Pages

Mh Joseph Mbilinyi aka Sugu Apata Mtoto

DarSlam
Leo hiiMh Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya kupitia ukurasa wake wa facebook, akionyesha furaha aliyonayo amejulisha uma kuwa amepata mtoto wakike aliempa jina la Sasha Desderia J. Mbilinyi.
"Amazing grace!..I thank GOD for giving me a baby girl born today on 26th Sept,her name is SASHA-DESDERIA J. MBILINYI..she is my new darling and my everything now...May God also bless me and her monther Faiza so we can live longer enough to see her grow..."

EPIQ Bongo Star Serch

DarSlam
 Hii ndiyo nyumba ambayo jana ilifunguliwa rasmi kwa wageni waalikwa walikuja kushudia jinsi washiriki wetu wa Epiq Bongo Star Search wanavyoishi na kupata malezi bora kabisa katika nyumba hiyo.
DarSlam
Madam Ritha ambaye ni judge wa Epiq bongo star search akikaribisha ndani wageni waje kushuhudia jinsi washiriki hawa wanavyoishi katika nyumba hiyo bila kupatwa na

Watanzania wanaoishi Ujerumani kufanya Mkutano mkuu

Jumamosi 29.09.2012 mjini Frankfurt,Ujerumani
UNION OF TANZANIANS IN GERMANY
MKTANO MKUU 20.SEP. 2012
Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) Unapenda kuwakaribisha wanachama wote wa UTU, Katika Mkutano mkuu wa UTU. Utakaofanyika Katika ukumbi Uliopo Ringstr. 109, 65479 Raunheim). Siku ya Tarehe 29.09.2012, Kuanzia saa 08:00 Mchana. Tunawaomba wanachama wote wa UTU mhudhurie katika mkutano huu muhimu. Na kwa wale ambao sio wanachaama na wanahitaji kujiunga na UTU, tuandikie barua pepe kamati.utu@googlemail.com au unaweza kuwasiliana na Mwenyekiti kupitia simu ya mkononi. 0173-4298997Karibuni sana

Mma Africa Circus Coming to Dar es salaam

DarSlam

Simple Magic

DarSlam

Strange Bikes

DarSlam
DarSlam
click read more

Cheka na Glabal

KAKAKUONA.
KIPARAMOTO.

Jambo Squad na Mamong'oo


Kocha Mkuu wa Yanga Atimuliwa!

DarSlam
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Tom Saintfiet.
Na Mahmoud Zubeiry, Bongostaz Blog
KOCHA Mbelgiji Tom Saintfiet amefukuzwa usiku huu, baada ya kutofautiana sera na uongozi wa Yanga na sasa Fredy Felix Minziro, aliyekuwa Msaidizi wake, atakaimu nafasi yake.
Habari zaidi, kuhusu kufukuzwa kwa kocha huyo, Yanga itatoa taarifa rasmi kesho asubuhi saa 3:00, makao makuu ya klabu, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani.
Mapema leo mchana, uongozi wa Yanga ya Dar es Salaam, ulitangaza kuisimamisha kazi Sekretarieti nzima ya klabu, akiwemo Katibu Celestine Mwesigwa na Ofisa Habari, Louis Sendeu, kutokana na kile ilichoeleza utendaji usioridhisha.
Akizungumza na Waandishi wa Habari, makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga alisema kwamba maamuzi hayo yamefuatia kikao cha