
Bunge Limeunda Kamati Maalumu Kwenda Mtwara Kutafuta Suluhu

Spika wa Bunge bi Anne Makinda amesema Bunge limeunda Kamati Maalumu kwenda mkoani Mtwara kutafuta suluhu kuhusu suala la nishati ya gesi, iliyopatikana mkoani humo. Spika Makinda ameyasema hayo wakati akiahirisha kikao cha Bunge kilichoanza leo Mkoani Dodoma.
Spika amesema matokeo ya Kamati hiyo Maalumu yatawasilishwa kujadiliwa Bungeni. Iddi Maalim wa TBC anaripoti katika taarifa iliyosomwa saa saba mchana ifuatavyo:
Bunge sasa linaunda Kamati ambayo itakwenda Mtwara, kuwasikiliza Wananchi halafu ndani ya kikao hiki –mkutano huu unaofanyika– Kamati ya Bunge itakuwa imekwenda Mtwara, itawasikiliza Wananchi, italeta masuala ambayo yanazungumzwa kule Mtwara kisha yatajadiliwa.
Hili alikuwa analizungumza baada ya kusema kuwa amepokea vikaratasi na maombi mengi kwamba Bunge lijadili suala la Mtwara, gesi kama suala ambalo ni la dharura.
Lakini akasema kwamba, ile hoja si ya dharura na akaeleza pia ukweli kwamba Wabunge ambao wanasema lijadiliwe kama suala la dharura wengi wao hawalifahamu kwa undani, kwa hiyo badala ya kujadili jambo ambalo hawalifahamu kwa undani, ni afadhali ataunda kamati ambayo itakwenda Mtwara ikirudi itakuja na majibu, na mapendekezo ya Wananchi na ndipo Bunge litajadili ndani ya Mkutano huu wa kumi.
Spika amesema matokeo ya Kamati hiyo Maalumu yatawasilishwa kujadiliwa Bungeni. Iddi Maalim wa TBC anaripoti katika taarifa iliyosomwa saa saba mchana ifuatavyo:
Bunge sasa linaunda Kamati ambayo itakwenda Mtwara, kuwasikiliza Wananchi halafu ndani ya kikao hiki –mkutano huu unaofanyika– Kamati ya Bunge itakuwa imekwenda Mtwara, itawasikiliza Wananchi, italeta masuala ambayo yanazungumzwa kule Mtwara kisha yatajadiliwa.
Hili alikuwa analizungumza baada ya kusema kuwa amepokea vikaratasi na maombi mengi kwamba Bunge lijadili suala la Mtwara, gesi kama suala ambalo ni la dharura.
Lakini akasema kwamba, ile hoja si ya dharura na akaeleza pia ukweli kwamba Wabunge ambao wanasema lijadiliwe kama suala la dharura wengi wao hawalifahamu kwa undani, kwa hiyo badala ya kujadili jambo ambalo hawalifahamu kwa undani, ni afadhali ataunda kamati ambayo itakwenda Mtwara ikirudi itakuja na majibu, na mapendekezo ya Wananchi na ndipo Bunge litajadili ndani ya Mkutano huu wa kumi.
Largest Tree in South Africa, if not The World!

The Sagole Baobab is located in the far north of South Africa in the Limpopo Province. It is thought to be around 3000 years old and with a trunk diameter of over 43metres and a crown of over 38 meters, it is one of the largest Baobabs in the country, if not the world! As well as one of the biggest living things on earth.

Crazy Kidaba's Booty hop
Afcon's Ghana vs DR Congo match, Sunday 20 January 2013, PE's Nelson Mandela Bay Stadium.Congo was way behind Ghana in the second half of the match at a score of 2-1 but things started to look up after Congo's striker Dieumerci Mbokani was awarded a penalty for a foul in the 69th minute..bless their silver lining, the striker scored! And their Goalkeeper Robert Kidaba,celebrated in a quite peculiar way...or as the commentators call it
“bum bunny hop”
“bum bunny hop”
Jokate Mwegelo na Martin Kadinda, Kashfa ya Kumiliki Danguro S.Africa
Msichana huyo alitiririka kuwa alikuwa akichati mara kwa mara na mwanadada huyo akijua ni Jokate hadi wakawa wanapigiana simu huku akimwambia kuwa yuko Sauzi akiwaandaa wanamitindo aliowapeleka kwa ajili ya onesho lililokuwa likifanyika nchini humo.
Aliendelea kutambaa na mistari kuwa baadaye mwanamke huyo alimwambia amemuachia maagizo Martin Kadinda ambaye angemuona na kumpima nguo kwa ajili ya kwenda nazo kwenye ..
Kikwete: Kuna Watu Wanatumia Udini Kuvuruga Nchi! Hatutalifungulia MwanaHalisi

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna juhudi nyingi zinafanywa kuleta machafuko nchini na kuweka bayana kuwa wapo baadhi ya watu wanaolipwa ili kuchochea machafuko hayo kwa kutumia mgongo wa dini.
Mbali na wanaotumia dini ambao amesema Serikali itawadhibiti, Rais Kikwete pia ameonya kuwa hatakubali uchochezi wa vurugu unaofanyika kwa kupitia vyombo vya habari. Katika hilo, amesisitiza kuwa hatalifungulia gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa sababu kutaka wanajeshi waasi, siyo uandishi wa habari na haukubaliki.
Rais Kikwete alisema hayo juzi mjini hapa wakati akijibu hoja zilizoibuliwa katika ripoti ya tathmini ya Mpango wa Afrika Kujitathimini Kiutawala Bora (APRM) kwa Tanzania, iliyowasilishwa hapa.
Ripoti hiyo iliwasilishwa kwa viongozi wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika wanaoshiriki APRM na Barrister Muna, ambaye alikuwa kiongozi wa jopo lililofanya tathimini kwa Tanzania.
Katika ripoti hiyo, kulitolewa changamoto kuwa zimeanza kuonekana dalili za mgawanyiko kwa misingi ya dini nchini Tanzania. Changamoto nyingine zilizoainishwa ni madai ya uhuru wa vyombo vya ...
Mbali na wanaotumia dini ambao amesema Serikali itawadhibiti, Rais Kikwete pia ameonya kuwa hatakubali uchochezi wa vurugu unaofanyika kwa kupitia vyombo vya habari. Katika hilo, amesisitiza kuwa hatalifungulia gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa sababu kutaka wanajeshi waasi, siyo uandishi wa habari na haukubaliki.
Rais Kikwete alisema hayo juzi mjini hapa wakati akijibu hoja zilizoibuliwa katika ripoti ya tathmini ya Mpango wa Afrika Kujitathimini Kiutawala Bora (APRM) kwa Tanzania, iliyowasilishwa hapa.
Ripoti hiyo iliwasilishwa kwa viongozi wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika wanaoshiriki APRM na Barrister Muna, ambaye alikuwa kiongozi wa jopo lililofanya tathimini kwa Tanzania.
Katika ripoti hiyo, kulitolewa changamoto kuwa zimeanza kuonekana dalili za mgawanyiko kwa misingi ya dini nchini Tanzania. Changamoto nyingine zilizoainishwa ni madai ya uhuru wa vyombo vya ...
SHOCKING: Mother Giving Her Baby Boy A Tattoo
WARNING SOME VIEWERS MAY FIND DISTURBING
Abuse Mother Giving Her Baby Boy A Tattoo! (Original Video)
Mum holds down toddler as he is given a tattoo
A TWISTED mum has been caught on camera restraining her screaming toddler son as he is given a TATTOO.
The clip shows the terrified lad, believed to be three, trying to escape as he writhes in agony.
Shockingly, his mum pins him to her chest during the procedure, understood to have taken place in Havana, Cuba.
At one point, she is heard saying "mire, mire" - Spanish for "look" - as her distraught child continues to scream and cry.
Hardcore dance music is heard playing in the background during the disturbing 1min 6sec film, posted online over the weekend.
Mum holds down toddler as he is given a tattoo
A TWISTED mum has been caught on camera restraining her screaming toddler son as he is given a TATTOO.
The clip shows the terrified lad, believed to be three, trying to escape as he writhes in agony.
Shockingly, his mum pins him to her chest during the procedure, understood to have taken place in Havana, Cuba.
At one point, she is heard saying "mire, mire" - Spanish for "look" - as her distraught child continues to scream and cry.
Hardcore dance music is heard playing in the background during the disturbing 1min 6sec film, posted online over the weekend.
Fireworks Show Killed 233

Bouncers block only exit as flares set the ceiling alight
A BAND sets off fireworks in a packed club — just moments before a blaze broke out killing 233 people.
Sparks from the display, ignited as part of the act, hit the ceiling — sparking the devastating inferno in Brazil.
Many died after inhaling toxic fumes, while others were crushed in a battle to get out.
Bouncers, initially unaware of the unfolding horror, were baffled by the sudden exodus and blocked the only exit.
Many revellers mistook the club’s toilets for the way out. Their bodies were found “stacked” inside. Some 2,000 people were in the Kiss club in Santa Maria when flames ripped through it at 2.30am.

Grim task ... fireman carries a victim from club
Cop Luiza Souza said the singer wore a glove with a firework attached that was set off by remote control. He added: “The sparks hit sponge on the ceiling above the stage and from there the fire spread.”
Witnesses said the singer grabbed a fire extinguisher but it didn’t work. The band’s accordionist Danilo Jaques, was among the dead. Many victims were aged 16 to 20. A further 116 people were hurt.

Wrecked ... fire crews at burned-out building
Survivor Rodrigo Moura, 20, said: “Had the extinguisher worked nobody would have died.”
Murilo Tiecher, 26, said: “Bouncers were holding the exit door shut. It seemed they thought people were trying to leave because of a fight and didn’t want them to go without paying for drinks.” The bar had a tab arrangement.
Read more:.The sun.
A BAND sets off fireworks in a packed club — just moments before a blaze broke out killing 233 people.
Sparks from the display, ignited as part of the act, hit the ceiling — sparking the devastating inferno in Brazil.
Many died after inhaling toxic fumes, while others were crushed in a battle to get out.
Bouncers, initially unaware of the unfolding horror, were baffled by the sudden exodus and blocked the only exit.
Many revellers mistook the club’s toilets for the way out. Their bodies were found “stacked” inside. Some 2,000 people were in the Kiss club in Santa Maria when flames ripped through it at 2.30am.
Grim task ... fireman carries a victim from club
Cop Luiza Souza said the singer wore a glove with a firework attached that was set off by remote control. He added: “The sparks hit sponge on the ceiling above the stage and from there the fire spread.”
Witnesses said the singer grabbed a fire extinguisher but it didn’t work. The band’s accordionist Danilo Jaques, was among the dead. Many victims were aged 16 to 20. A further 116 people were hurt.
Wrecked ... fire crews at burned-out building
Survivor Rodrigo Moura, 20, said: “Had the extinguisher worked nobody would have died.”
Murilo Tiecher, 26, said: “Bouncers were holding the exit door shut. It seemed they thought people were trying to leave because of a fight and didn’t want them to go without paying for drinks.” The bar had a tab arrangement.
Read more:.The sun.
Subscribe to:
Posts (Atom)
