Pages

Sajuki Kurudishwa Tena India Kimatibabu

 
 Msanii wa Bongo movie maarufu kama Sajuki ,baada ya kufanya matamasha mbalimbali huko mikoani ameonekana hali yake si nzuri ki afya.Kwa mujibu wa Dinno ambaye ni rafiki yake wa karibu alisema kwamba hali ya Sajuki ilibadilika ghafla kipindi wakiendelea na ziara yao huko mikoani lakini kwa sasa wako katika mipango ya kumpeleka nchini India kwa ajili ya matibabu.

Angalia Kiasi cha Dhahabu Uingereza Inamiliki Zikiwa ktk Hifadhi

NMB Family Day

NMB
Wafanyakazi wa NMB pamoja na familia zao wakicheza mziki katika siki ya Familia.

Dar Metro Gazeti la Matangazo Litakalo Gawiwa Bure kwa Wasomaji


Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi (kushoto) akikabidhiwa gazeti jipya la Dar Metro na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited inayochapisha gazeti hilo, Juma Pinto (kulia), ofisini kwake Karimjee, Dar es Salaam leo. Gazeti hilo maalumu kwa matangazo linalotolewa mara mbili kwa mwezi, hugawiwa bure kwa wasomaji.

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi (kushoto) akisoma gazeti jipya la..

Trinidad James - All Gold Everything


 Trinidad James, New video. Too based. Too cray. WorldWide News!!

Kenya Launches Gay and Lesbian Awards


 The Kenya Human Rights Commission and the National Gay and Lesbian Human Rights Commission (NGLHRC) on Saturday launched the first gay and lesbian awards. The event, held at Charter Hall honoured Lesbians, Gays, Bisexuals, Transsexual, Intersex and Queer (LGBTIQ) individuals for their contributions to the Kenyan Society. Politicians, employers and journalists who are committed to advancing equality and social acceptance for LGBTIQ individuals in Kenya were also awarded.

Angalia Video ya Mbuzi Aliyezaa Mtoto Nusu Binaadamu


 Mombasa kumetokea maajabu ya kipekee. Treni imeteleza na kuanguka kutoka kwenye reli, lakini la kushangaza zaidi ni tukio la mbuzi aliyezaliwa akiwa na maumbile ya mwanadamu.

Mkasi With Sugu

Mlete Mwathirika wa Dawa za Kulevya, Pili Missanah Foundation


 Mahojiano na Dada Pilli Misanah mwanzilishi na Mkurugenzi wa kituo cha Pilli Misannah Foundation "Back to life sober house" iliyopo Kigamboni, Dar es Salaam
 Pili Missanah
P. O. Box 1281,
Dar es Salaam, Tanzania.
Cell: +255715744464 au +255757858563 au +255713118996
Email: pilimisanah@yahoo.com

Nakala za Makalla Vol II - JCB

JCB