Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka jana
mchana alifikishwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili
ya kupelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi baada ya madaktari
kubaini kuwa ana mtatizo ya kitabibu yanayomkabili likiwemo la mtikisiko
wa ubongo.
Gari la wangonjwa la AAR ambalo lilimbeba Dk. Ulimboka likiwasili Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere.
Mwenyekiti huyo alifikishwa uwanjani hapo majira ya
saa ..


