Polisi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa George Bush, Houton, Texas
Vipipi vya madawa ya kulevya vyenye uzito wa karibu pound 5, vilivyokamatwa mwezi March, Dulles International Airport Virginia kutoka kwa mwanamke Mnigeria.
Hii ndio Houston Northwest Medical Center alipoletwa Bryan Mukama
Hans kumalizia kutoa vipipi 78 vingine vilivyokua vimebaki tumboni.
Bryan Mukama Hans, 30, Mtanzania aliyekua amekuja Marekani na VISA ya
kutembea kwenye Family Re-Union alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya
kushikiliwa na Polisi wa Uwanja wandege wa kimataifa wa George Bush,
Houston, Texas baada ya kupatikana amemeza vipipi vya madaya ya kulevya
vifikavyo 100 vyenye uzito karibia pound 3.
Bryan Mukama Hans alikamatwa Mwezi uliopita baada ya..
Bryan Mukama Hans alikamatwa Mwezi uliopita baada ya..