
Rose Muhando Awatapeli Kakonko,Kigoma
Jamani Inasikitisha!! Rose Muhando kwa mara nyingine tena KUWADANGANYA WANA-KAKONKO na majirani kuwa anakuja kwenye uzinduzi halafu hafiki kweli huo ni ukristo? haoni kama ni usumbufu kwa kuwahapotezea pesa bila sababu kwakuwa walio wengi hutokea mbali? mi staki kuhukumu wapendwa lkn hata leo hajafika KAKONKO tena mara kadhaa kapigiwa simu bila kupokelewa. Haya jamani labda ni mapenzi Yake Mola
Wadau kutoka facebook
Mwili Nyumba
Kakonko 4 Life
ROSE MUHANDO ACHUKUA MILION TATU SOKO LIMEFUNGWA WATU WAMELIPIA TIKETI WA2 WAMEACHA KAZI ZAO HALAFU HAJATOKEA JAMANI HUU SIO WIZI?

Wakazi - Abacus

Juma Nature ft Baby Madaha - Narudi Kijijini

Bongo RecordsShow Bizdefined
Dir:Mike Tee
Show Biz Defined Video..
Dir:Mike Tee
Show Biz Defined Video..
Tuzo za Channel O

Most Gifted African South Video of the Year
-Cashtime Fam – Shut it down (Stundee)
Most Gifted Group or Featuring of the year
-Psquare ft. May D & Akon – Chop My Money
Most Gifted Reggae Dance/Hall
-Buffalo Souljah ft Cabo Snoop – Styra Inonyengesa
Most Gifted African East
-AY feat Sauti Soul – I Don’t Want to Be Alone
Most Gifted kwaito
-Ees feat Mandoza – Ayoba
Most Gifted African West Music video
-D-Black ft Mo’Cheddah – Falling
Most Gifted R&B Music Video of the year
-Flavour ft. Tiwa Savage – Oyi [Remix]
Most Gifted AfroPop
-BrymO – ARA
Most Gifted Hip Hop Video of the Year
-Ice Prince Zamani- Superstar
Most Gifted Dance Music Video of the Year
-DJ Cleo – Facebook
Most Gifted New Comer of the Year
-Davido – Dami duro
Most Gifted Female Video of the Year
-Zahara – Loliwe
Most Gifted Male Video of the Year
-D’Banj – Oliver Twist
Fidstyle Friday Week 31 with Stosh, 32 with Racers

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Fid Q mwenye Ladha kali za Hip Hop anayetamba na ngoma kali mpaka kupelekea kupendwa na mashabiki mbalimbali kutoka na mashairi yake sasa
Latest info kutoka kwa msanii huyu ni kwamba tunafahamu kwamba ana kipindi chake kinachofahamika kwa jina la Fidstyle Friday ambacho kinakuwa kinahusisha wasanii mbalimbali wanaoelezea hisia zao katika game la hapa Tzee,sasa leo Fid Q aliweza kutoa show yake inayorushwa kila friday ambayo inajulikana kama Fidstyle Friday.kwa hiyo kama wewe uli miss basi hii ndiyo time yako ya kushuhudia jinsi akifanya interview na wasanii waliofahamika kwa jina la Racer na Stoshi.!!!!!!!!! wametisha mbayaa.Video..
Latest info kutoka kwa msanii huyu ni kwamba tunafahamu kwamba ana kipindi chake kinachofahamika kwa jina la Fidstyle Friday ambacho kinakuwa kinahusisha wasanii mbalimbali wanaoelezea hisia zao katika game la hapa Tzee,sasa leo Fid Q aliweza kutoa show yake inayorushwa kila friday ambayo inajulikana kama Fidstyle Friday.kwa hiyo kama wewe uli miss basi hii ndiyo time yako ya kushuhudia jinsi akifanya interview na wasanii waliofahamika kwa jina la Racer na Stoshi.!!!!!!!!! wametisha mbayaa.Video..
Imeandikwa na Dj Fetty
Lamborghini Facts!!

Fact 1
Did you know that the fastest Lamborghini, with a reported top speed of 370 km/h, is the Le Mans version of the Murcielago R-GT model. The fastest street model from Lamborghini, with a reported top speed of 340 km/h, is the Murcielago LP640. Both of the models have a V12 engine with more than 6000 cc.
Fact 2
Did you know that Lamborghini used to be an independent company, but went bankrupt in 1978 and was sold to Chrysler. In 1998, the German company, Audi AG, became the owner of Lamborghini.
Fact 3
Did you know that most of the Lamborghini models are produced with a V12 engine, even though the newest model, Gallardo, have a V10 engine oil. No Lamborghini have ever been produced with less than a V8 engine.
Fact 4
Did you know that the first Lamborghini was produced in 1963 and called for the 350GTV. With a top speed of 280 km/h, the 350GTV was extremely fast back in 1963. The first Lamborghini to go faster than 300 km/h came out in 1974 and was called for the Countach.
Fact 5
Did you know that the Countach, the Diablo and the Murcielago all have scissor doors (that rotate up and forward on a hinge near the front of the door), but the Gallardo does not. Both the Diablo and the Countach are no longer being produced, so the only Lamborghini car with scissor doors today is the Murcielago.
Kizaazaa Kingine, Dj Choka Kajichora Tattoo ya Prof Jay! Kisaaa??

DJ CHOKA...
Much respect to my brother PROF JAY, hii ndio tattoo niliyomaliza kuchora. ONE....
- Dotto Msetti Hakuna la maana alofanya hadi mmpe misifa mingi hajatisha wala nn
Anaaribu mwili alopewa na muumba ukiwa mzima bila hayo maujinga anayofanya
Mungu atakuuliza cku ya mwisho.....!!!...See More - Isaac Tha JR Kapeface we, kwa waliomjulia choka juzijuzi ndo hamjui katokea mi namjua tangia mtimishi wa kanisani,akiwa anapiga disco toto vatcan mpaka leo,na bila prof jay usingekua hapo, prof. Amekulea kama mdogo ake nyumbni kwake miaka mingapi?? Big up. Kwa kukumbuka na kuthamini ulipotoka
- DJ CHOKA NDUGU ZANGU NIMESOMA COMMENTS ZENU NA NIKAWAELEWA SANA SIWEZI PINGA MAWAZO YA WATU OK. Sasa ni hivi nia na dhumuni la kuchora tattoo yenye jina la PROF JAY ni kwamba nusu ya maisha yangu yote mpaka kufika hapa nakuwa na familia yangu yeye ndio nguzo yangu imara na nuru ya ushauri wangu kila siku iendayo kwa mungu. Na kama mlikuwa hamjui me sio shabiki wa PROF JAY mimi ni ndugu na nimdogo ambaye wazazi wangu waliponiruhusu kulelewa na Prof Jay ndio nikaanza kufundishwa huu mziki wa bongo mpaka sasa nimekuwa na kusimama mwenyewe. So tattoo hii ni heshima ambayo haitofutila milele mpaka nakufa na why umsifie mtu akisha kufa? Nampa heshima yake akiwa hai ili ajue kwamba huu wino unamaana nyingi sana. Natukuza vya nyumbani vya nje sivijui kiundani...ASANTENI
- Brian Haule Bila Prof Jay Choka asingekuwa hapa alipo sasa na nadhani Tattoo hii ni ku pay Homage to Profesa Jay kwamba ana appreciate. NUFF respect DJ Choka kwa kuwa mzalendo. Choka alikuwa DJ Shows za Profesa Jay. Mwana wewe wa ukweliiiiiii Djchoka MrApetite , u gat my respect.
Subscribe to:
Posts (Atom)