Pages

JB AFARIKI DUNIA CHUMBANI KWAKE

JB
JB Msanii wa filamu mwenye mashabiki lukuki ndani na nnje ya dar Jb ama Jacob Stephen amesema ameshtushwa sana na sms pamoja na simu alizopokea Ray zikijieleza au kuuliza kama yeye ( Jb) yupo hai
Jb amesema kuwa yeye yupo hai hajafa na amesikitishwa sana kifo cha kaka yake huyo.
Mashabiki na wadau wa filamu jana walizua utata na huzuni ya ghafla mara baada ya kuanza kutumiana sms zinazosema jb kafariki huku wengine wakiwasiliana na msanii Vicent Kigosi Ray kutaka kujua ukweli.
MSANII JACOB STEPHAN (JB)ALIYEDHANIWA KAFARIKI
Akiongea na sisi kwa njia ya simu Jb amesema kuwa,,,Naomba mashabiki wangu wasipatwe na hofu kwani mimi nipo hai na wala siumwi, jb aliendelea kutowa ufafanuzi kwamba aliyefariki ni yule big bosi mwenye kumiliki hotel kadhaa kama,,,,JB BELMONTE YA DAR NA YA MWANZA- AMBASSADOR CLUB,NA SAVANNAH LOUNGE,,,Kusema kweli nimepokea simu na sms nyingi sana lakini kifupi naomba kaka uwajulishe watu juu ya hili na amini blog yako inasomwa sana na mashabiki wangu sasa wape taarifa kuwa nipo hai na hakika nimeumia sana kwa kuondokewa na ndugu yangu wajina wangu kaka yangu rafiki yangu marehemu justus baguma alimaarufu kama Jb Belimonte,huyo ndio Jb aliyefariki na sio mimi alisema JB.

Taarifa za ndani zinadai Jb Belmonte alikumbwa na umauti wakati akiwa chumbani kwake kalala huku chanzo cha kifo hicho kikiwa ...

Polisi Waanza Kuwafuatilia na Kuwasaka Waliomtukana Spika

Spika wa Bunge,Anne Makinda  
POLISI mkoani Dar es Salaam wametangaza kuwafuatilia, kuwasaka na kuwachukulia hatua wote waliotuma ujumbe wa matusi ama kupiga simu ya vitisho kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda. Viongozi wa Chadema walifanya mkutano wao mwishoni mwa wiki kwenye Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke, jijini Dar es Salaam na kutoa namba za Spika wa Bunge ili mashabiki wamshinikize ajiuzulu. Pia viongozi hao walitoa namba za simu za Naibu Spika, Job Ndugai ili naye ashinikizwe ang’oke katika nafasi yake kwa madai ya kukandamiza upinzani bungeni. Chadema walidai kuwa

Makinda na Ndugai wamekuwa wakipindisha kanuni wakati wa kuliongoza Bunge. Pia walidai kuandaa taarifa ya kutokuwa na imani na maspika hao, ripoti ambayo wataiwasilisha kwenye Bunge lijalo.
Wakati Polisi wakitangaza hayo, juzi Ofisi ya Bunge kupitia kwa katibu wake, Thomas Kashilillah ilisema itawachukulia hatua kali wale wote waliotumia lugha chafu kwa ujumbe mfupi ama kupiga moja kwa moja kwa Spika na Naibu wake.
Hatua hiyo ya polisi inachukuliwa baada ya Makinda kudai kuwa ametumiwa ujumbe mfupi zaidi ya 400 na kupigiwa simu zisizopungua 200, zinazomkashifu na nyingine zikiwa ni za ...

Top Naked Women Protest Pope's Resignation

Top Naked Women 
Eight feminists flashed their breasts in the heart of Paris’s Notre Dame cathedral to celebrate Pope Benedict XVI’s shock resignation announcement.
The members of the Femen movement entered the Gothic cathedral dressed in long coats which they whipped off inside while ringing three bells neÂșar the altar.
“Pope no more!” they cried. “No more homophobe” and “Bye bye Benedict!” Scandalized visitors voiced their disapproval. “This is a sacred place, you can’t strip here,” said a Frenchwoman.
The Femen women’s power group has been making headlines since 2010 for topless feminist, pro-democracy and anti-corruption protests in Russia, Ukraine and London.

The Aga Khan Hospital, Dar es Salaam is Now Offering Cardiology Clinics

The Aga Khan Hospital, Dar es Salaam

Monday - Friday, 2:00pm - 4:30pm and FREE consultations on Wednesdays and Thursdays.
For Booking / more information call: +255 22 2115151-53 ext 4702.

Sheikh Nassor Bachu Aiaga Dunia

Sheikh Nassor Bachu  
Sheikh Nassor Bachu ametutangulia mbele ya haki, Taarifa hii ni kwa mujibu wa wana familia, Sheikh Nassor amefariki huko Chukwani na taarifa za mazishi tutaendelea kujulishana baadae inshaallah. Inna lillahi wainna ilayhi rajiun. Mwenyeenzi Mungu ampokee mja huyu kwa salama na amlaze mahali pema na inshaallah kaburi lake liwe miongoni mwa mabustani ya peponi Yarabbi.

Drake - Started From The Bottom (Official Video)

Lightning Strikes St Peter's Basilica as Pope Benedict XVI Resigns!! -Video

Pope Benedict has shocked a billion Roman Catholics around the world, and his closest advisers, by announcing that he will resign at the end of this month.
Within hours of Pope Benedict announcing his resignation, lightning struck St Peter's Basilica.
The Pope, who is 85 years old, has been the head of the Church since 2005.

Mum of Eight 'Killed by Her Addiction to Coca-Cola'

Coca-Cola 
A MUM OF EIGHT’S addiction to drinking 18 PINTS of Coca-Cola a day probably killed her, a coroner has ruled. The coroner called on soft drinks firms to carry more warnings about the risks of sugar and caffeine
Natasha Harris, who died three years ago after a cardiac arrest, drank up to 10 litres of the fizzy drink each day.
This is twice the recommended safe limit of caffeine and more than 11 times the recommended sugar intake.

Coca-Cola had argued that it could not be proved its product had contributed to Ms Harris’ death.
The mother of eight, from the southern city of Invercargill, had suffered for years from ill health.
Her family said she had developed an addiction to Coca-Cola and would get withdrawal symptoms, including “the shakes”, if she went without her favourite drink.
She drank Coke throughout her waking hours and her teeth had ...

1O wa Epiq BSS Kuanza Zara Mikoani Ijmaa Hii

Epiq BSS
Awaichi Mawalla  
Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel leo imetangaza uzinduzi wa ziara za mikoani kwa wasanii walioshiriki shindano la kuimba la Epiq Bongo Star Search ambapo ziara hiyo itaanzia Dodoma ijumaa hii kwenye ukumbi wa Maisha Club ikifuatiwa na Dar es Salaam.
Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa Zantel, Awaichi Mawalla(Pichani katikati) amesema itajumuisha vijana walioingia kumi bora, akiwamo Menina Atick, Nsami Nkwabi, Husna Nassor, Geofrey Levis, Wababa Mtuka, Norman Severino pamoja na mshindi wa milioni hamsini, Walter Chillambo.
Mshiriki Norman Severino akiongea mbele ya waandishi wa habari
Katika ziara hiyo pia, ambayo inafanyika kwa mara ya kwanza toka kuanzishwa kwa mashindano hayo mwaka 2006, wapenzi wa muziki watapata fursa ya kumshuhudia mshindi wa Epiq BSS, Walter Chillambo ambaye atakuwa akizundua wimbo wake siku hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ziara hiyo, Afisa biashara mkuu wa Zantel, Sajid Khan, alisema dhumuni kubwa la ziara hiyo ni kuwajengea vijana hao msingi katika kazi yao ya muziki baada ya shindano la Epiq BSS kuisha.
‘Lengo letu kuu la kudhamini Epiq BSS haikuwa kumpa mshindi zawadi, la hasha, bali tulikuwa na mpango madhubuti wa kubadilisha maisha ya vijana hawa kupitia vipaji vyao’ alisema Khan.
‘Lakini pia dhumuni la Zantel ni kuonyesha kuwa...

All the Oscar Winners in One Amazing Graphic

The list of Best Pictures at the Oscars is a long and illustrious one.
So to commemorate 85 years of handing out statues for the best film of the year, artist Olly Moss was tasked with making a poster by the Academy of Motions Picture Arts and Sciences.
Oscar Winners
Representing each Best Picture with a twist to the iconic art deco figure, Moss has encapsulated nearly a century in filmmaking.
Often witty, sometimes poignant, it's yet more fine work from Moss, who has previously reworked posters for everything from 'Blade Runner' to 'The Dark Knight Rises'.
The question is: can you name all the winners?
You can check out more of his work here.