Pages

Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Soko Kuu Mwanza Akutwa na Jeneza Ndani ya Soko

Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa soko kuu jijini Mwanza Bw. Hamad Nchola anadaiwa kukutwa na jeneza ambalo hata hivyo halikuwa na maiti ndani yake, likiwa katikati ya magunia ya viazi mviringo na hivyo kusababisha umati wa watu kufurika ndani ya soko hilo huku baadhi yao wakilihusisha tukio hilo na imani za kishirikina.

Timbaland Signs with Roc Nation

Timbaland
Jay-Z has added another major player to the Roc Nation with the announcement on Wednesday (January 30) that super producer Timbaland is now in the fold.
With a picture of the two old friends and collaborators chilling in a studio, Jay broke the news on his "Life & Times" blog with the caption, "Roc Nation welcomes Timbaland to the family." The news comes as Tim is back in the news thanks to his signature skittering beat on old friend Justin Timberlake's comeback single, "Suit & Tie."
The move makes sense, since Jay and Tim have a long, storied history making big hits, from 1998's "Jigga What, Jigga Who" from the rapper's third album, Vol. 2: Hard Knock Life to one of Jay-Z's biggest hits, "Big Pimpin'," from Vol. 3 ... Life and Times of S. Carter. They hooked up again on 2003's The Black Album for "Dirt Off Your Shoulder" and in 2009 on The Blueprint 3's "Off That" featuring Drake. Other tunes they've collaborated on include "Hola Hovito" from The Blueprint and "What They Gonna Do" and "The Bounce" from The Blueprint 2: The Gift & The Curse.

Tim's long career as a producer goes back 20 years to his early work with Jodeci and Aaliyah. In the years since he's worked with everyone from frequent collaborator Missy Elliot, to Janet Jackson, Usher, Nas, Eminem, No Doubt, Timberlake, Ludacris, Jennifer Lopez, Jamie Foxx, M.I.A., OneRepublic and Chris Brown.

TRA Wanajipanga Kuchukua Kodi kwa Wamiliki wa Nyumba za Kupanga

TRA,Mamlaka ya Mapato Tanzania 
UONGOZI wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wamesema wanakuna vichwa juu ya jinsi ambavyo watafanikisha kukusanya kodi kutoka kwa wenye nyumba nchini wanaofanya biashara ya kuzipangisha.
Kamishna Mkuu wa TRA, Harry Kitillya alisema jijini hapa mwishoni mwa wiki kwamba kuna changamoto nyingi katika ukusanyaji wa kodi kutoka kwenye nyumba zilizopangishwa.
Alisema ni kawaida kwa kila mtu anayepata fedha kihalali lazima alipe kodi, lakini utaratibu wa kudai kodi kutoka kwenye nyumba zilizopangishwa bado unatafutwa.
“Katika ukusanyaji wa kodi changamoto ipo kwenye kukusanya kodi inayotokana na biashara ya upangisaji, kwa sababu wenye nyumba wengine hawataki kuonyesha mikataba halisi, lakini sasa tumepata wazo tofauti ambalo tunalifanyia kazi ni kutafiti kwamba bei za nyumba za kupanga kulingana na eneo husika, mfano tukijua Masaki wanapangisha nyumba kwa kiasi gani tutakuwa tumepata pa kuanzia, pia tunataka kulifanya suala hili kwa kuhakikisha sheria inatumika ipasavyo,” alisema Kitillya.

Kitillya aliyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kumalizika kwa sherehe za Mahafali ya Tano ya Chuo cha Kodi, kilichopo jijini Dar es Salaam, ambapo wahitimu walikuwa ni 435 miongoni wakiwamo wanawake 137 sawa na asilimia 31.

Awali katika mahafali hayo Mwenyekiti wa Baraza la chuo hicho, Profesa Palamagamba Kabudi akitoa hotuba yake alisema katika kuhakikisha wanatoa huduma kwa wadau wote wa mfumo wa kodi udahili wa wanafunzi umekuwa ukiongezeka mwaka hadi mwaka.
Alisema hadi sasa chuo kimeweza kutoa jumla ya wahitimu 1,780 tangu mwaka 2007 kiliposajiliwa. “Chuo kimeweza kuingiza mapato ya Sh3,333,043,499.44 kwa kipindi cha miaka minne, chuo kimejiwekea mpango wake ambao unaanza kutekelezwa katika mwaka ujao wa fedha’’ alisema.
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Fedha, Saada Mkuya aliyekuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo, katika hotuba yake aliwapongeza wahitimu hao na kuwataka watumie vyema ujuzi na maarifa waliyopata kwa faida ya taifa, ikiwa ni pamoja na kuongeza ufanisi katika usimamizi wa kodi na kuwasaidia walipakodi watimize wajibu wao wa kulipa kodi kwa hiari.(Mwananchi)

Funniest Longest Compilation

Kipanya Leo

Kipanya

Mr Blue Atiririka Kuhusiana na Sakata la Shirika la Nyumba la Taifa NHC

Kabaise,Mr Blue
Mkali wa long time kwenye game la Bongo Fleva Tzee Henry Sammir mwenye a.ka. nyingi tu Mr. Blue ameonyesha kukerwa na uzushi kuwa ametupiwa virago aka vyombo vyake nje katika nyumba aliyokuwa akiishi maeneo ya Posta jijini Dar es salaam.
Akitia story na Gossip Cop Soudy Brown katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm leo mchana,Blue ama Kabaiser kama anavyopenda kujiita amesema nyumba hizo za shirika la nyumba la taifa NHC alikuwa akiishi mzee wake ambaye amekutana na sakata hilo ambalo tayari limekwishatafutiwa ufumbuzi lakini watu wamechanganya madawa na kudai ni yeye Blue wakati si kweli.
Blue amechukizwa sana na wasambazaji wa habari hizo ambazo zimedai tayari watu walishaanza kugawana pamba zake ambapo amesema watasubiri sana.

Rebel Music - The Bob Marley Story (full version)

Rihanna Opens up on her Reconciliation with Chris Brown

Rihanna
She left many fans horrified when she reconciled with on/off boyfriend Chris Brown last year.
However, Rihanna is unrepentant about her decision to forgive him for beating her nearly four years ago, admitted she decided to put her emotions first.
Speaking to the new issue of Rolling Stone magazine, the 24-year-old insists their relationship is 'different now' compared to when they originally dated in 2007-2009.
In the interview, Rihanna appears to officially confirm they are an item again following Chris's split from model Karrueche Tran last October.

After Chris was arrested for assaulting Rihanna on the way home from a pre-Grammys party in Los Angeles in February 2009, she admitted she want to punish him, even though she still loved him.
She explains: 'I wanted him to know what it felt like to lose me. To feel the consequences of that. So when that (stuff) came back it hit me like a ton of bricks.
'Like, God, you’ve got to be kidding right now. But I got real with myself, and I just couldn’t bury the way I felt.'
When she decided to give Chris another chance, she knew she would be criticised by fans, friends and the media, but decided to follow her heart.
She said: 'But I decided it was more important for me to be happy, and I wasn’t going to let anybody’s opinion get in the way of that.
'Even if it’s a mistake, it’s my mistake. After being tormented for so many years, being angry and dark, I’d rather just live my truth and take the backlash. I can handle it.'

She insists the relationship between the pair is ...

Siri ya Mtungi Sehemu ya 2

"Siri ya Mtungi" ni tamthilia ya televisheni inayofurahisha, inayoonyesha maisha ya Cheche, mpigapicha mwenye bashasha na mmiliki wa Studio ya Kupiga Picha ya Mtungi. Ana mke mrembo, Cheusi, aliyemzalia watoto wawili wenye afya na huku akiwa na ujauzito wa mtoto wa tatu.

Press Play - Djchoka ft. Mrap,Gosby,Vanessa,Mabeste & Deddy - Official Video