Pages

PRESS PL@Y: Episode #1 (Follow @PLaY_UG) (Video)

PRESS PL@Y is a Web-series based around the day-to-day experiences of Michael "PL@Y" Matovu, as an Artist/Producer/Entrepreneur and most importantly as a person. Courtesy of PLAYTHAMUSIC and MEDIA 256, we bring you an intimate and hopefully inspiring experience. Get ready to see the best of PL@Y, both old and new.

Kitabu Kimoja (Video)

Benki ya PBZ Ltd Imeongeza Huduma kwa Watanzania wa Diaspora

PBZ Ltd 
The PBZ Managing Director, Mr Juma Amour Mohamed
Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ Ltd) ambayo ni benki pekee yenye makao makuu yake Zanzibar na ambayo inamilikiwa mia kwa mia na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekuja na huduma mpya yenye kuwawezesha Watanzania wanaoishi nje kuleta pesa nyumbani Tanzania kwa bei nafuu kuliko wanavyolipia hivi sasa kupitia kampuni za nje za kigeni za kutuma pesa.
Katika waraka ambao blog la Zanzibar Ni Kwetu wameuona, benki hio inawataarifu wana-jumuia wa Diaspora ya Watanzania huko Canada juu ya huduma hio na wanawataka wawajulishe Watanzania wengine wote wanaoishi nje, ili na wao wapate kufaidika.
Katika kufanikisha huduma hii Benki ya Watu wa Zanzibar inashirikiana na kampuni moja maarufu kutoka Uingereza inayoitwa World Remit ambayo Benki ya Dunia inadai kuwa bei zake za kutuma pesa kutoka nchi moja kuenda nyengine zipo chini.
Kwenye waraka huo Benki ya Watu wa Zanzibar inamuandikia rasmi Communication Director wa Zanzibar-Canadian Diaspora Agency (ZACADIA) Bw. H.S. Othman wa Toronto, Canada, kuwa,..

Kala Jeremiah ft. Ben Pol - Karibu Dar {Official Video}

CAR FOR SALE!!!

Sale,Used Car
DETAILS
Year: 2003 (Imported this January, 2013), Mileage: Almost 52,000 km, Displacement (CC) 1,790 with VVT-i Engine, Body Type: Station Wagon, Color: Metallic Grey, Fuel: Gasoil/ Petrol, Gear box type: Automatic, Sitting capacity: 7, Motor vehicle license and Insurance validity: Expires January 2014, Other details: All duties paid, Good tires, New Break Pads, No mechanical problems, Serviced upon arrival, In very good shape and condition: Reason for Sale: Bought for a wife who wants 4x4. Needs 15 milion. (Tshilngs)
darslam@rocketmail.com
Sale,Used Car
Click read more for more pictures..

Mtuhumiwa Alierekodi Video ya Rwakatare Ataonja Joto la Jiwe?!!

MAGID MJENGWA
Anayedaiwa kupiga video iliyosababisha kukamatwa kwa Rwakatale pichani Ludovik Joseph anadaiwa kukamatwa mkoani Iringa kijana huyo anadaiwa ni mhitimu wa chuo kikuu
Ndugu zangu,
Usiku huu nikiwa kwenye shughuli ya shule ya watoto wangu pale Highlands Hall Iringa nilifikiwa na habari kuwa Kijana Ludovick amekamatwa na polisi kuhusiana na tuhuma za kuhusika na kuteswa mwandishi Absalom Kibanda.

Namfahamu kijana Ludovik tangu akiwa Chuo Kikuu ( DUCE). Ni mmoja wa Watanzania wengi walionifahamu kupitia kazi zangu za magazetini.
Kwangu Ludovick ni kijana mtaratibu na mpole sana, na hata niliposikia habari hizi kwa namna fulani nimeshtushwa nazo.
Ludovick ambaye amekuwa akiishi Dar ni mmoja wa vijana waliokuwa wakinisaidia kwa ...

KFC in Dar

KFC in Dar
Yes this time its for real. The real Kentucky Fried Chicken, and not some other shady acronym for it. This is the change people have been waiting for...

Pitbull ft. Christina Aguilera - Feel This Moment (Video)

Siri ya Mtungi Sehemu ya 9

Kupotea kwa pikipiki yake nje ya nyumba ya ufukweni ya Lulu kunamfanya mpiga picha Cheche kuchanganyikiwa. Itakuwaje kama Cheusi atagundua uhusiano wake na Lulu? Cheche anarundika oungo juu ya uongo. Dafu anaahidi kumsaidia kuitafuta pikipiki -- lakini kwa sababu tu anahisi kwa kufanya hivyo atakuwa karibu zaidi na Lulu.
Wakati huohuo, tangu Nusura alipoolewa na Mzee Kizito, Duma amekuwa hana uelekeo na maisha yake. Kovu anamtambulisha kwa mfanya biashara aitwaye Golden kule kwenye kigrosari cha Tula. Lakini Kovu anapolewa na kumtukana bibi yule, Duma anamgeuka na kumtetea Tula -- kitu kinachomfanya yeye na Tula wagundue kuwa wana mambo yanayofanana.

Kutoka TFF:Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Limeondoa Utaratibu wa Wadau Wake Kuingia Bure Kwenye Mechi kwa Kutumia Tiketi Maalum (Free Pass)

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeondoa utaratibu wa wadau wake kuingia bure kwenye mechi kwa kutumia tiketi maalum (free pass).
Kutokana na uamuzi huo hakutakuwa tena na pasi za bure kwa ajili ya kushuhudia mechi zilizo chini ya usimamizi wa moja kwa moja wa TFF katika viwanja mbalimbali nchini.
Uamuzi huo umetokana na ukweli kuwa free pass zimekuwa zikipunguza au kuchukua mgawo wote wa TFF kwenye mechi, na wakati mwingine Shirikisho hulazimika kutoa fedha za ziada kugharamia pasi hizo.
Pasi zote ambazo imekuwa ikitoa kwa wadau wake hukatwa katika mgawo wa TFF katika mechi husika. Shirikisho hivi sasa linapata asilimia nne tu ya mapato katika mechi za Ligi Kuu, ligi ambayo hivi sasa inaendeshwa na Kamati yake ya Ligi.

RUVU SHOOTING KUIKABILI YANGA VPL
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaendelea kesho (Machi 16 mwaka huu) kwa mechi tatu ambapo Yanga itakuwa mgeni wa Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwamuzi Jacob Adongo kutoka Musoma mkoani Mara ndiye aliyepewa jukumu la kuchezesha mechi hiyo namba 146. Adongo atasaidiwa na Anold Bugado wa Singida na Milambo Tshikungu kutoka Mbeya wakati mwamuzi wa mezani ni Hashim Abdallah wa Dar es Salaam.
Mtathmini wa waamuzi ni Army Sentimea wakati Kamishna wa mechi hiyo inayokutanisha vinara Yanga na Ruvu Shooting inayoshika nafasi ya saba ikiwa na pointi 29 chini ya ukufunzi wa Charles Boniface Mkwasa na Msaidizi wake Selemani Mtungwe ni Emmanuel Kavenga kutoka Mbeya.
Viingilio katika mechi hiyo vitakuwa sh. 5,000 kwa viti vya bluu na kijani, sh. 8,000 viti vya ...