Pages

Ulaji Na Uuzaji Wa Nguruwe Wapigwa 'Stop'- Iringa.


SERIKALI Mkoani Iringa imepiga marufuku uchinjaji na ulaji wa nyama ya nguruwe (kitimoto) baada ya kuibuka upya kwa ugonjwa wa homa ya Nguruwe uliopelekea nguruwe zaidi ya 100 katika Manispaa ya Iringa na Iringa vijijini kufa kwa ugonjwa huo. Ugonjwa huo unatishia maisha ya Nguruwe 36,179 wenye thamani ya shilingi bilioni 5, 426,850,000 kwa upande wa wilaya ya Iringa vijijini pekee huku katika Manispaa ya Iringa nguruwe 2812 wenye thamani ya shilingi milioni 421,800,000 wapo hatarini kukumbwa na ugonjwa huo.

This is Bongo!! CHAUMA

Mzee Yusuf Akiwalambisha U.A.E

Watch Out Dec 2012 End of The World ,Remember Sodom And Gomorrah?!?

Vodacom Kutoa Tuzo kwa aandishi Mahiri Kumi wa Mitandao ya Jamii na Tovuti Nchini.

Waandishi wa mitandao ya kijamii na tovuti kupewa tuzo kutokana na jitihada na mafanikio yao.
http://darslamproductions.blogspot.com/
Tuzo hizo kuitwa “ Tuzo za umahiri wa digitali za Vodacom” Dar es Salaam, 11 julai, 2012.... Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, itatoa tuzo kwa waandishi bora kumi mahiri katika mitandao ya kijamii kutokana na umahiri wao. Tuzo hizo ambazo zimepewa jina la..

Swagga za Old Moshi

http://darslamproductions.blogspot.com.jpg

WATUHUMIWA WALIOKAMATWA KWA KUTAKA KUMUUA ALBINO WAACHIWA HURU!!

WATUHUMIWA watatu waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kujaribu kumuua Mtoto Mlemavu wa Ngozi Albino Adam Robaert (13) katika mahakama ya wilaya ya Geita, wameachiwa huru na sasa wamerejea nyumbani wakiendelea na maisha yao ya kawaida. Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Mwandishi wa Gazeti hili watuhumiwa hao wakiwemo wazazi wa Mtoto huyo Robert Tangawizi, waliachiwa huru tangu Mei 30 mwaka huu majira ya saa 4 asubuhi kutokana na amri kutoka kwa Mwendesha mashitaka mkuu wa serikali Elieza Feleshi.
 MTOTO Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita,Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaska 2011.


 HUYU ndiye baba mzazi wa Adam ambaye alidaiwa kuhusika katika tukio la kujeruhi mwanaye ambaye ni Albino,ambaye anadaiwa alikuwa..

Skyscraper Apartments with Balcony Swimming Pools in Mumbai!

A skyscraper called the Aquaria Grande, under construction in Mumbai , India , not only includes more than 200 apartments, three levels of car parking, a gym and sauna, but it also features pools on the edges of several balconies.
 
With 228 apartments, the Imperial in Mumbai has two 60-story towers featuring high-security systems, outdoor terraces, an entertainment area and pool. 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUo6vF8wayggNF-YZwmmiwc58ZFRU8ztI9nQp7tWKI4LjSWKTbdrh6l0qosrybJxyxr9GqFlLsznS-92WRIbOvz5XAo5VJRUcMvaYz71ATldPGmn8cobScJAPqxgVqrvou0SWjjFttE7Q/s1600/ATT00002.jpg 
A gym is expected to..