Jengo la ofisi ya chama cha demokrasia na maendeleo -Chadema mkoa wa Arusha limenusurika kuteketea kwa moto baada ya watu wasiyojulikana kudaiwa kuvunja sehemu ya nyumba yenye ofisi hizo na kuchoma moto katika vyumba vinavyotunza kumbukumu za chama hicho
No comments:
Post a Comment