Pages

One on one: One The Incredible

Ujio wake kwenye gemu uliambatana na msisimuko. Ngoma za masikio ya vichwa vya Hip Hop Bongo zikaanza kuwambwa upya kujiandaa kupokea mitetemeko inayotoka kwenye koo la One. One The Incredible.
Wakati ana miaka kama sita hivi, kaka zake walikuwa wanakutana na wasanii kama kina SOS B, na wakongwe wengine kwenye gemu la Hip Hop Tanzania miaka ya 90, kupiga tizi na kubadilishana ujuzi. Sidhani walikuwa wanatambua kuwa wanatengeneza Muujiza utakaokuja kushangaza watu miaka 20 baadae. Na muhimu zaidi, kusimamia nguzo zilizosimamishwa na waliotangualia.
Leo hii One anajitambua na anatambulika kama Kijana mwenye Kipaji na Mzawa wa Tanzania.
http://vijana.fm/wp-content/uploads/2011/03/One_Harry.jpg
One anategemea kufyatua mzigo wa nyimbo 24 wiki ijayo utakaokwenda kwa jina la “Soga Za Mzawa”. Bahati nzuri, tulipata muda wa kulonga naye na kujenga mambo mawili matatu…
1. Niambie Moko wa Miujiza?
Shwari.
2. Kwanza kabisa, kwanini uliamua kujiita “One” au “One The Incredible” au “Moko wa Miujiza”? Jina ulilipata wapi?
One ni jina nililopewa na mentor wangu at the time, Lord’s Child aka L.C. Yeye aliamua kuniita hivyo kutokana na flow na uandishi wangu.
3. Kitu gani kilikusukuma kuingia kwenye gemu, au watu gani walikusukuma mpaka ukashtukia unaliweza gemu? 
Kikubwa hasa kilikuwa ni kaka zangu… R.I.P.  Wao ndio walinitambulisha kwa rap. Baadae ikaja kuwa interest yangu baada ya kugundua hicho ndicho kitu pekee ambacho kila mtu alikuwa akinipongeza kwa uwezo niliokuwa nao, vitu nilivyokuwa nafanya. Basi nikaamua..

This is one of the best explanations of why God allows pain and suffering that I have seen..

  A man went to a barbershop to have his hair cut and his beard trimmed.
As the barber began to work, they began to have a good conversation.
They talked about so many things and various subjects.
When they eventually touched on the subject of God, the barber said:
"I don't believe that God exists."  
"Why do you say that?" asked the customer. "Well, you just have to go out in the street to realize that God doesn't exist.
Tell me, if God exists, would there be so many sick people?
Would there be abandoned children?
If God existed, there would be neither..

Zuckerberg drops off billionaires’ index



Mark  Zuckerberg's fortune fell to $14.7 billion yesterday from $16.2 billion on May 25
MARK Zuckerberg, Facebook (FB) Inc.’s co- founder and chief executive officer, is no longer one of the world’s 40 richest people.
The 28-year-old’s fortune fell to $14.7 billion yesterday from..