Pages

50 Years of History - Bob Julie

Akamatwa na Polisi kwa Matumizi Mabaya ya Facebook,ni Admin wa Facebook Page

Gor Mahia is Not a Club, Its a Lifestyle. But do we say
Wakati Kenya inazihesabu siku kadhaa kufikia siku ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, serikali ya Kenya inajaribu kwa njia zote kuziba mianya yote inayoweza kuzua hali ya machafuko kama yale yaliyotokea baada ya uchaguzi mwaka 2007, na sasa wameangazia facebook na blogs zinazohatarisha hali ya usalama.
Masaa machache baada ya serikali ya Kenya kutoa onyo kwa watumiaji na waendeshaji wa facebook pages na blogs kwa kuandika speeh ama status za uchochezi, mapema jana wamemkamata administrator wa moja kati ya facebook pages tano ambazo zilitajwa katika list ya kupewa onyo na serikali hiyo .
Admin huyo wa fan page maarufu ya "Gor Mahia is Not a Club, Its a Lifestyle. But do we say", Collins Okello a.k.a Dr. Jarunda Jaluth Mambodiad alikamatwa na kupelekwa katika makao makuu ya ..

Interpol on The Trail of Ugandan Jail Bad Black

Bird Bad Black
By OKI MARTINS. An international warrant of arrest has been issued for Ugandan celebrity Shanita Namuyimbwa aka Bad Black for failing to return to jail after a medical exeat. Bad Black a former prostitute and groupie jailed last year for fraud was released on a Shs100m bail to go for breast implants treatment in Dubai but has since not returned nor complied with the conditions of her bail. Bad Black is now required to go back to prison and serve her full four year jail term and the Ugandan authorities have enlisted the services of Interpol to help find her.
Bad Black was also supposed to report to court every two weeks during the exeat period but authorities said the mother of two had failed to comply. Last Friday, Bad Black was expected in court but she was nowhere to be seen and a warrant for her immediate arrest was then issued.
Reports say once outside jail, cash-strapped Bad Black who claimed to have seen the light and turned into a pastor inside prison immediately went for pastoral training. After being ordained she then hit the studios and recorded a single 'Nkyamuka' which she hoped would earn her a few Shillings.
Apparently the bad Black Pastor is unperturbed by the warrant of arrest hanging over her head as she reportedly posted the following update on her Facebook wall:
"MMMMM UR Joking!!! Ok look for me??Where Malaysia, Dubai, China, America am in hospital (Dubai Breast Surgery Hospital)...But Uganda, I'm very sick and you are looking for me...try Masaka"

Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar Washington State

Washington

Scam Series #6

Scam Series
FROM: THE DESK OF THE VICE PRESIDENT INTERNATIONAL LOTTERY
PROMOTIONS/PRIZE GIVING AWARD AVENUE NKURUMA SECTOR, 104OUAGA BP
!!!CONGRATULATION!!!

Dear lucky winner,
We are pleased to inform you of the result of the INTERNATIONAL
POOLS LOTTERY RAFFLE DRAW. International programs held on the 19th of December, 2012.Your e-mail address was attached to ticket number 771478998885 with serial number332569877454:2865 drew lucky numbers 896883666/457896 which consequently won in the 2nd category; you have therefore been approved for a lump sum payment of € 850,000.00 Euros. (Eight Hundred and fifty Thousand Euros).

VISIT THE WEBSITE (www.winningsponsorlotto.9f.com).
CONGRATULATIONS!!
Due to mix up of some numbers and names, we ask that you keep your winning information confidential until your claim has been processed and your money Remitted to you. This is part of our ...

Swahili Shakespeare - Rabbit

Jeshi la Polisi Wayafunga Madanguro Mwananyamala

Jeshi la polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni jijini Dar es salaam limeyafunga madanguro yaliyopo Mwananyamala na kuwakamata Akinadada 35 waliokuwa wakiuza miili yao pamoja na mama wa miaka 72 ambae anadaiwa kuwa ndie mmiliki wa madanguro hayo

Critics 147:Judith D.M Wambura a.k.a Lady Jay Dee

Judith Daines Wambura Mbibo akielezea mitazamombali mbali kuhusiana na uwekaji STAMP kwenye kazi za sanaa ya Muziki na Filamu,huuukiwa ni muendelezo wa kuwahoji wadau mbalimbali kuhusiana na mabadiliko hayo ya sheria ya ushuru wa bidhaa.

Listern to These Talented Kids

Yanga Yatoka Sare na Timu ya Ulaya

Armini Bielefeld vs Yanga
Timu ya Young Africans Sports Club imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya timu ya Arminia Bielefeld ya Ujerumani katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo jioni katika uwanja wa Adora Football pemebni kidogo ya mji wa Antalya.
Armini Bielefeld ilianza soka kwa kasi kwa lengo la kujipatia bao la mapema lakini umakini wa walinzi wa Yanga na mlinda mlango Ally Mustafa 'Barthez' ilikuwa kikwazo kwao kwani mashambulizi yao yaliishia mikononi mwake.
Ikiwa ni mchezo wake wa kwanza wa kujipima nguvu Young African iliweza kuonyesha soka safi katika kipindi cha kwanza hali iliyowashangaza wajerumani hao na kipindi cha pili kuamua kufanya mabadiliko ya kikosi kizima.
Viungo wa Yanga Frank Domayo, Haruna Niyonzima na Kabange Twite waliweza kutawala mchezo kwa dakika 45 zote za kipindi cha kwanza huku baadhi ya wajerumani waliokuwa wakishuhudia mchezo huo kushangazwa na kiwango cha timu ya Yanga
Hadi mapumziko timu zote zilikwenda mapumziko , Young Africans 0 - Arminia Bielefeld.
Kipindi cha pili Arminia Bielefeld iliamua kubadilisha kikosi chake chote cha wachezaji kwa lengo la..