Pages

CPR Refusal Death Police Investigate Nurse - The Full 911 Operator Call

An elderly woman is dead after nurses, citing policy, refuse a 911 operator's urgent pleas for someone to perform CPR. Police have launched an investigation after a US nurse refused pleas by an emergency call operator to perform CPR on an elderly woman - who later died.
The nurse has been defended by bosses at the Californian retirement home, following the death there of the woman named in reports as Lorraine Bayless, 87.

At the beginning of the emergency call, the nurse - who did not give her full name - asked for paramedics to come and help the woman, who had collapsed in the home's dining room and was barely breathing. Dispatcher Tracey Halvorson can be heard in a recording of the call pleading for the nurse to perform CPR.
After several refusals Ms Halvorson asks her to find a resident, a gardener or anyone not employed by the home to get on the phone, take her instructions and help the woman.
The Full 911 Operator Call

Polsi Ampiga Risasi Msimamizi wa Kura Kenya

Kenya
Katika hali isiyo ya kawaida polisi mmoja amemuua msimamizi wa kituo cha kupigia kura Bw.Waithanje Mwaniki katika jimbo la Kangema walipokuwa njiani wakirudi kutoka katika kituo cha kupigia kura na masanduku ya kura.

Taarifa ya awali iliyotolewa na Mkuu wa wilaya hiyo imesema polisi huyo alikuwa ndani ya gari na marehemu akiwa amekaa kiti cha nyuma ya Marehemu na alimpiga risasi hiyo kwa bahati mbaya.

Polisi huyo amekamatwa na uchunguzi ukiendelea ambapo utata zaidi umeligubika tukio hilo kutokana na msimamizi msaidizi wa kituo hicho kupotea baada ya tukio hilo na haifahamiki yupo wapi mpaka sasa

Lil Wayne's Deposition [Extended Version] Must See!!

Moto wa Ubungo Leo Asubhi


 

Jitihada za Makampuni Mbalimbali ya Zima Moto mchana wa leo zimeshindwa kuzima Moto na kuokoa mali zenye thamani ya Zaidi ya Shilingi Bilioni 30, mali ya Kampuni ya kusambaza Vifaa vya Ujenzi na Usafirishaji ya SUNDA LIMITED, iliyopo katika eneo la UBUNGO jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha Habari cha CLOUDS FM kimeeleza kuwa Moto huo ulianza muda wa saa tano Asubuhi


Magari ya vikosi vya zimamoto yakimwaga maji ili kuzima moto huo.

Vifaa vilivyookolewa kutoka ndani ya ghara hilo.

Jitihada za kuzima moto huo zikiendelea.......

Moto huo ukizidi kusambaa...

Afande Sele - Sukari na Chai

Afande Sele - Sukari na Chai

Something From Nothing: Art Of Rap ft. Krs-One & Eminem on Freestyling

Scenes from Something From Nothing: Art Of Rap featuring KRS-One and Eminem freestyling and explaining how to freestyle.

Bibi wa Miaka 68 Auwawa Akitaka Kufunga Ndoa na Kijana wa Miaka 28

Jette Jacobs 
 Polisi wa Afrika Kusini bado wanaendelea kuchunguza tukio la kutisha linalodaiwa kufanywa na kijana wa Kinigeria mwenye umri wa miaka 28 ambae anatuhumiwa kumuua bibi wa kizungu mwenye umri wa miaka 67 huko Johannesburg.
Bibi kizee Jette Jacobs ambae ni raia wa Australia alisafiri mpaka Johannesburg kwa lengo la kufunga ndoa na mwanaume anayempenda lakini siku mbili baada ya kukutana na mwanaume huyo, bibi huyo amekutwa amefariki kwenye mazingira ya kutatanisha kwenye jiji hilo lililo kwenye list ya majiji hatari kwa uhalifu duniani.

Jette alipokwenda Johannesburg lengo lake lilikua ni kukutana kwa mara ya kwanza na mwanaume ambae wamekua wakiwasiliana kupitia mtandao wa kijamii ambao hukutanisha watu wenye hitaji la kupata mpenzi/mke/mume ambapo aliingia kwenye mapenzi na Jesse Orowo Omokoh asiemjua miaka mitatu iliyopita.
Mwili wa bibi huyu mwenye watoto sita ulikutwa kwenye guest house miezi miwili baada ya kuwasili Afrika Kusini ambapo kwa muda waliofahamiana online, Jette alikua ameshatuma kiasi cha dola za Kimarekani laki mbili kwa Omokoh na mwanaume mwingine aitwae Isaac.

Pamoja na kupewa onyo na familia yake, Jette hakusikia chochote bali alitaka kwenda South Africa toka november 2012 ili akafunge ndoa na huyu mwanaume wa Kinigeria, kwenye guest house mwili wake ulipokutwa kuna baadhi ya vitu alivyokuwa navyo havijaonekana kama vile mikufu na pesa.
Binti wa mwisho wa bibi huyu amesema mwanaume huyu wa Nigeria alitaka kuhamia Australia ili akaishi na Bibi huyu lakini bibi aligoma na kumwambia anataka kwenda kuishi nae Nigeria.

Aliyetoa Ushahidi Dhidi ya Mengi Atishiwa Maisha

Erick Kabendera
-NDUGU WAOMBA ULINZI!
Stori: Mwandishi Wetu
HUWEZI kuamini lakini ukweli ni kwamba Erick Kabendera ambaye ni mwandishi wa habari wa hapa nchini ana wasiwasi na maisha yake baada ya kwenda kutoa ushahidi uliomwangamiza mfanyabiashara maarufu Reginald Mengi ambaye sasa anatakiwa kumlipa Sarah Hermitage, raia wa Uingereza aliyekuwa amemshitaki mahakamani.
Sarah alimshitaki Mengi akidai kukashifiwa na magazeti yake na katika kesi hiyo iliyokuwa ikisikilizwa Mahakama Kuu ya London, Uingereza, jaji alimhukumu kumlipa mama huyo paundi za Uingereza milioni 1.2 (ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 2.9 za Kitanzania) baada ya hapo vituko vya kuisumbua familia ya Kabendera mkoani Kagera vikaanza.
Kwa mujibu wa taarifa ya Chama cha Waandishi wa Habari za Uchunguzi kiitwacho Forum for African Investigative Reporters (FAIR), familia ya Kabendera, imekuwa ikisumbuliwa na maofisa wa..

Uchaguzi Kenya: Uhuru Kenyatta Aongoza,Watu 22 Wauawa

Uchaguzi Kenya
Kura zikihesabiwa kwenye kituo kilichopo Viwanja vya Kibera Social, jijini Nairobi baada ya wananchi wa Kenya kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo jana. Picha na AFP

Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Kenya yanaonyesha kuwa Uhuru Kenyatta, mtoto wa Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta anaongoza, huku akifuatiwa kwa karibu na aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Raila Odinga.

Kama alivyo Uhuru, Raila pia ni mtoto wa mmoja wa waasisi wa taifa la Kenya, ambaye alikuwa Makamu wa Mzee Kenyatta, Jaramong Oginga Odinga.

Hadi majira haya ya saa 6.45 usiku wa kuamkia leo, Uhuru ambaye ni mgombea wa TNA alikuwa amepata kura 744,648 sawa na asilimia 56.1 wakati Raila ambaye ni mgombea wa ODM alikuwa akifuatia kwa kupata kura 527, 780 sawa na asilimia 39.7.
Matokeo hayo ni kutoka katika vituo zaidi ya 5000 kati ya...

Australian Miners Consider Lawsuit After Getting Fired Over ‘Harlem Shake’ Video

The ‘Harlem Shake’ miners plan a lawsuit seeking reinstatement after they were sacked by Barminco and banned from working in all mining sites owned by the company around the world.
Fifteen people getting sacked by an Australian mining company Barminco over “Harlem Shake” video are reportedly mulling a lawsuit seeking reinstatement. Words are, only half of them appeared in the video and the others simply watched their friends doing the convulsive dance to the Baauer goofy track without taking part in it.