachangiwa na askari wa Kituo kidogo cha Stakishari ambao alidai wanachukua rushwa kwa wauzaji wa bangi na nyumba bubu za wageni.
Dar es Salaam. Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Majani ya Chai iliyopo Kipawa jijini Dar es Salaam, wametajwa kujiingiza katika kashfa ya ngono, kuvuta na kuuza bangi katika moja ya nyumba zinazozunguka shule hiyo.
Hilo ni tukio lingine jipya, kwani mwishoni mwa mwaka jana, kuliibuka matukio ya ajabu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi, Ruaruke, Rufiji mkoani Pwani ambao walielezwa kujihusisha na uvutaji bangi hata kukonyeza na kubaka walimu wao.
Mkuu wa Sekondari hiyo, Jasinta Assey alikiri na kusema kwamba...

I've Archieved My Dream: Malala - Taliban Shooting Victim

Birmingham: Malala Yousafzai
From Pakistan to Birmingham: Malala Yousafzai, 15, was gunned down by the Taliban in revenge for her campaigning on girls' education, but began her studies at Edgbaston High School for Girls
The Pakistani teenager nursed back to health in Britain after being gunned down by the Taliban returned to school

 Malala Yousafzai, 15, was shot in the head by extremists opposed to her campaign for girls' education.
She was attacked by gunmen who boarded her school bus in Pakistan last October.
Close to death, she was flown to Britain for treatment, and surgeons at Queen Elizabeth Hospital in Birmingham saved her life.
Malala Yousafzai
ZiauddinFresh start: Malala walked to school in Birmingham accompanied by her father, Ziauddin
She says, 'I am excited that today I have achieved my dream of going back to school,' she said. 'I want all girls in the world to have this basic opportunity. I miss my classmates from Pakistan very much but I am looking forward to meeting my teachers and making new friends here in Birmingham.'

Muuwaji Ameibuka Dar!!

TAARIFA MUHIMU: MuuwajiKuna muuwaji ameibuka jijini Dar es salaam kwa sasa, jana aliuwa mtu mmoja maeneo ya Kinondoni. Amempiga risasi ya kifua Mtu mmoja ndani ya gari alilokuwa anaendesha kwenye Barabara ya Kinondoni, katikati ya Mkwajuni na Magomeni.
Tukio kama hilo lilitokea Juzi kwenye Barabara ya Bagamoyo, Muuwaji huyo ni mwembamba na huendesha Pikipiki.
Ni vyema mkawa makini mnapokuwa mnaendesha Magari, maana chanzo chake kikuu huwa ni kusababisha Ajali na punde unapoanzisha mabishano nae huamua kutoa Bastola na kumpiga risasi Dereva.
Tafadhali, tusaidiane kusambaza ujumbe huu kwa wote tunaowajali na kuwapenda.......!

Bobby Brown has Started his 55-Day Jail Sentence for Drink-Driving

http://www.trbimg.com/img-50881999/turbine/la-et-mg-bobby-brown-arrested-dui-again-201210-001/600 
 The 44-year-old ex-husband of late singing legend Whitney Houston was led away in handcuffs after appearing in court earlier today.
A judge had previously ordered the R&B star to begin his sentence by 20th March, and the star left it until the very last day of the deadline to hand himself in.

He had been given the punishment last month having pleaded no contest to the charges following his arrest in October.
The singer will be placed on probation for four years after completing his spell behind bars.
New Edition star Bobby was also ordered to install a breathalyser on his car to prevent him from starting the engine if he goes over the legal limit.

Langa - Am Supplying (Audio)

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6Qi2HkUxR50CO_7ppOHxeqy_6qSNI2mTHDn44v8r4bqqoHkBmxDmPiPGQmNz8TQvCPwi_Csy-deD4e_cQy-a1kEVt-l1YoX_BtJB8iN13xSQb6FCv8D3IxMN12hVxFfHHRPxvZ6EMzTBd/s1600/164.jpg