Pages

UN and Humanitarian Partners In D.R. Congo Launch Us$892.6 Million Action Plan For 2013

UN
 United Nations agencies, humanitarian partners and the Government of D.R. Congo today launched a US$892.6 million Humanitarian Action Plan (HAP) to provide aid to millions of people affected by food insecurity, conflict and disease in 2013.

“The HAP represents the hope that affected families have in us. In return we promise to do all we can to help them meet their essential humanitarian needs,” said the Humanitarian Coordinator, Moustapha SoumarĂ©, at the launch in Kinshasa.

The Plan responds to the growing needs of 3.9 million people across the country including 2.7 million internally displaced, more than half of them in the eastern Kivu provinces. Also the...

Actress Amanda Bynes Calls Jay Z ugly

Amanda BynesJay Z The actress posted this on her twitter page and deleted it a few minutes later after she was bashed by Jay Z fans and people who found it offensive. She took it down but didn't apologize or offer an explanation.I smell twitter war lol

Mabondia Fransic Miyeyusho na Sadiki Momba Kuzichapa Pasaka

Sadiki Momba
Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto akitunishina msuri na Sadiki Momba wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika siku ya sikukuu ya Pasaka.
Fransic Miyeyusho
Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto akitunishina msuri na Sadiki Momba wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika siku ya sikukuu ya Pasaka, wanashudia katikati ni Promota wa mpambano huo, Kaike Silaju na Makamu wa Rais wa PST, Aga Peter .

UmojaPhone – Rates Decrease to Tanzania Now Only 16.9cts/min, Lowest Rates To Other Destinations


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMqaQaTRfoziaoelZd4uj6cH95O8OZ3HawZGKVvKDzPLnZbw6CLqNjS5xmSZYEkVEcSt3sAuy0nIsARTmblU6rzj_9-MfO1oT7zVtkXIVEY3bcsg83DJ1Rzaf-BuuGl1d2SzR-T4KSmYp1/s640/UmojaPone+Tanzania+Rate+Decrease+(1).jpg

Jambo Squad "Tukunyema" Vocal session at Noizmekah Production Studios Arusha


Barnaba - Am Sorry [Official Video]


Ajira!! Ajira!!

Ajira



Msikilize Mganga wa Diamond ndani ya U Heard!! XXL


Solar Superstorm. UK Warning!!

Solar Superstorm
Britain must do more to prepare for a once-in-a-century "solar superstorm", according to experts.
The Government is being urged by the Royal Academy of Engineering to set up a UK Space Weather Board to help cope with a massive radiation blast from the Sun.
Such an explosion could trigger black-outs, knock out one in 10 satellites, and disrupt aircraft and GPS systems.
Statistically a solar superstorm is likely to occur every 100 to 200 years.
Although solar weather events happen regularly, the Earth has not experienced a superstorm since the start of the space age.
More..

Utalii Waingiza Sh10.8 Trilioni

Utalii
JUMLA ya Dola za Marekani 6.3 bilioni sawa na Sh10.8 trilioni,zilipatikana katika kipindi cha mwaka 2007 hadi 2011,kupitia njia ya utalii kwa kupokea watalii 3,854,467, Bunge lililezwa jana.
Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika,Adam Malima ambaye alikuwa akijibu swali kwa niaba ya Waziri wa Maliasili na Utali, Hamisi Kagasheki.
Malima alikiri kuwa ni kweli Tanzania ina vivutio vingi na ambavyo ni maarufu ikilinganishwa na nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),licha ya kuwa havijatangazwa kikamilifu.
Alisema kwa sasa wastani wa watalii wanaoingia Tanzania ni kati ya 770,894 ambao huingia kwa ajili ya kufanya shughuli za utalii katika maeneo ya uwindaji, utalii wa picha pamoja na kuangalia ndege.
Katika swali la msingi,Kombo Khamisi Kombo (CUF) alitaka kujua Tanzania inaingiza mapato kiasi gani ikilinganishwa na vivutio vilivyoko nchini kuliko nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mbunge huyo alitaka kujua pia wastani wa watalii wanaoingia nchini kwa kila mwaka na kuhoji kwa nini serikali inaendelea kulifumbia macho na kuwaachia wananchi wa Kenya kuendelea ...