Msanii wa filamu mwenye mashabiki lukuki ndani na nnje ya dar Jb ama Jacob Stephen amesema ameshtushwa sana na sms pamoja na simu alizopokea Ray zikijieleza au kuuliza kama yeye ( Jb) yupo hai Jb amesema kuwa yeye yupo hai hajafa na amesikitishwa sana kifo cha kaka yake huyo.
Mashabiki na wadau wa filamu jana walizua utata na huzuni ya ghafla mara baada ya kuanza kutumiana sms zinazosema jb kafariki huku wengine wakiwasiliana na msanii Vicent Kigosi Ray kutaka kujua ukweli.
MSANII JACOB STEPHAN (JB)ALIYEDHANIWA KAFARIKI
Akiongea na sisi kwa njia ya simu Jb amesema kuwa,,,Naomba mashabiki wangu wasipatwe na hofu kwani mimi nipo hai na wala siumwi, jb aliendelea kutowa ufafanuzi kwamba aliyefariki ni yule big bosi mwenye kumiliki hotel kadhaa kama,,,,JB BELMONTE YA DAR NA YA MWANZA- AMBASSADOR CLUB,NA SAVANNAH LOUNGE,,,Kusema kweli nimepokea simu na sms nyingi sana lakini kifupi naomba kaka uwajulishe watu juu ya hili na amini blog yako inasomwa sana na mashabiki wangu sasa wape taarifa kuwa nipo hai na hakika nimeumia sana kwa kuondokewa na ndugu yangu wajina wangu kaka yangu rafiki yangu marehemu justus baguma alimaarufu kama Jb Belimonte,huyo ndio Jb aliyefariki na sio mimi alisema JB.
Taarifa za ndani zinadai Jb Belmonte alikumbwa na umauti wakati akiwa chumbani kwake kalala huku chanzo cha kifo hicho kikiwa ...
Akiongea na sisi kwa njia ya simu Jb amesema kuwa,,,Naomba mashabiki wangu wasipatwe na hofu kwani mimi nipo hai na wala siumwi, jb aliendelea kutowa ufafanuzi kwamba aliyefariki ni yule big bosi mwenye kumiliki hotel kadhaa kama,,,,JB BELMONTE YA DAR NA YA MWANZA- AMBASSADOR CLUB,NA SAVANNAH LOUNGE,,,Kusema kweli nimepokea simu na sms nyingi sana lakini kifupi naomba kaka uwajulishe watu juu ya hili na amini blog yako inasomwa sana na mashabiki wangu sasa wape taarifa kuwa nipo hai na hakika nimeumia sana kwa kuondokewa na ndugu yangu wajina wangu kaka yangu rafiki yangu marehemu justus baguma alimaarufu kama Jb Belimonte,huyo ndio Jb aliyefariki na sio mimi alisema JB.
Taarifa za ndani zinadai Jb Belmonte alikumbwa na umauti wakati akiwa chumbani kwake kalala huku chanzo cha kifo hicho kikiwa ...

