Treni ya abiria iliyoanza kazi leo Dar es Salaam ikiwa kituo cha Ubungo Maziwa
Baadhi ya abiria wakipanda kwenye treni kituo cha Ubungo Maziwa kabla ya kuanza safari kuelekea katikati ya jiji.
Baadhi ya abiria wakikata tiketi za treni muda mfupi kabla ya kuondoka kuelekea katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa TRC wakiendelea..




