Pages

One on one: One The Incredible

Ujio wake kwenye gemu uliambatana na msisimuko. Ngoma za masikio ya vichwa vya Hip Hop Bongo zikaanza kuwambwa upya kujiandaa kupokea mitetemeko inayotoka kwenye koo la One. One The Incredible.
Wakati ana miaka kama sita hivi, kaka zake walikuwa wanakutana na wasanii kama kina SOS B, na wakongwe wengine kwenye gemu la Hip Hop Tanzania miaka ya 90, kupiga tizi na kubadilishana ujuzi. Sidhani walikuwa wanatambua kuwa wanatengeneza Muujiza utakaokuja kushangaza watu miaka 20 baadae. Na muhimu zaidi, kusimamia nguzo zilizosimamishwa na waliotangualia.
Leo hii One anajitambua na anatambulika kama Kijana mwenye Kipaji na Mzawa wa Tanzania.
http://vijana.fm/wp-content/uploads/2011/03/One_Harry.jpg
One anategemea kufyatua mzigo wa nyimbo 24 wiki ijayo utakaokwenda kwa jina la “Soga Za Mzawa”. Bahati nzuri, tulipata muda wa kulonga naye na kujenga mambo mawili matatu…
1. Niambie Moko wa Miujiza?
Shwari.
2. Kwanza kabisa, kwanini uliamua kujiita “One” au “One The Incredible” au “Moko wa Miujiza”? Jina ulilipata wapi?
One ni jina nililopewa na mentor wangu at the time, Lord’s Child aka L.C. Yeye aliamua kuniita hivyo kutokana na flow na uandishi wangu.
3. Kitu gani kilikusukuma kuingia kwenye gemu, au watu gani walikusukuma mpaka ukashtukia unaliweza gemu? 
Kikubwa hasa kilikuwa ni kaka zangu… R.I.P.  Wao ndio walinitambulisha kwa rap. Baadae ikaja kuwa interest yangu baada ya kugundua hicho ndicho kitu pekee ambacho kila mtu alikuwa akinipongeza kwa uwezo niliokuwa nao, vitu nilivyokuwa nafanya. Basi nikaamua..

This is one of the best explanations of why God allows pain and suffering that I have seen..

  A man went to a barbershop to have his hair cut and his beard trimmed.
As the barber began to work, they began to have a good conversation.
They talked about so many things and various subjects.
When they eventually touched on the subject of God, the barber said:
"I don't believe that God exists."  
"Why do you say that?" asked the customer. "Well, you just have to go out in the street to realize that God doesn't exist.
Tell me, if God exists, would there be so many sick people?
Would there be abandoned children?
If God existed, there would be neither..

Zuckerberg drops off billionaires’ index



Mark  Zuckerberg's fortune fell to $14.7 billion yesterday from $16.2 billion on May 25
MARK Zuckerberg, Facebook (FB) Inc.’s co- founder and chief executive officer, is no longer one of the world’s 40 richest people.
The 28-year-old’s fortune fell to $14.7 billion yesterday from..

Twitter expect $1 billion in Ad Revenue in 2014

TWITTER Inc. expects to generate at least $1 billion in sales in 2014, two people with knowledge of the matter said, indicating that the blogging service will grow about twice as fast as some analysts now predict.
Twitter based the forecasts on expected advertising demand, said the people, who asked not to be identified because the numbers are private. The San Francisco-based company could change or miss the forecasts, the people said.
Demand for advertising aimed at Twitter’s more than 140 million users is benefiting the company. Researchers at EMarketer Inc. have said that..

Kutolewa kwa DKB na Zainab BBA, kumemuongeza Prezzo nafasi ya kuichukua $ 300,000


Waswahili wanasema ‘kufa kufaana’. Juzi DKB mwakilishi kutoka Ghana na Zainab mwakilishi kutoka Sierra Leone wametimuliwa kutoka kwenye Big Brother Africa Stargame baada ya kuvunja miongoni mwa sheria za Big Brother Africa kwa kupigana.


Mwanamitindo huyo wa Sierra Leone na mchekeshaji wa Ghana walijikuta katika mabishano mazito yaliyopelekea DKB kumtandika kibao kikali Zainab.

Kitendo hicho kilivunja sheria inayosema..

Blue in Dubai


Mkasi TV na Dj Makay,Venture na Bonyluv


BREAKING NEWS





‘Big Brother’s house, Big Brother’s rules,’ this must be a common phrase among Big Brother Africa fans by now. Well, DKB and Zainab have been disqualified from the house following their heated argument that resulted in DKB slapping Zainab. 
Big Brother decided to disqualify the controversial housemates following..

Stuntman Gary Connery sets a new world records for a 3,000 Foot base jump without a parachute



Gary Connery became the first skydiver to land without the aid of a parachute on May 23, 2012 in Henley-on-Thames, England. The professional Hollywood stuntman performed a 3,000ft base jump without..

10 ADVANTAGES OF BEING SINGLE

  • 1. You can sleep well
  • 2. You can save more time & money
  • 3. No missed call at midnight 
  • 4. No need to activate cheaper call rate scheme
  • 5. No need to recharge twice daily
  • 6. Can talk to all boys & girls without being confronted              
  • 7. Law risks of having heart disease
  • 8. No need to put PHONE LOCK all the time.
  • 9. You are always FREE FROM STRESS
  • 10. And the most important,you can copy & paste this 2 your WALL!!!!