Hivi Huyu Bob Junior ni Mzima Kweli? Au ndo..!
Msanii Bob junior ambaye anajulikana zaidi kama Sharobaro president ama Rais wa wasafi jana usiku aliweza kukonga Nyoyo za mashabiki kwa shoo ya nguvu katika ukumbi disco wa club Billicanas.
Msanii huyo alipanda stejini majira ya saa tisa kasoro usiku na moja kwa moja alilishambulia jukwaa kwa mbwembwe za hali ya juu huku akiongozwa na madansa wake wasafi classic crew. Bob Junior aliimba nyimbo tatu ikiwemo nyimbo ya ‘Na nini’, ‘oyoyo’ na his latest Mega hit ‘Nichum’.
Wakati huhuo nilihisisi na kutabiri kama jamaa yuko tofauti na jamii kwa kupenda sifa za kijinga. Ndipo aliponithibitishia katika jambo moja tu ambalo lilikuwa linasubiriwa na
watu wengi na halikufanyika. Kutambulishwa kwa Yule kipenzi cha Bob Junior
ambaye kwa wiki nzima matangazo pamoja na Bob Junior mwenyewe alikuwa
akithibitisha kuwa atamtambulisha kwa..

Security Guards on Their Daily Basis Exercises.
High Crime Profile Area!

Then Here Are The Men At Work!!
Did You Know That Uganda is The Cheapest Place in The World To Find OIi?
The
cost of finding commercial oil reserves in Uganda is less than a dollar
compared to the global trends justifying increased investors’ appetite
for petroleum exploration licenses.
The
commissioner in the petroleum and exploration department Ernest Rubondo
disclosed that on the global scale the finding cost range between $5
and $25 per barrel.
He said
Uganda competes favorably with a finding cost of less than..
Uganda competes favorably with a finding cost of less than..
Race Row Over Balotelli Cartoon
Anti-racism campaigners have blasted MARIO BALOTELLI is at the centre of a new race row as Italy prepare for their Euro 2012 semi-final against Germany on Thursday, and this one involves his own media after the Gazzetta dello Sport published a cartoon depicting the striker as King Kong.
The drawing showed Balotelli clambering up Big Ben tower and swatting away footballs. It is reminiscent of the scene in the film in which the giant ape fights off areoplanes at the top of the Empire State Building.
The drawing showed Balotelli clambering up Big Ben tower and swatting
away footballs. It is reminiscent of the scene in the film in which the
giant ape fights off areoplanes at the top of the Empire State Building.
THE END OF THE WORLD Dec. 2012
The Mayan calendar is divided into Seven Ages of Man. The fourth
epoch ended in August 1987. The Mayan calendar comes to an end on Sunday,
December 23, 2012. Only a few people will survive the catastrophe that ensues.
In the fifth age, humanity will realize its spiritual destiny. In the sixth
age, we will realize God within ourselves, and in the seventh age we will
become so spiritual that we will be telepathic.
The 13 Heavens and 9 Hells were each 52 years long (1,144 years total). Each of the 9 Hells were to be worse than the last. On the..
Leo Ni Miaka 20 Tangu Kutungwa Kwa Sheria Ya Kuruhusu Vyama Vingi, Bado Upinzani Ni Sawa Na Uadui!!
Ndugu zangu, Tarehe kama ya leo miaka 20 iliyopita, yaani tarehe 2 Julai, 1992,
Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria ya kuruhusu
kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.
Miaka 20 imetimu, tumepiga hatua, lakini, mpaka hii leo, bado upinzani
kwa wengine unatafsiriwa kama ni uadui, na wakati mwingine ni..
Subscribe to:
Posts (Atom)