Pages

50 Cent talks Kendrick, Nas N Floyd Mayweather! PT1

HOT 97

Tupac Inspirational Message! (Fan Made)

The Smelliest Man in The World

Guru Kailash Singh, 65, could be the world's smelliest man after refusing to wash for 37 years. He lives with his wife and seven daughters and has gone decades without taking a bath, shower or using a bar of soap. Kailash, from Chatav village, near the holy city of Varanasi, in central India, believes that the gods will be pleased with his devotion to smelliness and smell and eventually bestow him with a son. He also sports six feet dreadlocks and an uncut messy beard.

Paint on a Speaker at 2500fps -The Slow Mo Guys

Eminem - Survival (Explicit) Replay

Benny Kinyaiya Afanyiwa Kitu Mbaya Soma Hapa

Ben Kinyaiya
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Mama Land, kinachorushwa na Runinga ya Clouds ya jijini Dar, Benny Kinyaiya hivi karibuni alikombwa vitu kadhaa kwenye gari lake na vibaka mara baada ya kupaki gari nje ya nyumba yake. na mwandishi wa habari hizi, Kinyaiya alisema kuwa siku ya tukio saa nne usiku aliporejea nyumbani kwake maeneo ya...

MCHEKESHAJI KING MAJUTO KUWANIA UBUNGE 2015

Mzee Majuto .King Majuto
Mchekeshaji mkongwe nchini,Mzee Majuto ambaye pia anajulikana kama King Majuto, ametangaza kuwania Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Akiongea kupitia kipindi cha Amplifaya cha Clouds ambacho kinaendeshwa na Millard Ayo, Majuto amesema atagombea Jimbo la Tanga. Sababu ambazo zimechangia uamuzi wake ni pamoja na kuona wasanii wenzake waliotangulia kwenye siasa wakifanya vitu vizuri tu na anaamini kwa kutumia uzoefu wake wa kuona mengi na kusikia mengi licha ya kutembea sehemu mbalimbali za Tanzania, atakuwa kiongozi anayefaa.

Mkasi TV With Julio

Another Scam from Ouagadougou

Dear respected friend,
I bring to you a warm, and cordial greetings from Ouagadougou, Burkina Faso. It’s very true that we don't know each other very well, but i decided to contact you after going through your profile where I found your email address.My Name is Dr Abbas Mohamed sellam, from Burkina Faso.I am working with the United Bank for Africa PLC, Burkina Faso, West Africa as a Director of operations in the foreign remittance department. There is a bank account opened in my bank in 2007, and since 2010, nobody has operated in this account again.After going through some old files in the bank, I discovered that the owner of this account is a wealthy businessman/politician who died in an auto crash with his wife, and three children.

This man died without a [heir] or Next of Kin, hence the money is floating in his dormant account, and if I do not move this money out of the country urgently it will be forfeited to the government.According to the banking laws, every dormant account is closed after 10 years, and the entire money is returned to the government as an unclaimed fund.I don't want the government to....