Pages

Picha a Lulu Akiwa Uraiani

Elizabeth Michael 
Lulu na mama yake mzazi wakilia baada ya kukutana nje ya Mahakama, Lulu amechiwa huru na Mahakama leo january 29 2013 mchana, pembeni ni mwigizaji Dr. Cheni ambae amekua karibu na familia ya Lulu kwa muda mrefu sana.
Elizabeth Michael
 Lulu akitokwa na machozi ya furaha
Elizabeth Michae
Lulu akiingia kwenye gari
 Elizabeth Michael
Baada ya jana kushindikana kwa sababu zisizo zuilika hatimaye msanii maarufu Elizbeth 'Lulu' Michael ametoka kwa dhamana baada ya kutimiza masharti yote ya dhamana yake yaliyo tolewa na mahakama kuu.
Mara baada yakutoka Lulu alieyeonekana akiwa mwenye majonizi na furaha kiasi aliomba watanzania wote wamuombee maana hii ni dhamana tu na kesi yake bado inaendela. Ali washukuru watu wote waliokuwa pamoja nae katika mkasa huuu  amabao bado unamzunguka na pia alimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa pamoja nae katika kipindi chote cha matatizo yanayo mkablia.
Wakili wake Ndugu Flugence Massawe amesema kwamba hii ni hatua ya kwanza kwasababu case bado inaendelea. Kwa sasa wanasubiri mahakama itoe tarehe ya Lulu kurudi mahakamani.

Young Dee ft Mr. Blue - Hujali

Young Dee ft Mr. Blue

Bunge Limeunda Kamati Maalumu Kwenda Mtwara Kutafuta Suluhu

Spika wa Bunge bi Anne Makinda
Spika wa Bunge bi Anne Makinda amesema Bunge limeunda Kamati Maalumu kwenda mkoani Mtwara kutafuta suluhu kuhusu suala la nishati ya gesi, iliyopatikana mkoani humo. Spika Makinda ameyasema hayo wakati akiahirisha kikao cha Bunge kilichoanza leo Mkoani Dodoma.
Spika amesema matokeo ya Kamati hiyo Maalumu yatawasilishwa kujadiliwa Bungeni. Iddi Maalim wa TBC anaripoti katika taarifa iliyosomwa saa saba mchana ifuatavyo:
Bunge sasa linaunda Kamati ambayo itakwenda Mtwara, kuwasikiliza Wananchi halafu ndani ya kikao hiki –mkutano huu unaofanyika– Kamati ya Bunge itakuwa imekwenda Mtwara, itawasikiliza Wananchi, italeta masuala ambayo yanazungumzwa kule Mtwara kisha yatajadiliwa.

Hili alikuwa analizungumza baada ya kusema kuwa amepokea vikaratasi na maombi mengi kwamba Bunge lijadili suala la Mtwara, gesi kama suala ambalo ni la dharura.
Lakini akasema kwamba, ile hoja si ya dharura na akaeleza pia ukweli kwamba Wabunge ambao wanasema lijadiliwe kama suala la dharura wengi wao hawalifahamu kwa undani, kwa hiyo badala ya kujadili jambo ambalo hawalifahamu kwa undani, ni afadhali ataunda kamati ambayo itakwenda Mtwara ikirudi itakuja na majibu, na mapendekezo ya Wananchi na ndipo Bunge litajadili ndani ya Mkutano huu wa kumi.

Largest Tree in South Africa, if not The World!

Sagole Baobab Tree
The Sagole Baobab is located in the far north of South Africa in the Limpopo Province. It is thought to be around 3000 years old and with a trunk diameter of over 43metres and a crown of over 38 meters, it is one of the largest Baobabs in the country, if not the world! As well as one of the biggest living things on earth. 
Sagole Baobab Tree

Crazy Kidaba's Booty hop

Afcon's Ghana vs DR Congo match, Sunday 20 January 2013, PE's Nelson Mandela Bay Stadium.Congo was way behind Ghana in the second half of the match at a score of 2-1 but things started to look up after Congo's striker Dieumerci Mbokani was awarded a penalty for a foul in the 69th minute..bless their silver lining, the striker scored! And their Goalkeeper Robert Kidaba,celebrated in a quite peculiar way...or as the commentators call it
“bum bunny hop”
http://25.media.tumblr.com/64722cf76103846a6ac22d3ee84bd14d/tumblr_mh0nw4Uj4V1qaznnlo1_500.gif

Best Fails of the Week 4 January 2013

Jokate Mwegelo na Martin Kadinda, Kashfa ya Kumiliki Danguro S.Africa

Jokate Mwegelo na Martin Kadinda,
Jokate Mwegelo na Martin Kadinda,
WANAMITINDO maarufu Bongo, Jokate Mwegelo na Martin Kadinda, wamekanyaga kashfa nzito baada ya kuhusishwa na umiliki wa danguro la wasichana nchini Safrika Kusini ‘Sauzi’Akizungumza msichana aliyejitambulisha kwa jina la Hilda Andrew alisema kuwa alikumbana na mkasa mzito baada ya kuchati na mrembo aliyejitaja kwa jina la Jokate na kumwambia kwamba anataka kumuunganisha kuwa mmoja wa wanamitindo wake nchini Afrika Kusini.
Msichana huyo alitiririka kuwa alikuwa akichati mara kwa mara na mwanadada huyo akijua ni Jokate hadi wakawa wanapigiana simu huku akimwambia kuwa yuko Sauzi akiwaandaa wanamitindo aliowapeleka kwa ajili ya onesho lililokuwa likifanyika nchini humo.
Aliendelea kutambaa na mistari kuwa baadaye mwanamke huyo alimwambia amemuachia maagizo Martin Kadinda ambaye angemuona na kumpima nguo kwa ajili ya kwenda nazo kwenye ..

Mkasi With Lundenga

Kikwete: Kuna Watu Wanatumia Udini Kuvuruga Nchi! Hatutalifungulia MwanaHalisi

MwanaHalisi
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna juhudi nyingi zinafanywa kuleta machafuko nchini na kuweka bayana kuwa wapo baadhi ya watu wanaolipwa ili kuchochea machafuko hayo kwa kutumia mgongo wa dini.
Mbali na wanaotumia dini ambao amesema Serikali itawadhibiti, Rais Kikwete pia ameonya kuwa hatakubali uchochezi wa vurugu unaofanyika kwa kupitia vyombo vya habari. Katika hilo, amesisitiza kuwa hatalifungulia gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa sababu kutaka wanajeshi waasi, siyo uandishi wa habari na haukubaliki.
Rais Kikwete alisema hayo juzi mjini hapa wakati akijibu hoja zilizoibuliwa katika ripoti ya tathmini ya Mpango wa Afrika Kujitathimini Kiutawala Bora (APRM) kwa Tanzania, iliyowasilishwa hapa.

Ripoti hiyo iliwasilishwa kwa viongozi wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika wanaoshiriki APRM na Barrister Muna, ambaye alikuwa kiongozi wa jopo lililofanya tathimini kwa Tanzania.
Katika ripoti hiyo, kulitolewa changamoto kuwa zimeanza kuonekana dalili za mgawanyiko kwa misingi ya dini nchini Tanzania. Changamoto nyingine zilizoainishwa ni madai ya uhuru wa vyombo vya ...

SHOCKING: Mother Giving Her Baby Boy A Tattoo

WARNING SOME VIEWERS MAY FIND DISTURBING

 Abuse Mother Giving Her Baby Boy A Tattoo! (Original Video)
Mum holds down toddler as he is given a tattoo
A TWISTED mum has been caught on camera restraining her screaming toddler son as he is given a TATTOO.
The clip shows the terrified lad, believed to be three, trying to escape as he writhes in agony.
Shockingly, his mum pins him to her chest during the procedure, understood to have taken place in Havana, Cuba.
At one point, she is heard saying "mire, mire" - Spanish for "look" - as her distraught child continues to scream and cry.
Hardcore dance music is heard playing in the background during the disturbing 1min 6sec film, posted online over the weekend.