Mtendaji Mkuu TAZARA Ameachia Ngazi
Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Bw. Akashambatwa Mbikusita-Lewanika, hatimaye ameachia ngazi baada ya kuendesha kampeni kali ya miezi kadhaa kutaka aendelee kuongoza Mamlaka hiyo kwa miaka mingine mitatu.
Hatua hiyo ya kuachia ngazi imekuja baada ya Bodi ya Wakurugenzi na Baraza la Mawaziri la Mamlaka hiyo kuonyesha dhahiri kutotaka Mzambia huyo aendelee na uongozi wa TAZARA kutokana na utendaji wake mbovu na uongozi mbaya uliowabagua wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kwa misingi ya utaifa wao.
Habari za ndani za Mamlaka hiyo zimesema Bw. Akashambatwa ambaye kipindi chake cha uongozi kiliisha tarehe 22 Januari, 2013 kiliongezwa kwa maombi maalum ya Serikali ya Zambia kwamba Serikali hiyo ilihitaji muda mrefu kidogo kumpata mbadala wake, licha ya Serikali ya Tanzania kutoridhishwa na utendaji wake.
Katika kikao chake cha tarehe 20 Februari, 2013 jijini Lusaka, Zambia, Baraza la ...
Hatua hiyo ya kuachia ngazi imekuja baada ya Bodi ya Wakurugenzi na Baraza la Mawaziri la Mamlaka hiyo kuonyesha dhahiri kutotaka Mzambia huyo aendelee na uongozi wa TAZARA kutokana na utendaji wake mbovu na uongozi mbaya uliowabagua wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kwa misingi ya utaifa wao.
Habari za ndani za Mamlaka hiyo zimesema Bw. Akashambatwa ambaye kipindi chake cha uongozi kiliisha tarehe 22 Januari, 2013 kiliongezwa kwa maombi maalum ya Serikali ya Zambia kwamba Serikali hiyo ilihitaji muda mrefu kidogo kumpata mbadala wake, licha ya Serikali ya Tanzania kutoridhishwa na utendaji wake.
Katika kikao chake cha tarehe 20 Februari, 2013 jijini Lusaka, Zambia, Baraza la ...
Soggy Doggy Kutua Redio Ebony FM ya Iringa

Msanii/Mtangazaji Soggy Doggy ameacha mzigo pande za redio Uhuru na leo rasmi ameondoka Dar es salaam nakwenda Iringa ambapo atakuwa akifanya kazi katika kituo kingine cha Redio kinachoenda kwa jina la Ebony Fm.
Soggy Doggy ashawahi kufanya kazi katika vituo vya redio mbalimbali hapa nchini kama Arusha na Mwanza.
Kutana na Mwanamke Mzee Kuliko Wote Duniani
Masao Okawa ni bibi mwenye umri wa miaka 114, ambapo jumanne ya wiki
ijayo atakuwa anafikisha miaka 115, na tayari kitabu cha Guiness World
Records wamemtaja kama mwanamke mzee kuliko wote duniani pichani
anaonekana akiwa na mjukuu wake wa kike na kitukuu chake.
Masao ambae alizaliwa mwaka 1898, amesema siri ya yeye kuishi muda wote huo, si tu kwamba anakula kitu chochote, bali chochote lakini cha kijapani tu na si vingine.
Wajapani wanapenda kula mbogamboga na samaki na kuepuka kula vyakula vya mafuta ukilinganisha na nchi zingine. Pia mwanaume mwenye umri mkubwa ni Mjapan jina lake ni Jiroemon Kimura anamiaka 115.
Masao ambae alizaliwa mwaka 1898, amesema siri ya yeye kuishi muda wote huo, si tu kwamba anakula kitu chochote, bali chochote lakini cha kijapani tu na si vingine.
Wajapani wanapenda kula mbogamboga na samaki na kuepuka kula vyakula vya mafuta ukilinganisha na nchi zingine. Pia mwanaume mwenye umri mkubwa ni Mjapan jina lake ni Jiroemon Kimura anamiaka 115.
Tanzanian Journalist Harassed, Suspected of 'Selling State Secrets'
(RSF/IFEX) - Reporters Without Borders wrote to Tanzanian minister of home affairs Emmanuel Nchimbi last week to call for an end to the harassment of the journalist Erick Kabendera and his family by representatives of the state.
“Tanzania's ranking in the 2013 Reporters Without Borders press freedom index is 36 places lower than last year,” the 18 February letter said. “No journalists had been killed until September 2012, but thereafter two were killed in the space of four months and this has had a big impact on the Tanzanian news environment.
“Harassment by officials of such a respected journalist as Mr. Kabendera can only exacerbate the current sense of helplessness among Tanzanian journalists, especially when everything indicates that it is not random. These intimidation attempts are targeting a talented journalist and seem designed to protect a senior official who was affected by his testimony.”
Signed by secretary-general Christophe Deloire, the letter added: “Reporters Without Borders urges you to call the Immigration Department to order so that this disgraceful harassment stops. We also urge you to tell the police that they must do whatever is necessary to guarantee the safety of Mr. Kabendera and his family.” A former employee of the Dar es Salaam-based Guardian newspaper, Kabendera was...
“Tanzania's ranking in the 2013 Reporters Without Borders press freedom index is 36 places lower than last year,” the 18 February letter said. “No journalists had been killed until September 2012, but thereafter two were killed in the space of four months and this has had a big impact on the Tanzanian news environment.
“Harassment by officials of such a respected journalist as Mr. Kabendera can only exacerbate the current sense of helplessness among Tanzanian journalists, especially when everything indicates that it is not random. These intimidation attempts are targeting a talented journalist and seem designed to protect a senior official who was affected by his testimony.”
Signed by secretary-general Christophe Deloire, the letter added: “Reporters Without Borders urges you to call the Immigration Department to order so that this disgraceful harassment stops. We also urge you to tell the police that they must do whatever is necessary to guarantee the safety of Mr. Kabendera and his family.” A former employee of the Dar es Salaam-based Guardian newspaper, Kabendera was...
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAWI LA CCM DMV MAREKANI NI JUMAMOSI Machi 16, 2013
TANGAZO LA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAWI LA CCM DMV
Ndugu Wana CCM DMV mnaombwa kuhudhuria mkutano wa uchaguzi bila kukosa,Ni nafasi ya kuwachagua viongozi wako utakao wapenda kujenga Chama imara.
SIKU: JUMAMOSI Machi 16, 2013
MUDA: SAA 10 JIONI (4pm)
MAHALI: TUTAWATANGAZIA
Ili uweze kupiga kura hakikisha una kadi yako ya Chama na uwe mwanachama hai, na kama huna kadi au umepoteza tafadhali wasiliana na Katibu wa Tawi wa muda
Yacob Kinyemi, Simu (202)-629-7841, email: yacob1972@yahoo.com
Nafasi zinazowaniwa ni:
1) Mwenyekiti wa tawi
2) Katibu wa Tawi
3) Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi wa Tawi
4) Katibu wa Fedha na Uchumi wa tawi
5) Mwenyekiti wa Vijana wa Tawi (UVCCM)
6) Katibu wa Vijana wa Tawi (UVCCM)
7) Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake (UWT)
8) Katibu wa Jumuiya ya Wanawake ya Tawi (UWT)
9) Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Tawi
10) Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Tawi
SIFA ZA MGOMBEA:
Awe na umri kuanzia miaka 18
Awe mwachama wa CCM mwenye kadi
Fomu za kugombania nafasi za uchaguzi ziwakilishwe kwa M/Kiti ( HIDAYA MAHITA)wa Kamati ya Uchaguzi kwa njia ifuatayo:
Fax: 1(888)835-5784 Email: ccmwashdc@gmail.com
Mailing address: 1709 HAMPSHIRE GREEN LANE#33 SILVER SPRING MD 20903
MWISHO WA KUCHUKUA NA KURUDISHA FOMU HIZO NI TAREHE 8 MARCH 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)


