Alot of people do modify and turn parts of their car. From paint jobs
to custom interior and with stereo systems that are louder than most of
the club systems, cars like these are a popular way for owners to
express their personality and their style ability what they are capable of..



Elimika na Genereta Inayotumia Mkojo (Haja ndogo)


Lita moja ya mkojo inakupa masaa 6 ya umeme

Mfumo mzima unafanya kazi hivi:
mkojo unawekwa kwenye electrolytic cell ambayo inatenganisha Hydrogen
Hydrogen inakwenda kwenye filter ya maji kwa ajili ya kusafishwa ambapo baada ya hapo inasukumwa kwenda kwenye gas cylinder.
Gas cylinder inaisukuma Hydrogen kwenye cylinder ya liquid borax ambayo inatumika kuondoa moisture kwenye gas ya hydrogen
hii gas ya Hydrogen iliyosafishika inasukumwa na kuelekea kwenye generetor
Dullayo - Hawalali Video

Chezea mabint wa mjini wewee.. itakucost mwenyewe...
Executive Producer
Sean Entertainment
Director
Lamar
Producer
Kisaka
Emotion Records
Check out Hawalali -Video
Sean Entertainment
Director
Lamar
Producer
Kisaka
Emotion Records
Check out Hawalali -Video
Polisi 40 Wameuliwa na Wezi wa Mifugo Kenya
Takriban polisi 40 wamethibitishwa kuuawa nchini Kenya katika shambulizi lililofanywa dhidi yao siku ya Jumamosi walipokuwa wanajaribu kuokoa mifugo waliokuwa wameibwa.
Maafisa hao walivamiwa katika eneo la Baragoi, kaunti ya Samburu, Kaskazini mwa nchi.
Msemaji wa polisi aliambia BBC kuwa polisi 29 waliuawa pamoja na washambuliji watatu , lakini viongozi wa kijiji wanahofia kuwa huenda maiti zaidi wakapatikana. Hii leo miili zaidi ilipatikana na kufikisha idadi ya polisi waliouawa kuwa 40.
Wenyeji wa eneo hilo wana historia ya kupigana kwa sababu ya uhaba wa malisho ya mifugo wao
Wiki mbili zilizopita, watu 12 waliuawa katika shambulizi kama hilo kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Kenya.
Haya yanasemekana kuwa mashambulizi mabaya zaidi kuwahi kutokea dhidi ya polisi tangu Kenya kujipatia uhuru wake.
Maiti 11 walipatikana siku ya Jumamosi na wengine 19 kupatikana Jumapili.
Inspekta wawili wakuu wa polisi wangali hawajulikani waliko.
Uvamizi huu ni pigo kubwa kwa idara ya ulinzi nchini. Baadhi ya polisi waliviziwa na kuuawa na wezi wa mifugo, katika eneo la Lomerok. Manusura tisa wangali wanapokea matibabu hospitalini.
Mauaji haya yanafikisha idadi ya watu waliouawa katika eneo hilo katika wiki mbili zilizopita hadi 43.
Aidha mashambulizi haya yanatokea huku shughuli ya kuajiri inspekta mkuu wa polisi ikiendelea sambamba na polisi kususia kazi kwa sababu ya mzozo wa mishahara.
Pata taarifa zaidi BBC
Maafisa hao walivamiwa katika eneo la Baragoi, kaunti ya Samburu, Kaskazini mwa nchi.
Msemaji wa polisi aliambia BBC kuwa polisi 29 waliuawa pamoja na washambuliji watatu , lakini viongozi wa kijiji wanahofia kuwa huenda maiti zaidi wakapatikana. Hii leo miili zaidi ilipatikana na kufikisha idadi ya polisi waliouawa kuwa 40.
Wenyeji wa eneo hilo wana historia ya kupigana kwa sababu ya uhaba wa malisho ya mifugo wao
Wiki mbili zilizopita, watu 12 waliuawa katika shambulizi kama hilo kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Kenya.
Haya yanasemekana kuwa mashambulizi mabaya zaidi kuwahi kutokea dhidi ya polisi tangu Kenya kujipatia uhuru wake.
Maiti 11 walipatikana siku ya Jumamosi na wengine 19 kupatikana Jumapili.
Inspekta wawili wakuu wa polisi wangali hawajulikani waliko.
Uvamizi huu ni pigo kubwa kwa idara ya ulinzi nchini. Baadhi ya polisi waliviziwa na kuuawa na wezi wa mifugo, katika eneo la Lomerok. Manusura tisa wangali wanapokea matibabu hospitalini.
Mauaji haya yanafikisha idadi ya watu waliouawa katika eneo hilo katika wiki mbili zilizopita hadi 43.
Aidha mashambulizi haya yanatokea huku shughuli ya kuajiri inspekta mkuu wa polisi ikiendelea sambamba na polisi kususia kazi kwa sababu ya mzozo wa mishahara.
Pata taarifa zaidi BBC
Baucha ft Ally Kiba - Kelele Official Video

Police Confiscates Pure Gold Car!
The jeweler store in Nanjing, China got to idea to advertise with Infinity G37 made from pure gold. Gold Car was parked on a street near shopping center, police came to confiscate because it was not registered. The Crowd look shocked on luxury Infinity G37 and how police took it away…
Owner received penalty for leaving unregistered car in public
China took step to advertise with golden car, because they assume that by 2020 year, almost half of all gold goods will be manufactured in China. They Decided to use Infinity G37, which is one of latest models after InfinityG35, from this nice brand owned by Nissan





Owner received penalty for leaving unregistered car in public
China took step to advertise with golden car, because they assume that by 2020 year, almost half of all gold goods will be manufactured in China. They Decided to use Infinity G37, which is one of latest models after InfinityG35, from this nice brand owned by Nissan
These Watches Cost More Than A House - Video
It's only a matter of time before some tough rappers will start showing them off in their music videos.
G Nako Akizungumzia Bum Kubam DVD
G Nako ambaye naye yupo katika BUM KUBAM DVD itakayozinduliwa hivi karibuni akizungumza juu ya movement hiyo inayokwenda kubadilisha sanaa ya Tanzania. Angalia video..
Subscribe to:
Posts (Atom)