Je Ulikua Unajua Kama ni Watanzania 3 tu Wamebakia kati ya 7 Waishio Mexico?

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania 3 kati ya saba tu, (wawili kushoto) na mmoja (kulia) wanaoishi nchini Mexico, baada ya kukutana nao na kufanya mazungumzo, wakati akiwa nchini humo hivi karibuni. Nchi hiyo inawatanzania saba wanaoishi nchini humo na kufanya shughuli zao, ambapo hadi sasa wamebakia watanzania 3 baada ya wanne kutokomea kusikojulikana na wenzao hao.
Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Asha Bilal, wakiwa katika picha ya pamoja na Watanzania 3 kati ya saba tu (wawili kushoto na mmoja kulia) wanaoishi nchini Mexico, baada ya kukutana nao na kufanya mazungumzo.( Picha na OMR).
Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 51 ya Uhuru

Amiri Jeshi mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuri akiwa kwenye gari maalum la Kijeshi na Sambamba na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Jenerali Davis Mwamunyange walipokuwa wakioa salamu kwa wananchi na wageni mbali mbali waliofika Uwanjani hapo kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 51 Uhuru wa Tanzania Bara.Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya Mwaka huu ni “Uwajibikaji, Uadilifu na Uzalendo ni nguzo ya Maendeleo ya Taifa letu”.


Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la..
Listen: Prank Call to Duchess Kate's Hospital Pretending to be Queen
The British hospital where Kate, Duchess of Cambridge, is being treated for acute morning sickness was on the receiving end of a prank call from a radio station host purporting to be Queen Elizabeth II.
King Edward VII's Hospital in London confirmed that Kate's nurse fell for a crank call from Australian radio station 2DayFM on Tuesday. The nurse ended up divulging information about the Duchess of Cambridge's condition to the radio hosts impersonating Queen Elizabeth II and Prince Charles.
Using poor British accents, hosts Mel Greig and "MC" called to inquire about Kate's updated condition.
Apparently thinking it was really Queen Elizabeth II and Prince Charles on the line, the nurse told the radio hosts that the Duchess was "sleeping at the moment and she has had an uneventful night, she's been given some fluid to re-hydrate her... she's stable at the moment.
New Scam in Town!!
Dear western union customer,
Attention: Good Day,
This is to inform you of the recent development on our central system here in Burkina Faso which was hacked by internet hackers and have deleted your payment information's from our system regarding your winning payment of $1.650m usd which you are suppose to be receiving $5,000usd daily payment from Western Union agent. Mr.Tom Frank, the email has changed to the information below:
Western Union Agent: Mr.Tom Frank
Email: agent7director@yahoo.com
Company Email: ww.agentoffice@laposte.net
Office#: +226 79452879
Here is the informations of the first payment of $5000usd.
FIRST NAME: ALFRED
SECOND NAME: PRECIOUS
MTCN CONTROL NO: 901-165-7637
You have to..
Attention: Good Day,
This is to inform you of the recent development on our central system here in Burkina Faso which was hacked by internet hackers and have deleted your payment information's from our system regarding your winning payment of $1.650m usd which you are suppose to be receiving $5,000usd daily payment from Western Union agent. Mr.Tom Frank, the email has changed to the information below:
Western Union Agent: Mr.Tom Frank
Email: agent7director@yahoo.com
Company Email: ww.agentoffice@laposte.net
Office#: +226 79452879
Here is the informations of the first payment of $5000usd.
FIRST NAME: ALFRED
SECOND NAME: PRECIOUS
MTCN CONTROL NO: 901-165-7637
You have to..
Baby Yoga - Do Not Try This at Home!
For years, doctors around the world have warned that 'dramatic and unnatural movements' inflicted on a young baby can lead to brain bleeding, retinal hemorrhaging and brain swelling - commonly known as Shaken Baby Syndrome (SBS). And some researchers have suggested that SBS can occur at much lower levels of head movement than had been previously thought. However baby yoga has been around for more than 30 years, and a few yoga enthusiasts claims that it is harmless even for newborn babies, as long as a child is eased into the movements gradually...
Please do not try this at home nor at the beach!!
Tattoos Come to Life

We’ve seen some pretty realistic 3D tattoos that look almost like they pop right off of the skin. Tiago Hoisel took that idea and ran with it with these incredible digital paintings of tattoos come to life. The images seem to literally pop off the skin with tons of realistic detail and cast shadows. The paintings feature common tattoo ideas like dragons and flowers.
Subscribe to:
Posts (Atom)