Pages

Mtanzania Apewa Uwaziri Rwanda

Paul Kagame
RAIS Paul Kagame wa Rwanda amemteua Mtanzania, Profesa Silas Rwakabamba kuwa Waziri wa Miundombinu wa nchi hiyo katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanyika Jumatatu iliyopita.

Kabla ya uteuzi huo, Profesa Rwakabamba alikuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Rwanda. Ni mmoja wa mawaziri wanaoingiza sura mpya katika Baraza la Rais Kagame ambalo amelifanyia mabadiliko kwa kuunda wizara nyingine mpya.

Sura nyingine mpya katika Baraza hilo ambalo liliapishwa juzi Ikulu ya Rwanda ni pamoja na Seraphine Mukantabana (Wakimbizi na Menejimenti ya Maafa) na Oda Gasinzigwa (Ofisi ya Waziri Mkuu- Familia na Jinsia).

Akizungumza kwa simu na mwandishi wetu jana, mdogo wa Profesa Rwakabamba, Timothy Rwamushaija anayeishi Dar es Salaam, alisema ndugu yake alizaliwa katika Kijiji cha Bushagara, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera.

Alisema Profesa Rwakabamba alikuwa Mtanzania aliyeamua ...

Sijue Sifa za Kila Mkoa wa Tanzania

Sijue Sifa za Kila Mkoa

Lulu Akanusha Kuomba Msaada

Lulu
LULU ambaye kwa sasa yupo uraiani kwa dhamana huku kesi yake ya tuhuma za kuua bila kukusudia ikiendelea, amesema kuwa hajafungua taasisi yoyote wala kuomba
misaada kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook. "Nasikia tu kwa watu eti sijui ninataka wasanii waigizaji kwa ajili ya taasisi yangu, mara nimetoa namba ya simu watu wanichangie ili nitengeneze filamu, sijafanya kitu kama hicho na wala siwezi nahitaji kutulia na kuangalia mambo yangu,"alisema.
Hivi karibuni kupitia facebook kumeonekana akaunti inayotumia picha na majina ya Lulu kwa kuwaomba wadau wa filamu wamchangie fedha kwa njia ya m-pesa na tigo-pesa.
Lulu anatuhumiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa msanii wa filamu, Steven Kanumba, kilichotokea mwaka jana.

Homeless Man's Astonishment After Donors Pledge Him $150,000 for Returning Diamond Engagement Ring

Homeless
KCTV 5 - Homeless: Billy Ray Harris's good deed has earned him over $150,000 (KCTV 5)
A homeless man has become the centre of a global fundraising campaign - after returning a diamond engagement ring to a bride-to-be who dropped it in his coffee cup.

Sarah Darling lost her ring on the streets of Kansas City when she it unknowingly dropped it into a cup belonging to Billy Ray Harris.
She desperately dashed back to the scene the next day after realising it was missing, and was overjoyed when Harris returned the valuable jewellery straight back to her.

The feel-good story has touched so many people that an online fundraising page for homeless Harris has since pulled $150,000 in less than a fortnight.
The act of selflessness by Harris, who sleeps under a bridge and spends his days in a square in Kansas City, has since been described as a 'miracle' by Ms Darling's fiance, Bill Krejci.

Mr Krejci, who set up the online donations page himself, said the act of generosity 'makes you realise that there are good people out there'.
The donations, which on Tuesday afternoon stood at $151,000, are currently enough for Harris to..
Read more..

Scam Series #13

Scam Series #13
Dear Friend.
Greetings to you and your family, I am the manager of bill and exchange in THE BANK, I have a business of 5.5 Million United State Dollars to be transfer to your account for investment in your country, if you are ready to assist me get back to me, I will give you full details on how the fund will be transfer to you.

Be rest assured that everything will be handled confidentially because, this is a great opportunity we cannot afford to miss, as it will make our family profit a lot.
It has been 6 years go, that most of the greedy African Politicians used our bank to launder money overseas through the help of their Political advisers.
Most of the funds which they transferred out of the shores of Africa were gold and oil money that was..

Chikwaso ft Stamina na Deddy - Mchaka Mchaka (Audio)

Chikwaso ft Stamina na Deddy

Watu Watatu Wamefariki Dunia Katika Ajali Iliyotokea Eneo la Kwasunga

Watu watatu wamekufa papo hapo kufuatia gari waliokuwa wamepanda aina Pajero lililokuwa likitokea jijini Dar es Salaam kwenda Arusha kuacha njia na kupinduka.

Lady Jaydee ft. Prof. Jay - Joto, Hasira. (Lyrics)

 Lady Jaydee
Mashairi haya yametangulia kabla ya ngoma hiyo inayofahamika kama JOTO, HASIRA ikiwa yameachiwa na Jaydee mwenyewe ili fans waweze kui-catch up ngoma yenyewe itakapotoka.

Chorus:
Hili joto hasira, ambaa
Upepo hakuna
Ambaa, naruka mwenyewe
Yelela, yelela, ambaa.
Foleni njia nzima, ambaa
Na pesa hakuna
Ambaa, naruka mwenyewe
Yelela, yelela, ambaa

VERSE 1:
Kila siku nimenuna
Kwanini tunagombana
Tena tunakosoana, kama tumechanganyikiwa...