Pages

Ugumu wa Maisha Wapelekea Kijana Kujifanya Mchungaji

DarSlam
Kijana ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja kutokana na hali aliyoionyesha akiwa anaongea kwa lugha ambayo haieleweki na huku akilia kwa sauti hadi kupelekea watu kujazana na kutaka kujua anachofanya mbele ya gari hilo huku biblia ikionekana kwa karibu.
DarSlam
Hapa sasa Chanzo cha Yeye Kulia na Kunena kwa lugha kama walokole wanavyofanya kikajulikana huku alipodai kuwa kwenye gari hilo kuna majini ndio maana ameamua kuliombea ili watoke.
DarSlam
DarSlam
Mchungaji Jina akilia kama huku akiwa anatoa maneno yasiyoeleweka kwa kujifanya yeye ni mchungaji na hapo akiombea gari hilo analodai kuwa lina mapepo
DarSlam
Baadhi ya wakazi wa eneo la Mtaa wa Msimbazi wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumshangaa kijana mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja baada ya kujifanya mchungaji huku akidai kuwa gari hilo mbele yake lina mapepo na ndio maana ameamua kuliombea hili yaweze kutoka. hayo yote yametokea jioni ya leo kwenye Mtaa wa Msimbazi karibu na Kituo cha Daladala cha Mbezi.

Is Justin Bieber Illuminati? "Baby" EVIL MESSAGES REVEALED!!

Cassidy - Gangnam Style ReMix

Gangnam Style ReMix

A Woman Accused of Hoarding Human Skulls and Bones in her Flat for Sex Convicted of Disturbing the Peace of Dead!

DarSlam
A woman accused of hoarding human skeletons for sex has avoided a necrophilia charge - but been convicted of “disturbing the peace of the dead."
The Sun told last month how the 37-year-old kept at least six skulls, one spine and “a large number of other bones” in a secret compartment, along with a drill, body bags and morgue pictures.
Pictures released by police showed the brunette LICKING and HUGGING skulls at her flat in Gothenburg, Sweden.
The prosecution had argued the unnamed woman had used the bones “for various sexual activities”, but charges of necrophilia were dismissed by the district court.
DarSlam
Playing around ... with toy
The court said: “Moving parts of the skeleton is a crime, since she was unauthorised to do so, just as it is a crime to assemble a skeleton and keep it lying on the floor, (and) to keep skeletal parts in plastic bags and use them for trade.
It added that the woman had knowingly handled the bones “in an undignified manner”.
The woman was also convicted of illegal possession of firearms, the only charge she pleaded guilty to.
Speaking to a local paper, she denied the allegations she used the bones for sexual gratification.
DarSlam
Odd ... cops found snaps
She said: “I’m not saying I’m the world’s nicest or best person. I’m an odd bird.
“I’m interested in forensics and I’m passionate about osteology. I have photographs of dead people.”
The woman was arrested in September and was released at the end of the trial on November 23. The prosecution has yet to decide whether it will appeal the ruling
The sun

Queen Darleen ft Nash Designer - Acha kokoro

Check out C-1 Street Test Drive


  It has two wheels and steering wheel therefore laborious to tell if it's even additional 2-wheel motorcycle or automotive. The manufacturer states that it's driven by an electric bike, perhaps we tend to might be
categorized as a scooter, however what regarding the steering wheel, seat and the door?
  The developer Daniel Kim believes that it is precisely this two-wheeled vehicle will be the longer term of motorcycles for sale and ought to go as early as 2014.

Sajuki Kurudishwa Tena India Kimatibabu

 
 Msanii wa Bongo movie maarufu kama Sajuki ,baada ya kufanya matamasha mbalimbali huko mikoani ameonekana hali yake si nzuri ki afya.Kwa mujibu wa Dinno ambaye ni rafiki yake wa karibu alisema kwamba hali ya Sajuki ilibadilika ghafla kipindi wakiendelea na ziara yao huko mikoani lakini kwa sasa wako katika mipango ya kumpeleka nchini India kwa ajili ya matibabu.

Angalia Kiasi cha Dhahabu Uingereza Inamiliki Zikiwa ktk Hifadhi

NMB Family Day

NMB
Wafanyakazi wa NMB pamoja na familia zao wakicheza mziki katika siki ya Familia.

Dar Metro Gazeti la Matangazo Litakalo Gawiwa Bure kwa Wasomaji


Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi (kushoto) akikabidhiwa gazeti jipya la Dar Metro na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited inayochapisha gazeti hilo, Juma Pinto (kulia), ofisini kwake Karimjee, Dar es Salaam leo. Gazeti hilo maalumu kwa matangazo linalotolewa mara mbili kwa mwezi, hugawiwa bure kwa wasomaji.

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi (kushoto) akisoma gazeti jipya la..