Pages

Tangazo la Ajira

Kazi

Bi Kidude Avishwa na Rais Kikwete Nishani ya Sanaa na Michezo

Bi Kidude
Rais Jakaya Kikwete, akimvisha Nishani ya Sanaa na Michezo, Bi Fatma Baraka Khamis (Bi Kidude)-BASADA, wakati wa sherehe ya kutunuku Nishani, iliyofanyika jana kwenye Viwanja vya Ikulu, jijini Dar es Salaam.
DarSlam
Bi Kidude, akiwa katika pozi baada ya kuvishwa Nishani yake na Rais Kikwete, huku akiimba wimbo wake wa Laiti, kwa poooozi.

Miaka 7 ya THT Dar Live

DarSlam
 Vijana wa THT wakiwasha moto wakati wa sherehe yao ya kutimiza miaka 7 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
DarSlamTHT

Ray C Atinga Ikulu!!! Uso kwa Uso na Rais Kikwete!

Ray c na Rais Kikwete 
Picha na Freddy Maro wa Ikulu.
Raisi Jakaya Kikwete akiwa pamoja na Ray C, Mama yake mzazi Ray C - Margreth Mtweve na aliyevaa nguo za pinki upande wa kulia ni dada yake na..

Mkasi With P Funk


Police Tweet Lost Cannabis and Ask Owner to Pick it up at The Station

Cannabis
It’s a bit different from your normal lost and found message.
The message has been retweeted more than 8,100 times, so the owner might have got the message by now…

Hot Papper Extract Prank


Je Ulikua Unajua Kama ni Watanzania 3 tu Wamebakia kati ya 7 Waishio Mexico?


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania 3 kati ya saba tu, (wawili kushoto) na mmoja (kulia) wanaoishi nchini Mexico, baada ya kukutana nao na kufanya mazungumzo, wakati akiwa nchini humo hivi karibuni. Nchi hiyo inawatanzania saba wanaoishi nchini humo na kufanya shughuli zao, ambapo hadi sasa wamebakia watanzania 3 baada ya wanne kutokomea kusikojulikana na wenzao hao.
 
 Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Asha Bilal, wakiwa katika picha ya pamoja na Watanzania 3 kati ya saba tu (wawili kushoto na mmoja kulia) wanaoishi nchini Mexico, baada ya kukutana nao na kufanya mazungumzo.( Picha na OMR).

Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 51 ya Uhuru

DarSlam
Amiri Jeshi mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuri akiwa kwenye gari maalum la Kijeshi na Sambamba na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Jenerali Davis Mwamunyange walipokuwa wakioa salamu kwa wananchi na wageni mbali mbali waliofika Uwanjani hapo kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 51 Uhuru wa Tanzania Bara.Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya Mwaka huu ni “Uwajibikaji, Uadilifu na Uzalendo ni nguzo ya Maendeleo ya Taifa letu”.
DarSlam

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la..

Listen: Prank Call to Duchess Kate's Hospital Pretending to be Queen


The British hospital where Kate, Duchess of Cambridge, is being treated for acute morning sickness was on the receiving end of a prank call from a radio station host purporting to be Queen Elizabeth II. King Edward VII's Hospital in London confirmed that Kate's nurse fell for a crank call from Australian radio station 2DayFM on Tuesday. The nurse ended up divulging information about the Duchess of Cambridge's condition to the radio hosts impersonating Queen Elizabeth II and Prince Charles. Using poor British accents, hosts Mel Greig and "MC" called to inquire about Kate's updated condition. Apparently thinking it was really Queen Elizabeth II and Prince Charles on the line, the nurse told the radio hosts that the Duchess was "sleeping at the moment and she has had an uneventful night, she's been given some fluid to re-hydrate her... she's stable at the moment.