Scam Series #11

I'm contacting you in emergency for an investment proposal.
We have a sum of US$ 90 millions that we have to invest very quickly.
If you have a good project and if you can receive the funds in your country to invest
it
in your country, that would be perfect.
In this case, you will have 20% benefit from the total amount for your hekp.
After removing our part too, we will invest the remaining as a loan during 5 years
without any interest.
I can ensure you that this is a legal transaction, the money is clean and the business
is
risk free.
The person I'm looking for must be a
responsible and reliable one in order to conduct this
transaction as soon as possible.
Send me your name, address and telephone number, I
will call to introduce you the owner of the
funds, then we will sign a contract and start
the transfer and investment quickly.
I want a quick answer because the owner of
Funds want to conclude this matter as soon as possible.
May God bless you and your family
Mohamed Omar - Scam -
Siri ya Mtungi Sehemu ya 5
Maisha yanazidi kumwendea ovyo Cheche pale anapoahidi kuwa mume mwema kwa kumsindikiza Cheusi kwenye kliniki ya uzazi. Wajibu wake kwa familia unaingia dosari hasa pale shangingi Lulu anapofika studio akitegemea zaidi toka kwa mpiga picha wake binafsi.
Stephen anakuwa hashikiki tena pale anaporudi na msichana kwenye banda la kaka yake, Duma.
Posa ya ndoa ya Mzee Kizito kwa Nusura ni ya dhati. Lakini
Stephen anakuwa hashikiki tena pale anaporudi na msichana kwenye banda la kaka yake, Duma.
Posa ya ndoa ya Mzee Kizito kwa Nusura ni ya dhati. Lakini
Daredevil Chicherit's Full MINI Backflip
Guerlain Chicherit makes a bold and complete John Cooper Works leap of faith, this time in the frigid snowscape of Tignes, France.
Watu Wawili Wauawa Kikatili Mkoani Mara
Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa vibaya kwa kuchomwa visu huku mmoja ambaye ni mtoto yatima na mfanyakazi wa ndani akiuawa kikatili kwa kunyongwa na ndugu wa mwenye nyumba katika mtaa wa Kawawa katika manispaa ya Musoma mkoani Mara.
Matokeo Kidato cha Nne ‘Feki’ Mkurugenzi Green Acres Afichua Siri Nzito
WAKATI mjadala wa matokeo mabaya ya kidato cha nne ukiendelea kulitikisa taifa, kashfa mpya ya matokeo hayo imeibuliwa. Kashfa hiyo mpya imeibuliwa na Mkurugenzi wa Shule ya Green Acres, Julian Bujugo, kwamba matokeo ya baadhi ya shule nchini ikiwamo yake yamechakachuliwa.
Akizungumza na gazeti hili jana, Bujugo alisema kuwa baadhi ya wanafunzi kwenye shule yake hawakufanya mitihani ya kidato cha nne, lakini matokeo yanaonesha wamefaulu kwa kupata alama za juu.
Alitaja mfano wa mwanafunzi, Humphrey Sanga, mwenye namba 01197/148, ambaye hakufanya mitihani hiyo lakini matokeo yanaonesha amefaulu kwa kupata alama nzuri.
“Huyu mwanafunzi tulimsimamisha na hakufanya mitihani, lakini matokeo yake yanaonekana amepata hivi; Civics D, Historia D, Jiografia C, Kiswahili D, English C, Physics D, Chemistry C, Biology C, Basic Mathematics D, ambapo amepata daraja la tatu pointi 24,” alisema Bujugo.
Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.
Alimtaja mwanafunzi mwingine aliyefanya mtihani huo lakini matokeo yake yanaonesha...
Akizungumza na gazeti hili jana, Bujugo alisema kuwa baadhi ya wanafunzi kwenye shule yake hawakufanya mitihani ya kidato cha nne, lakini matokeo yanaonesha wamefaulu kwa kupata alama za juu.
Alitaja mfano wa mwanafunzi, Humphrey Sanga, mwenye namba 01197/148, ambaye hakufanya mitihani hiyo lakini matokeo yanaonesha amefaulu kwa kupata alama nzuri.
“Huyu mwanafunzi tulimsimamisha na hakufanya mitihani, lakini matokeo yake yanaonekana amepata hivi; Civics D, Historia D, Jiografia C, Kiswahili D, English C, Physics D, Chemistry C, Biology C, Basic Mathematics D, ambapo amepata daraja la tatu pointi 24,” alisema Bujugo.
Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.
Alimtaja mwanafunzi mwingine aliyefanya mtihani huo lakini matokeo yake yanaonesha...
PSY Wa Gangnam Style Akanusha Kupiga Show Dubai
Mwanamuziki mwenye asili ya Japan ambae amejizolea umaarufu mkubwa kupitia wimbo wake wa Gangnam Style, PSY amekanusha uzushi kuwa atapiga show Dubai hivi karibuni.
PSY amekanusha uvumi ulioenea kuwa atapiga show Dubai Alhamis ya Tarehe 28 March mwaka huu. PSY amekanusha uvumi huo kupitia ukurasa wake wa Twitter mapema leo asubuhi kwa kuandika
Subscribe to:
Posts (Atom)


