Kama ulidhani haiwezekani tazama hii.
Amusement Park Riders Stuck 300ft in the Air
Twenty thrill-seekers were left dangling 300ft above ground for almost four hours after a ride at a California amusement park broke down.
Paparazi Asimulia Magumu Aliyopata Akipiga Picha Mauaji ya Mwangosi

Mfumo wa picha uliotengenezwa na kurushwa na mitandao ya kijamii ukionyesha namna marehemu Daud Mwangosi aliyekuwa mwanadishi wa kituo cha Channel Ten alivyopoteza uhai wake hivi karibuni.
MPIGAPICHA mkongwe nchini wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga, ni kati ya walioshuhudia tukio la kuzingirwa, kuteswa hadi kuuawa kinyama na askari wa Jeshi la Polisi kwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi hapo Septemba 2, katika Kijiji cha Nyololo, mkoani Iringa.
Senga, kati ya wapiga picha maarufu na wakongwe nchini waliopita katika magazeti mbalimbali, anayefanya kazi hiyo kwa takribani miaka 28 sasa, anasimulia aliyoyashuhudia siku hiyo wakati akitimiza wajibu wake.
Kubwa zaidi, Senga anasema ameweza kupata picha nyingi za ukatili huo uliofanywa na askari polisi dhidi ya Mwangosi, kuanzia kukamatwa kwake, kupigwa na kuteswa kabla ya kuelekezewa bunduki ya mdomo mpana katika tumbo na kuukatisha uhai wake.
Katika mahojiano maalumu, Senga anasema tangu kutokee..
Pablo Pintos Gets his Shirt Stolen on The Pitch!!
Pablo Pintos learnt the hard way that celebrating a goal by whipping your shirt off is a bad idea when a teenage fan ran on to the pitch and stole it from him.
Elibeth Michael "Lulu" na Muonekano Mpya!

Kama kawaida kipima joto si uraiani tu hata sasa bado anawakilisha

Pamba na kupendeza kama kawa, na wakina nanihiii hawa chezi mbali mweee

Mwishowe tutamsahau
StanBoi Mkao wa Kula
The Official EPK for International Rnb/Pop Rising Star Stanboi "the African Child"
Malaria Eradication: Back to the Future!!
Approximately half of the world's population is at risk of malaria. The global malaria eradication campaign of the mid-20th century was successful in eliminating disease in subtropical zones; however, decreased funding and support have led to resurgence. This session of Public Health Grand Rounds reviewed the history of the eradication campaign, current malaria control efforts, and strategies to eliminate this deadly disease.
As part of an ambitious bid to wipe out malaria by 2025, Cambodia has begun training up several thousand villagers to act as foot soldiers in the fight against drug-resistant forms of the disease with a little help from mobile phone technology.
Check out First Images of New Robocop!
The first shots of the armour worn by the new Robocop have emerged online.
Appearing to be taking its cues from Christopher Nolan's incarnation of Batman, the suit is a sleak black number, as opposed to the shiny metallic gear worn by Peter Weller in the original 1987 film.

Robocop... Joel Kinnaman as Murphy in remake (Copyright: ComingSoon.net)
The pictures were uncovered by movie site Coming Soon, and show Swedish-American actor Joel Kinnaman for the first time as..
Appearing to be taking its cues from Christopher Nolan's incarnation of Batman, the suit is a sleak black number, as opposed to the shiny metallic gear worn by Peter Weller in the original 1987 film.
Robocop... Joel Kinnaman as Murphy in remake (Copyright: ComingSoon.net)
The pictures were uncovered by movie site Coming Soon, and show Swedish-American actor Joel Kinnaman for the first time as..
Subscribe to:
Posts (Atom)