Pages

Soggy Doggy Kutua Redio Ebony FM ya Iringa

Soggy Doggy,Redio Ebony FM ya Iringa
Msanii/Mtangazaji Soggy Doggy ameacha mzigo pande za redio Uhuru na leo rasmi ameondoka Dar es salaam nakwenda Iringa ambapo atakuwa akifanya kazi katika kituo kingine cha Redio kinachoenda kwa jina la Ebony Fm.
Soggy Doggy ashawahi kufanya kazi katika vituo vya redio mbalimbali hapa nchini kama Arusha na Mwanza.

Kutana na Mwanamke Mzee Kuliko Wote Duniani

Masao Okawa ni bibi mwenye umri wa miaka 114, ambapo jumanne ya wiki ijayo atakuwa anafikisha miaka 115, na tayari kitabu cha Guiness World Records wamemtaja kama mwanamke mzee kuliko wote duniani pichani anaonekana akiwa na mjukuu wake wa kike na kitukuu chake.
Masao ambae alizaliwa mwaka 1898, amesema siri ya yeye kuishi muda wote huo, si tu kwamba anakula kitu chochote, bali chochote lakini cha kijapani tu na si vingine.
Wajapani wanapenda kula mbogamboga na samaki na kuepuka kula vyakula vya mafuta ukilinganisha na nchi zingine. Pia mwanaume mwenye umri mkubwa ni Mjapan jina lake ni Jiroemon Kimura anamiaka 115.
Guiness World Records

Tanzanian Journalist Harassed, Suspected of 'Selling State Secrets'

(RSF/IFEX) - Reporters Without Borders wrote to Tanzanian minister of home affairs Emmanuel Nchimbi last week to call for an end to the harassment of the journalist Erick Kabendera and his family by representatives of the state.
“Tanzania's ranking in the 2013 Reporters Without Borders press freedom index is 36 places lower than last year,” the 18 February letter said. “No journalists had been killed until September 2012, but thereafter two were killed in the space of four months and this has had a big impact on the Tanzanian news environment.
“Harassment by officials of such a respected journalist as Mr. Kabendera can only exacerbate the current sense of helplessness among Tanzanian journalists, especially when everything indicates that it is not random. These intimidation attempts are targeting a talented journalist and seem designed to protect a senior official who was affected by his testimony.”
Signed by secretary-general Christophe Deloire, the letter added: “Reporters Without Borders urges you to call the Immigration Department to order so that this disgraceful harassment stops. We also urge you to tell the police that they must do whatever is necessary to guarantee the safety of Mr. Kabendera and his family.” A former employee of the Dar es Salaam-based Guardian newspaper, Kabendera was...

UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAWI LA CCM DMV MAREKANI NI JUMAMOSI Machi 16, 2013

CCM DMV
TANGAZO LA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAWI LA CCM DMV
Ndugu Wana CCM DMV mnaombwa kuhudhuria mkutano wa uchaguzi bila kukosa,Ni nafasi ya kuwachagua viongozi wako utakao wapenda kujenga Chama imara.

SIKU: JUMAMOSI Machi 16, 2013
MUDA: SAA 10 JIONI (4pm)
MAHALI: TUTAWATANGAZIA

Ili uweze kupiga kura hakikisha una kadi yako ya Chama na uwe mwanachama hai, na kama huna kadi au umepoteza tafadhali wasiliana na Katibu wa Tawi wa muda
Yacob Kinyemi, Simu (202)-629-7841, email: yacob1972@yahoo.com

Nafasi zinazowaniwa ni:
1) Mwenyekiti wa tawi
2) Katibu wa Tawi
3) Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi wa Tawi
4) Katibu wa Fedha na Uchumi wa tawi
5) Mwenyekiti wa Vijana wa Tawi (UVCCM)
6) Katibu wa Vijana wa Tawi (UVCCM)
7) Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake (UWT)
8) Katibu wa Jumuiya ya Wanawake ya Tawi (UWT)
9) Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Tawi
10) Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Tawi

SIFA ZA MGOMBEA:
Awe na umri kuanzia miaka 18
Awe mwachama wa CCM mwenye kadi
Fomu za kugombania nafasi za uchaguzi ziwakilishwe kwa M/Kiti ( HIDAYA MAHITA)wa Kamati ya Uchaguzi kwa njia ifuatayo:
Fax: 1(888)835-5784 Email: ccmwashdc@gmail.com
Mailing address: 1709 HAMPSHIRE GREEN LANE#33 SILVER SPRING MD 20903
MWISHO WA KUCHUKUA NA KURUDISHA FOMU HIZO NI TAREHE 8 MARCH 2013

Moto wateketeza maduka zaidi ya kumi Tegeta

Moto umeteketeza maduka zaidi ya kumi, katika eneo la Tegeta Sokoni, manisipaa ya Kinondoni jijini Dar-es-Salaam,na kuwasababishia Wafanyabiashara hao hasara kubwa.

Camp Mulla - If You Believe Official Music (Video)

"If You Believe" - Miss Karun , Thee MC Africa and Shappa Man
Music Produced and Composed by: Kanyeria and Kus Ma
Video Director: Enos Olik
Camp Mulla sings for Peaceful Election by releasing their debut single of 2013 dubbed "If You Believe".General Elections in Kenya are fast approaching, slated for 4th March 2013.... for communities and our country to review and propose possible solutions with regard to peace ... ranging from a peaceful procession to advanced future growth & development for our economy. Just before the March elections, we urge all Kenyans to pray for peace, to love one another and in unity face the future together. This song is both a prayer and an awareness campaign for Peace and Prosperity in our beloved Nation. Never again should we allow our country to go through violence because of elections. We must choose peace over anything else. We believe that peace starts with the individual. It starts with you and me!

Chriss the Don ft Geez Mabovu na Kabayser - Ngoma Droo (Audio)

Chris the Dn ft Geez Mabovu na Kabayser

Wyre Nominated for International Reggae and World Music Awards

Dancehall artist Wyre
Dancehall artist Wyre the love child is riding high this year. After several nominations last year this year seems to have started in a similar way. Wyre has been nominated for the Best New Entertainer category at the prestigious International Reggae and World Music Awards (IRAWMA).
Wyre will be battling it out with some of reggae’s icons across the world like D Major who is one of the most celebrated artists internationally and Jamaica’s upcoming artist Chronixx.

The IRAWMA awards were established in 1982 and are aimed at acknowledging and honoring the accomplishments and contributions of reggae and music artists, including songwriters, performers, promoters and musicians.
The prestigious awarding ceremony is also committed to promoting greater participation and acceptance of Reggae, Caribbean and World Music Internationally. The event will this year be held on May 4th in Florida.

Rick Ross Aongezewa Ulinzi Na Polisi

Rick Ross Aongezewa Ulinzi Na Polisi
 Rapper kutoka Label ya Maybach Music Group [MMG], Rick Ross ameongezewa ulinzi na jeshi la polisi la New Yorkbaada ya rapper huyo kupata vitisho vya kuuwawa tena kutoka kwa watu wasiojulikana.
Kwa mujibu wa TMZ, rapper Rozay huyo atakuwa na ulinzi wa Masaa 24 kutoka kwa polisi hao wa NY.
Ross anaetamba kwa sasa na album yake ya GOD FORGIVES I DONT na pia mixtape BLACK BAR MITZVAH yupo katika maandalizi ya album yake ya 4 inayokwenda kwa jina la MASTERMIND

Sakata la Binti Kiziwi Kukamatwa na Madawa ya Kulevya China

 Jacqueline Patric 
SIKU chache baada ya mrembo wa video ya wimbo wa Binti Kiziwi wa Ally Mohammed ‘Z. Anto’, Sandra Khan ‘Binti Kiziwi’ kutiwa nguvuni kwa tuhuma za kunaswa na madawa ya kulevya nchini China, Jacqueline Patrick ‘Jack’ ambaye ni modo kiwango Bongo, amesema anajua kila kitu kuhusu tukio la kukamatwa kwake, Amani linakuhabarisha.
Akizungumza na mwandishi wetu katika mahojiano maalum juzi, jijini Dar es Salaam kuhusu uvumi ulioenea kwamba yeye ndiye aliyemchoma Binti Kiziwi kwa polisi na kusababisha kudakwa kwake, alisema tuhuma hizo si za kweli bali ni mbinu za watu wanaotaka kumchafua.

“Ngoja nikuambie ukweli, siku Binti Kiziwi anakamatwa mimi nilikuwepo uwanja wa ndege na niliona kila kitu. Unajua mwanzo alianza kulalamikia tumbo kumsumbua ghafla, akachukuliwa na kupelekwa kupewa huduma ya kwanza.
“Akiwa huko kwenye matibabu alipigwa ultrasound ndipo alipogundulika kuwa kumbe alikuwa na vitu tumboni.Katika hali kama hiyo unadhani ni mjinga gani anaweza kujitokeza na kudai huyo ni ndugu yake?”

“Mimi sijui chochote lakini nilichojua yule ni Binti Kiziwi na ni Mtanzania mwenzangu, tena staa kama mimi kwa hiyo sikuwa na sababu ya kumchoma ila ilivyogundulika hivyo nisingeweza kujitokeza maana na mimi pia ningetakiwa kuisaidia polisi kwenye uchunguzi.
“Kubwa kuliko yote, yeye ni ndugu yangu kabisa. Mama yake na mama yangu ni ndugu, nisingeweza kumchoma.”
“Jambo la muhimu nililoamua kufanya ilikuwa ni kutoa taarifa kwa ndugu zake wengine ili waweze kumsaidia.
Nilifanya hivyo kwa wakati. Siku zote nimekuwa karibu naye, hata nikienda China huwa nakwenda kumtembelea gerezani,” alisema Jack.