Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiakata utepe kuzindua rasmi mradi wa ujenzi
wa nyumba 290 za gharama nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba la
Taifa (NHC)maeneo ya Kibada, Kigamboni, wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es
salaam leo December 13, 2012, akiwa pamoja na Mama Salma Kikwete, Naibu
Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole-Medeye, Naibu
Waziri wa..



