Pages

Kama Unataarifa za Uhalifu, Hii Ndio Email ya Kamanda Kova

Suleiman Kova
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova ametoa anwani yake ya barua pepe kwa ajili ya Watanzania waliopo ndani na nje ya nchi kusaidia kutoa taarifa za siri za kufanikisha kukamata wahalifu.

Anwani hiyo ni: kova. suleiman@yahoo.com
Kova ametaka kuwasilishiwa kwa taarifa mbalimbali juu ya vitendo vya uhalifu kupitia anuani hiyo ili kukabiliana na hujuma na tishio la usalama wa viongozi wa dini au siasa.
Alisema kutokana na vitisho dhidi ya viongozi wa dini, kushambuliwa na kuuawa Polisi imeweka mtandao utakaoshirikiana kwa karibu na viongozi wa ngazi mbalimbali ili kuhakikisha kwamba maisha, mali pamoja na taasisi zao zinakuwa katika hali ya usalama.
Chanzo: wavuti

Sports Pictures Taken ON the Right Moment

Scam Series #11

Scam
Dear,
I'm contacting you in emergency for an investment proposal.
We have a sum of US$ 90 millions that we have to invest very quickly.
If you have a good project and if you can receive the funds in your country to invest
it
in your country, that would be perfect.
In this case, you will have 20% benefit from the total amount for your hekp.
After removing our part too, we will invest the remaining as a loan during 5 years
without any interest.
I can ensure you that this is a legal transaction, the money is clean and the business
is
risk free.
The person I'm looking for must be a
responsible and reliable one in order to conduct this
transaction as soon as possible.
Send me your name, address and telephone number, I
will call to introduce you the owner of the
funds, then we will sign a contract and start
the transfer and investment quickly.
I want a quick answer because the owner of
Funds want to conclude this matter as soon as possible.
May God bless you and your family
Mohamed Omar                                              - Scam -

Siri ya Mtungi Sehemu ya 5

Maisha yanazidi kumwendea ovyo Cheche pale anapoahidi kuwa mume mwema kwa kumsindikiza Cheusi kwenye kliniki ya uzazi. Wajibu wake kwa familia unaingia dosari hasa pale shangingi Lulu anapofika studio akitegemea zaidi toka kwa mpiga picha wake binafsi.
Stephen anakuwa hashikiki tena pale anaporudi na msichana kwenye banda la kaka yake, Duma.
Posa ya ndoa ya Mzee Kizito kwa Nusura ni ya dhati. Lakini

Daredevil Chicherit's Full MINI Backflip

Guerlain Chicherit makes a bold and complete John Cooper Works leap of faith, this time in the frigid snowscape of Tignes, France.

Docta D-one & Easy-one ft Nahreel - Revolution (Audio)

Docta D-one & Easy-one ft Nahreel

Criss Wamarya - Rudi (Audio) by Maneky

Criss Wamarya

Watu Wawili Wauawa Kikatili Mkoani Mara

Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa vibaya kwa kuchomwa visu huku mmoja ambaye ni mtoto yatima na mfanyakazi wa ndani akiuawa kikatili kwa kunyongwa na ndugu wa mwenye nyumba katika mtaa wa Kawawa katika manispaa ya Musoma mkoani Mara.

Matokeo Kidato cha Nne ‘Feki’ Mkurugenzi Green Acres Afichua Siri Nzito

WAKATI mjadala wa matokeo mabaya ya kidato cha nne ukiendelea kulitikisa taifa, kashfa mpya ya matokeo hayo imeibuliwa. Kashfa hiyo mpya imeibuliwa na Mkurugenzi wa Shule ya Green Acres, Julian Bujugo, kwamba matokeo ya baadhi ya shule nchini ikiwamo yake yamechakachuliwa.

Akizungumza na gazeti hili jana, Bujugo alisema kuwa baadhi ya wanafunzi kwenye shule yake hawakufanya mitihani ya kidato cha nne, lakini matokeo yanaonesha wamefaulu kwa kupata alama za juu.
Alitaja mfano wa mwanafunzi, Humphrey Sanga, mwenye namba 01197/148, ambaye hakufanya mitihani hiyo lakini matokeo yanaonesha amefaulu kwa kupata alama nzuri.
“Huyu mwanafunzi tulimsimamisha na hakufanya mitihani, lakini matokeo yake yanaonekana amepata hivi; Civics D, Historia D, Jiografia C, Kiswahili D, English C, Physics D, Chemistry C, Biology C, Basic Mathematics D, ambapo amepata daraja la tatu pointi 24,” alisema Bujugo.

Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.

Alimtaja mwanafunzi mwingine aliyefanya mtihani huo lakini matokeo yake yanaonesha...

PSY Wa Gangnam Style Akanusha Kupiga Show Dubai

PSY Wa Gangnam Style
Mwanamuziki mwenye asili ya Japan ambae amejizolea umaarufu mkubwa kupitia wimbo wake wa Gangnam Style, PSY amekanusha uzushi kuwa atapiga show Dubai hivi karibuni.
PSY Wa Gangnam StylePSY amekanusha uvumi ulioenea kuwa atapiga show Dubai Alhamis ya Tarehe 28 March mwaka huu. PSY amekanusha uvumi huo kupitia ukurasa wake wa Twitter mapema leo asubuhi kwa kuandika