Pages

Lord Eyez Anatia Huruma, Anahitaji Msaada Maalum!

  MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, kutoka Kundi la Nako 2 Nako Soldiers, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’, Ijumaa iliyopita alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo, Kinondoni jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka sita ya wizi wa vitu mbalimbali yanayomkabili. 
DarSlam
Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’ akipelekwa kwa 'Pilato'.
Lord Eyez aliyekuwa na uso wa aibu, akijiziba sura kwa viganja vya mikono yake kukwepa kamera, alipandishwa kizimbani mishale ya saa 5 asubuhi na kuanza kusomewa mashtaka yanayomkabili mbele ya Hakimu Mfawidhi, Betty Mark.
Akisoma mashitaka yaliyokuwa yanamkabili mbele ya Hakimu Betty, karani wa mahakama hiyo, Sharifa Dunia aliiambia mahakama kuwa mnamo Septemba Mosi, 2012, saa 4 asubuhi, maeneo ya Kinondoni Shamba jijini Dar, mshtakiwa alimuibia Richard Mrema, ‘control box’ ya gari aina ya Toyota Colora yenye namba za usajili T 671 APK.
Karani huyo alimsomea mashitaka mengine na kuieleza mahakama kuwa mnamo Septemba 17, mwaka huu, maeneo ya..

Aliemvulia Nguo Obama Awa Bilionea

 
  Juan James Rodriguez baada ya kukamatwa na polisi wakati akitangaza tovuti ya bilionea Alki David .
MWANAUME ambaye alijitokeza mbele ya rais wa Marekani, Barack Obama akiwa uchi wa mnyama huku akiwa na maandishi ya kutangaza tovuti ya bilionea Alki David, amejishindia zawadi ya dola milioni 1 toka kwa bilionea huyo.
DarSlam 
 Juan James Rodriguez, 24, alitiwa mbaroni na polisi baada ya kujitokeza mbele ya rais wa Marekani, Barack Obama akiwa uchi wa mnyama huku akiwa na maandishi makubwa kifuani na tumboni ya kutangaza tovuti ya bilionea Alki David.
Rais Obama alikuwa Philadelphia akikipigia kampeni chama chake wakati Juan alipojitokeza mbele yake ghafla akiwa..

Ngoma Africa Band Growing Stronger and Stronger

DarSlam
The band plays "Bongo Dance", which is a unique combination of traditional and modern Tanzanian rhythms with Soukous and Rumba. All theirs songs are in Kiswahili.
Ngoma Africa Band has released several successful hits including “Mama Kimwaga” (Sugar Mummy), “Anti-Corruption Squad” and “Apache wacha Pombe” (Stop over drinking).
In 2010 Ngoma Africa Band released a single in praise of Tanzania’s President Jakaya Kikwete. The song titled “Jakaya Kikwete 2010” praises Mr. Kikwete’s good leadership skills and commitment to fight corruption.
DarSlamOn 12th August 2012, Ngoma Africa Band received the International Diaspora Award (IDA) at the International African Festival Tubingen 2012, Germany, for their hard work in promoting East African music throughout Europe.

Ms. Susan Muyang Tatah, CEO of the International African Festival Tubingen 2012 said Ngoma Africa Band was also chosen for the Award because of their creative performance on stage. It’s difficult to resist dancing at their concerts, she said.

This year the band released a new CD titled "Bongo Tambarare" featuring "Supu ya Mawe" and "Uhuru wa Habari". The new release is already dominating air waves in Tanzania.
"Supu ya Mawe" advices the listeners to work hard and be patient while pursuing their objectives in life. It also appeals for generosity towards the needy.
DarSlam"Uhuru wa Habari" praises African journalists who are bold enough to speak out the truth in environments where freedom of speech is quite limited.

Ngoma Africa Band is famous for staging thrilling shows in festivals in different parts of Europe. The band’s joyful female dancers, wearing traditional costumes and dancing vigorously to their tunes, always leave fans asking for more.

Ngoma Africa Band is composed of talented young musicians including soloist Christian Bakotessa aka Chris-B, Said Vuai, Matondo Benda, Jonathan Sousa, A-Jay, Richard Makutima, Bedi Beraca "Bella" and Jessy Ouyah.


Ngoma Africa Band, a German based Tanzanian band is now one of the oldest and most successful Africans bands in Germany.
Many African bands in Europe hardly survive for more than a year. Yet Ngoma Africa Band, founded by Ebrahim Makunja aka Ras Makunja in 1993, is still growing stronger.
For further information about Ngoma Africa Band and to listen to their music, 
please visit www.ngoma-africa.com.

Sheikh Soraga Amwagiwa Tindikali na Watu Wasiojulikana

DarSlam 
 Apelekwa muhimbili kwa matibabu
DarSlam 
 Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akitolewa katika Chumba cha Huduma ya Mwanzo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
DarSlam 
 Sheikh Fadhil Soraga akipandishwa kwenye Gari ya Wagonjwa kwa lengo la kuwahishwa katika Hospitali ya Muhimbili Dare es Salaam baada ya kurushiwa Tindi kali
DarSlam PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Wheels of Life


Is This True?? More Comments From Hebrews Pls

DarSlam

Be Aware of These Scams!!

  I am Mr. Ahmed Garuba the auditing and accounting department boa bank of africa I hope you will not expose or betray this trust? I need your urgent assistance in transferring the sum of ($10.5 million) dollars immediately into your account.
I don't want the money to go into our bank account as an abandoned fund and I cannot operate it alone without using a Foreigner who will stand as a beneficiary to the fund,this is the reason why I contacted you so that the bank can release the money to you as the next of kin to the deceased customer.
   I will send you the full details on how this transaction will be executed, but I want you to assure me your capability of handling this project with trust if you are interested.
Send to me your information’s as follows
1. Name in full:.......................
2. Address:...................... ........
3. Nationality:.................. ....
4. Age:.......................... ...........
5. Sex........................... .............
6. Occupation:................... ...
7. Marital status:............
8. Phone......................... .........
9. Fax:.......................... ..............
10 scan and send a copy of your identity card to me.
I am waiting for your urgent respond to enable us proceed further for the transfer.
Yours faithfully
M. Ahmed Garuba

Same kind but from different person

 This message might meet you in utmost surprise, however,it's just my urgent need for foreign partner that made me to contact you for this transaction.I am MR MAMUDOU KEITA , MANAGER AUDIT AND ACCOUNTANCY DEPARTMENT Bank of Africa(B.O.A),
  I need your urgent assistance in transferring the sum of..

Another Daredevil!!

DarSlam

Mandhari ya Jiji la Dar es salaam

DarSlam
Picha zaidi
DarSlam
DarSlam
DarSlam