"Siri ya Mtungi" ni tamthilia ya televisheni inayofurahisha, inayoonyesha maisha ya Cheche, mpigapicha mwenye bashasha na mmiliki wa Studio ya Kupiga Picha ya Mtungi. Ana mke mrembo, Cheusi, aliyemzalia watoto wawili wenye afya na huku akiwa na ujauzito wa mtoto wa tatu
NI MARUFUKU WALIMU KUWAREJESHA WANAFUNZI NYUMBANI KWA KISINGIZIO CHA ADA
Na Kibada Kibada wa Fullshangwe-Katavi
Serikali imepiga marufuku Wakuu wa shule za Sekondari wote nchini kuwarudisha nyumbani wanafunzi kwa kisingizio cha kukosa Ada na michango ya aina yeyote ya aina mbalimbaliwatoto wanaoshindwa kuchangia na kulipa Ada kutokana na ama wazazi kutokawa na uwezo wa kulipia kwa wakati michango hiyo. Agizo hilo limetolwa jana na Naibu waziri wa Tamisemi Aggrey Mwanri wakati wa ziara yake mkoani katavi mara baada ya kutembelea shule ya sekondari ya Nsimbo Mkoani Katavi na kusomewa taarifa kuwa baadhi ya wanafunzi wanashinwa kuendelea na masomo kutokana na kukosa ada na michango mbalimbali inayotolewa mashuleni kutokana na wazazi waokuokuwa na uwezo.
“Ni marufuku kwa mkuu yeyote wa shule kuwrudisha nyumbani watoto kwa sababu ya kukosa ada ikiwamo michango ya madawati kwani kumrudisha nyumbani mtoto ni kumuonea michango hiyo adaiwe mzazi wakati mwanafunzi akiendelea na masomo”alisema Naibu waziri.
Alieleza kuwa michango yote inayotakiwa kukubaliwa shule ni lazima Katibu Tawala wa mkoa husika aione na kuridhia kwenye barua na siyo wakuu wa shule kujiamulia kienyeji hali inayoonesha kuwarudisha nyumbani wato ambao ..
Trapee ft Size 8 - City life
Trapee brings you yet another infectious banger featuring Linet aka Size 8 about the hustle of the big city
Video ya Ofisa wa TRA Akichukua Rushwa Waziwazi!!
Video hii imerekodiwa kutoka kwenye simu ya mkononi na inamuonyesha Ofisa wa TRA Arusha akipokea rushwa toka kwa mteja ili aweze kumhudumia.
Ofisa huyu yupo mapokezi (reception) na inadaiwa ni kawaida yake kupokea Rushwa na kuwa usipompa anadai kwa nguvu.
Wafanyakazi wa TRA na wakubwa zake inadaiwa wanajua kinachoendelea lakini hawachukui hatua.
Kuna utendaji mbovu, lugha chafu kwa wateja na za majivuno na mambo mengi yanayofanana na hayo.
Mamlaka husika zinaombwa kuingilia kati TRA Mapato, (karibu na Benki Kuu tawi la Arusha) ili raia wapate huduma bila vikwazo vya rushwa toka kwa maofisa kama huyu.
Ofisa huyu yupo mapokezi (reception) na inadaiwa ni kawaida yake kupokea Rushwa na kuwa usipompa anadai kwa nguvu.
Wafanyakazi wa TRA na wakubwa zake inadaiwa wanajua kinachoendelea lakini hawachukui hatua.
Kuna utendaji mbovu, lugha chafu kwa wateja na za majivuno na mambo mengi yanayofanana na hayo.
Mamlaka husika zinaombwa kuingilia kati TRA Mapato, (karibu na Benki Kuu tawi la Arusha) ili raia wapate huduma bila vikwazo vya rushwa toka kwa maofisa kama huyu.
Big Brother Seeks Hosemates!
who will the new housemates be? Who will find their name and their faces gracing newspapers, their profiles loaded to websites and blogs? Who will become the subject of drive time radio and just who will find themselves heating up the Twitter-sphere? At this time there is no way to know this but if you meet the entry requirements and enter between now and Valentine’s Day on February 14, you may well be among the superstars in waiting and may find yourself flirting with fame and fortune!
This year, entry is open to the same 14 countries as the year before with the only exception being Liberia which will be replaced by Ethiopia for this year. The replacement comes as ...
This year, entry is open to the same 14 countries as the year before with the only exception being Liberia which will be replaced by Ethiopia for this year. The replacement comes as ...
A British Grandmother is Sentenced to Death for Trying to Smuggle Almost 5kg of Cocaine!!
In shock: This is the moment Briton Lindsay Sandiford heard that she would receive the death penalty for drug smuggling" A British grandmother broke down in tears today and cried 'no, no, no' as she was sentenced to death for trying to smuggle almost 5kg of cocaine into Bali in her suitcase.
Lindsay Sandiford, from Gloucestershire, was arrested in May last year as she entered Indonesia on a flight from Thai capital Bangkok with £1.6million worth of the Class A drug.
State prosecutors had called for the 56-year-old housewife to be jailed for 15 years but there was a gasp in the Bali courtroom today when she was told she would be killed for her crime.
Sandiford slumped back stunned as the judges announced the shock sentence which, if carried out, will see her led into an orchard where she will be executed by firing squad, blindfolded and tied to a pole.
Mrs Sandiford was heard to cry in anguish from under her beige-coloured sarong, marked with a traditional Balinese pattern.
She also wept and declined to speak to reporters on her way back to prison.
Mrs Sandiford had hoped she would be spared execution because of her age and for her co-operation with authorities on the holiday isle.
She had also claimed she was coerced into the crime because her children were threatened.
But in its verdict, a judge panel headed by Amser Simanjuntak concluded that Sandiford has damaged the image of Bali as a tourism destination and weakened the government's fight against drugs.
'We found no reason to lighten her sentence,' he said.
She will appeal within the next 14 days and her hopes of escaping the firing squad now depend on a series of legal challenges and, finally, with a plea for mercy to the president if all her legal channels become exhausted.
There are around 114 prisoners on death row in Indonesia, at least 40 of them foreigners, most of them convicted of drug crimes. Several are Australians.
Distraught: Lindsay Sandiford of Britain reacts inside a holding cell after her sentencing today and cannot hide her shock"
Disbelief: Briton Sandiford speaks with her sister Hillary Parsons as they...
Subscribe to:
Posts (Atom)
