Pages

Mkasi TV With Julio

Another Scam from Ouagadougou

Dear respected friend,
I bring to you a warm, and cordial greetings from Ouagadougou, Burkina Faso. It’s very true that we don't know each other very well, but i decided to contact you after going through your profile where I found your email address.My Name is Dr Abbas Mohamed sellam, from Burkina Faso.I am working with the United Bank for Africa PLC, Burkina Faso, West Africa as a Director of operations in the foreign remittance department. There is a bank account opened in my bank in 2007, and since 2010, nobody has operated in this account again.After going through some old files in the bank, I discovered that the owner of this account is a wealthy businessman/politician who died in an auto crash with his wife, and three children.

This man died without a [heir] or Next of Kin, hence the money is floating in his dormant account, and if I do not move this money out of the country urgently it will be forfeited to the government.According to the banking laws, every dormant account is closed after 10 years, and the entire money is returned to the government as an unclaimed fund.I don't want the government to....

Free Beats/ Instrumental's Mental Coming Soon #DarSlam


Kaa mkao wa kula Mabeat mazito..! Hapa Hapa..!!

Westgate Exclusive CCTV Footage: Faces of Terror

Citizen TV can reveal the images and profiles of some of the terrorists behind the bloody Westgate mall terror attack that left at least seventy people dead and close to two hundred injured. Some of the attackers are said to be highly trained by the Al Qaida and the Al-Shabaab terror networks. Michael Njenga puts that story in perspective.

Diamond Platnumz - Nikifa Kesho (Audio)

Diamond Platnumz , Nikifa Kesho

US Targets Alshabaab Leaders in Night Raid.

American troops have seized a Al Qaeda militant in Tripoli who was indicted for his role in the 1998 embassy bombings in Nairobi and Tanzania. U.S Navy SEALs also attacked a villa in a Somali town known as a militant hub.

The Boy with 8 Limbs in India

He used to be known as "The Eight-Limbed Boy" - but now, Deepak Paswaan looks like any other boy following dramatic surgery. Deepak, seven, was taunted as a "devil" and "a freak" due to a parasitic twin jutting from his stomach. Born in Bihar, India, Deepak who has a parasitic twin spent his young life carrying around the under-developed legs and arms of what would have been his twin in a normal pregnancy. The appendage made it look like seven-year-old Deepak had four extra limbs. But in June 2010 top doctors at the Fortis Hospital Bangalore agreed to operate on Deepak's parasitic twin for free, saving his impoverished family the £50,000 it would have cost otherwise. Deepak beamed: "I can run faster than my two elder brothers - before I could never keep up. I really like my new body. It's much more fun. I am very happy."

Makamua ft. Linda - Mission Impossible (Audio)

Makamua , Linda ,Mission Impossible

Soma Stori Nzima ya Mtoto wa Ajabu Aliezaliwa Zanzibar

Azungumza Akiwa na Miezi Miwili.
Alipewa jina akiwa Tumboni.
Asema Vifo Vingi kutokea Zanzibar.

Na Mwantanga Ame
MTOTO wa miezi 10, aliyetambuliwa kwa jina la Fahazal mkazi wa Kivunge amefikishwa mbele ya serikali ya mkoa wa kaskazini Unguja, baada ya mama yake mzazi kusema amekuwa akitokewa na maajabu na kwamba jamii iombe dua ili kunusuru kutokea vifo.

Mtoto huyo, ambaye anaishi katika kijiji cha Changani Kivunge wilaya ya Kaskazini ‘A’ Unguja, ameonesha maajabu, baada ya kuanza kusema akiwa na umri wa miezi miwili, kwa kutaja majina ya Mwenyezi Mungu, Mtume Muhammad (SAW) na maneno ya kumtukuza Mwenyezi Mungu

Mkuu wa wilaya hiyo, Riziki Juma Simai, akizungumza na Zanzibar Leo, amethibitisha kuwepo mtoto huyo.
Alisema mtoto huyo amefikishwa ofisi ya Mkuu wa Mkoa na familia yake baada ya mama yake aliyefahamika kwa jina moja la Dawa, kutakiwa kuwasilisha ujumbe alionao mtoto huyo kwa jamii.
Alisema kabla ya kuzaliwa, mama yake alisema kuwa alikutwa na mambo ya maajabu baada ya kujiwa na kiumbe akimueleza uwezo wa mtoto wake wakati akiwa tumboni na kumchagulia jina la kumpa baada ya kuzaliwa.

Mkuu wa wilaya huyo alisema, kiumbe hicho kilichokuwa katika mazingira yasioelezeka pia kilimtabiria mama huyo kwamba atazaa mtoto wa kiume.
Pia alimuambia baada ya mtoto huyo kuzaliwa atakuwa na mambo ya ajabu na kumtaka kumtunza na asimuogope na baadae kiumbe hicho kiliondoka.

Alisema baada ya tukio hilo, na siku zake za kuzaa kutimia alijifungua mtoto wa kiume na kumpa jina la Fahazal na ndipo alipoanza kushuhudua maajabu ikiwa ni pamoja na kuzungumza akiwa na miezi miwili.

Alisema mtoto huyo alikuwa akitamka maneno ya kumtukuza Mwenyezi Mungu ikiwemo Allwah, Yaraabi na kutaja jina la Mtume (SAW) huku akiwataja kwa majina watu waliokuwemo nyumbani kwao.

Mkuu wa wilaya hiyo alisema hivi sasa mtoto huyo, amekuwa akiwasomea dua watu wanaofikishwa kwake kwa matatizo ambapo huonesha ishara ya kuinua mikono juu ya kuitikia dua wakati ikisomwa.

Alisema kwa muda mrefu, familia yake iliendelea kuishi naye, lakini mama yake alifuatwa tena na kiumbe hicho na kumtaka kufikisha ujumbe wa mtoto huyo mbele ya jamii akitaka jamii iombe dua kwa wingi kwani vifo vingi vinaweza kutokea nchini.

Alisema kiumbe hcho kilirudi baada ya mama wa mtoto huyo kupuuza ujumbe wa mwanzo aliopewa na ndipo alipoamua kutafuta watu wa kumsaidia ambapo walimuelekeza kufuata viongozi wa dini.

Alisema, baada mama huyo kupokea ujumbe huo, aliamua kuutekeleza kwa kuwafuata baadhi ya walimu katika kijiji hicho kuelezea mkasa huo, ili aweze kupata msaada.

Viongozi wa dini walimtaka mama huyo, kulifikisha suala hilo katika ngazi ya serikali, kutokana uzito wake kwa jamii, ambapo walimshauri kuonana na uongozi wa mkoa.

Mkuu huyo wa wilaya alisema, jana asubuhi, alimpokea mama huyo akiwa na mtoto wake pamoja na shahidi ambaye ni mkaazi wa kijiji hicho ambapo walithibitisha maajabu ya mtoto huyo.

Alisema mtoto huyo huzungumza baadhi ya wakati na kwamba anazungumza lugha tofauti ikiwemo kiingereza, kiarabu.

Alisema wameifikisha familia hiyo kwa Mkuu wa Mkoa ili kufanyiwa mahojiano zaidi ambapo serikali itajua nini la kufanya hapo baadae.

Alisema wanalazimika kulifanyia kazi suala hilo, kwa vile tayari imetolewa tahadhari ya kutokea balaa litakalowahusisha watu wengi.

Burudika na Kichupa cha Zilipendwa.. Sina Makosa - Les Wanyika (Audio)