Pages

MUANDISHI WA GLOBAL PUBLISHERS AJIFANYA DAKTARI KWA SIKU TATU BILA KUJULIKANA!!

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
Stori: Waandishi Wetu
KUNA madai ya ulinzi dhaifu unaoikabili Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam na ndiyo maana kila kukicha madaktari feki wananaswa wakiwa katika harakati za kujipatia kipato cha rushwa kutoka kwa wagonjwa wanaopigania afya zao, Ijumaa limebaini kioja cha aina yake.

Kikosi cha makachero cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) kutoka Global Publishers kiliamua kuyafanyia kazi madai hayo ili kujiridhisha.
Kikosi cha OFM chenye makachero wanne kilipangwa, kikajiweka tayari kwa kuingia kwenye hospitali hiyo kufanya uchunguzi wa awali ambapo walibaini kwamba ni kweli kuna udhaifu wa ulinzi.
Baada ya uchunguzi huo, OFM walirudi makao makuu ya Global, Mwenge, Dar es Salaam na kuweka mikakati ya kuanza kazi siku iliyofuata.
Vazi la kidaktari aina ya joho jeupe lenye kumfika dokta magotini lilipatikana sanjari na kipimo cha kitabibu ambacho huvaliwa shingoni kama daktari hampimi mgonjwa.
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
...Akiongea na mmoja wa wagonjwa.

MPANGO ZA OPARESHENI
Mpango wa zoezi hilo ulikuwa ni kufanya kazi kwa siku tatu, kuanzia Septemba 24-27, mwaka huu ambapo maeneo mbalimbali ya kutembelewa na daktari huyo feki yalianishwa ikiwa ni pamoja na mapokezi, kwenye korido, wodini, theatre na mwisho kabisa ni kwenda kuonana na Afisa Uhusiano wa Muhimbili, Aminiel Aligaesha kwa lengo la kusalimiana naye ili kuona kama ataweza kumbaini mwandishi huyo aliyejifanya daktari.
Kuanzia aya zinazofuata, mwadishi aliyejifanya daktari anasimulia mwenyewe hali ilivyokuwa siku ya kwanza ya oparesheni:

SEPTEMBA 24, SAA 5:00 ASUBUHI
Ni Septemba 24, mwaka huuu, siku ya Jumanne, saa 5:00 asubuhi nikiwa na watenda kazi wenzangu tunaingia Hospitali ya Muhimbili, kabla ya kushuka kwenye gari, navaa joho jeupe na kujipachika kwenye shingo kifaa cha kupimia wagonjwa.
Ilibidi nivae na miwani ya kawaida ili nifanane na daktari japokuwa haikuwa lazima sana.
Niliamua kujiita Dokta Ruta endapo ningekutana na ugumu wenye kulazimisha kuulizwa jina langu.

...Mwandishi baada ya kurudi ofisini.
MAPOKEZI
Mbele yangu walinitangulia watenda kazi wenzangu ambao kazi yao ilikuwa kuendelea kufanya uchunguzi zaidi kama kuna madaktari wengine feki mbele yangu ili wasiharibu zoezi.
Nilifika mapokezi bila kukaguliwa na walinzi ambapo niliwakuta vijana wawili wakiwa na vielelezo vya hospitali hiyo vikionesha ugonjwa wa mama yao. Walinionesha vielelezo hivyo huku wakiulalamikia uongozi mbovu katika kushughulikia matatizo yao.
Walidai kwamba, siku hiyo ilikuwa ya nne wanazungushwa kupata huduma hospitalini hapo. Wakasema imefika hatua wamekata tamaa na hawajui waende wapi kulalamikia hali hiyo.

MALALAMIKO YAO
“Daktari tunaomba msaada wako, tuna siku nne bila kupata huduma hospitalini hapa. Tumeanza kuchoka na mama yetu ni mgonjwa sana, tusaidie,” walisema vijana hao ambao hawakutaja majina.
“Mimi nawaomba muendelee kuwa wavumilivu mtahudumiwa kama wengine, si mnajua hii ni hospitali ya taifa, ina wagonjwa wengi sana,” niliwajibu.

SAA 6: 30 MCHANA, MZEE ASAKA HUDUMA
Saa 6 na nusu mchana bado nikiwa na sare ya kazi, nilipishana na daktari mmoja akiwa amekiweka kipimo kwenye mfuko wa upande wa kulia wa joho, ilibidi na mimi nikitoe shingoni kipimo changu na kukiweka mfukoni kama yeye. Nilihisi huenda ni staili ya utambulisho ya madaktari wa hospitali hiyo.
Nilikwenda hadi kwenye dirisha la kutolea risiti za malipo ambapo nilikutana na mzee mmoja aliyeniomba msaada wa kuandikiwa kibali cha kuchukua dawa nje ya hospitali.
“Daktari naomba unisaidie nina siku mbili nahitaji kupewa kibali tu cha kuchukua dawa nje ya hospitali lakini kila ninayemwendea ananiambia yuko bize,” alisema mzee huyo.
Mwandishi ‘daktari’: Mzee fuata utaratibu wa kuandikiwa kibali na si kupita njia za panya.
Mzee: Siwezi kupata msaada kwa wakati endapo nitafuata utaratibu. Lakini sawa ngoja nifuate utaratibu wenu.

MZEE MWENYE TATIZO LA KANSA
Nikiwa maeneo hayo, mzee mmoja naye alinifuata na kusema ana tatizo la kansa ya koo, akaniomba nifanye jitihada zozote ili kunusuru maisha yake kwani alikuwa na mwezi mmoja tangu apewe ahadi ya kufanyiwa upasuaji.
Mwandishi ‘daktari’: Mzee fuata utaratibu, utafanyiwa upasuaji wala usiwe na shaka.

MZEE MLEMAVU WA MGUU
Saa saba na robo nilitoka mapokezi na kushika mwelekeo wa Wodi za Sewa Haji, Kibasila na Mwaisela. Njiani nilikutana na mzee mmoja mlemavu wa mguu uliokatwa, alinionesha X-ray. Bila kusita nilisimama na kuipokea nikaikagua hadharani kwa kuiweka hewani kinyume na taratibu za udaktari lakini hakuna mtu yeyote aliyekuwa tayari kunikamata kwa kitendo hicho.

MTOTO MWENYE TATIZO LA SHINGO
Nikiwa bado naelekea upande wenye wodi hizo nilikutana na mama mmoja ambaye alinisimamisha na kuniambia anatoa shukrani zake za dhati kwa madaktari wa Muhimbili kwani mtoto wake alikuwa na tatizo la shingo na alifanikiwa kupata matibabu, lakini akaongeza kuwa kilichomuokoa mwanaye akapata tiba nzuri ni pesa zake.
Mwandishi ‘daktari’: Una uhakika mama?
Mama: (huku akiondoka) Khaa! Kwani siri, sijui mkoje hapa!
Nilipita kwenye wodi hizo kwa nje na kukutana na wagonjwa mbalimbali, wengi walionesha kutaka kusaidiwa zaidi kuliko kushukuru kwamba wameshapata tiba.

OFM WARUDI OFISINI NA USHINDI
Saa 8:55 mchana tulirejea kwenye gari na makachero wenzangu na kurudi ofisini huku nikiwa bado nimevaa gwanda la kitabibu.

SIKU YA PILI WODINI
Jumatano ya Septemba 25, mwaka huu, saa 9:23 alasiri, OFM iliingia mzigoni tena.
Oparesheni ya safari hii ilipangwa kufanywa ndani ya wodi ambazo jana yake hazikufikwa kutokana na muda, kwani mbali na mwandishi huyo kujifanya daktari Muhimbili pia alikuwa na majukumu mengine ya habari za kawaida.
Aya zinazofuata paparazi huyo aliyefanya kazi nzuri ya kuhakikisha hagunduliki kama si daktari anasimulia mwenyewe:

SAA 9:23 WODI YA KIBASILA
Saa 9:23 alasiri siku ya pili ya zoezi letu, baada ya kuvalia gwanda langu kwenye gari nilishuka kwenye gari na kuanza kutembea kuelekea Wodi ya Kibasila.
Niliwapita walinzi ambao walisimama kwa heshima zote wakiamini mimi ni daktari halali kabisa, niliwasalimia wakaitikia, nikawapita wauguzi, nikaenda ndani ya wodi ambapo wagonjwa walikuwa wamelala katika hali ya kupoteza matumaini.
Nilimfuata mama mmoja aliyelala kwa huzuni, nilimuuliza tatizo lake ambapo aliniambia ana uvimbe sehemu za siri. Alinishukuru kwa kufanyiwa upasuaji na akasema anaendelea vizuri.
Mwandishi ‘daktari’: Pole sana mama.
Mama: Asante dokta, namshukuru Mungu nimefanyiwa upasuaji. Sasa naendelee vizuri dokta. Nawashukuru sana nyinyi.

AINGIA WODI YA MWAISELA
Nilitoka kwenye wodi hiyo kwa kutamba na kwenda Wodi ya Mwaisela, ghorofa ya kwanza ambapo pia muda wa watu kuona wagonjwa ulifika, wakaingia. Mimi niliingia kwa kuheshimiwa na wauguzi waliokuwa wamekaa kwenye ofisi yao.
Niliongea na wagonjwa mbalimbali na kuwapa pole, wengi walishukuru ujio wangu kama daktari na waliniambia maendeleo yao kwa wakati huo.
Saa kumi na moja na nusu kikosi kizima kilirejea kwenye gari, safari ya kurudi ofisini ikaanza. Ilikuwa siku ya pili ya oparesheni hiyo.

CHUMBA CHA UPASUAJI ‘O THEATRE/ICU/X RAY/CT SCAN’
Siku iliyofuata, yaani Alhamisi ya Septemba 26, saa 7 mchana nikiwa na wenzangu tulirejea tena Muhimbili, safari hii maeneo yaliyotakiwa kufanyiwa kazi ni chumba cha upasuaji na kwa afisa uhusiano wa hospitali hiyo.
Kwanza kwenye chumba cha upasuaji nilibaini kwamba kila mtu anaweza kuingia. Niliingia kwenye chumba hicho na kuwasalimia madaktari waliokuwa tayari wamevaa zana za kazi. Salamu yangu ilijibiwa bila maswali wala kutazamwa kwa mshangao kwamba mimi ni mgeni.
Wakati natoka katika chumba hicho cha upasuaji, nje nilikutana na mzee mmoja ambaye aliniomba msaada wa kupangiwa siku ya kufanyiwa operesheni kwa ndugu yake wa karibu.
Mwandishi ‘daktari’: Mzee fuata taratibu, lakini pole sana.
Mzee: Asante sana.
Nilipoachana tu na mzee huyo, muuguzi mmoja alitokea na kuniuliza:
“Hivi dokta incharge (mkubwa) wa leo ni nani hapa?”
Mwandishi ‘daktari’: Ratiba si inajulikana!

AINGIA OFISI YA AFISA UHUSIANO
Niliachana na muuguzi huyo, sasa nikafunga kazi kwa kwenda kwenye ofisi ya uhusiano. Nilikutana na bosi wa hapo, Aminiel. Nilisalimiana naye.
Mwandishi ‘daktari’: Habari za leo kiongozi?
Afisa Uhusiano: Salama, za leo dokta?
Mwandishi ‘daktari’: Safi tu, samahani mkuu nina ndugu yangu ameletwa jana kutoka mkoani una taarifa yoyote?
Afisa Uhusiano: Pole sana dokta, nakuomba uende pale emergence room kwenye mapokezi, pale watakuwa na takwimu zote dokta, nakutakia kazi njema.
Mwandishi ’daktari’: Asante kiongozi kwa maelekezo naomba nirudi mapokezi kupata ufafanuzi.
Afisa Uhusiano: Oke, kazi njema.
Mwandishi ‘daktari’: Oke, asante.
Nilitoka hapo kuelekea chini, nikampita mlinzi, mbele nikakutana na nesi wa kiume akiwa anaingia kwa bosi huyo, tulisalimiana kwa kusimama na kushikana mikono kisha tukaambiana poapoa baadaye.
Zoezi letu liliishia hapo na kurudi ofisini. Kifupi niliweza kutembea maeneo mbalimbali ya Muhimbili huku nikiwa napishana na wauguzi kwa madaktari bila kunishtukia. Sikuona hata mmoja mwenye dalili ya kunitilia shaka zaidi ya kunichangamkia kuwa ni mwenzao.

OKTOBA 2, 2013 AFISA UHUSIANO ABANWA NA IJUMAA
Juzi asubuhi, Ijumaa lilimpigia simu Afisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Aminiel Aligaesha na kumuuliza maswali haya:
Mwandishi: Kuna madai kwamba hapo Muhimbili mna madaktari feki wengi sana, inakuwaje kuhusu hilo?
Afisa Uhusiano: Kwanza kabisa sisi hatuajiri madaktari feki, kuna utaratibu wa kuajiri. Hao makanjanja kila fani wapo lakini hapa Muhimbili akijipenyeza tunamgundua na kumkamata.
Mwandishi: Je, kama akitokea daktari feki akaingia mpaka wodini mtajuaje?
Afisa Uhusiano: Mara nyingi manesi wanaokuwa wodini ni rahisi kuwagundua na kutoa taarifa.
Mwandishi: Sasa mbona kuna mwandishi wetu alijifanya daktari akawa anafanya shughuli za kuwaona wagonjwa hapo kwa siku tatu?
Afisa Uhusiano: Hakuna kitu kama hicho, si rahisi kuingia na kufanya kazi kwa siku tatu bila kugundulika.
Mwandishi: Mbona huyo mwandishi alishakuja hadi ofisini kwako tena mkaongea akisema ana mgonjwa wake katoka mkoa?
Afisa Uhusiano: (mshangao) Hakuna kitu kama hicho bwana.

TAHADHARI
Kikubwa kilichobainika Muhimbili ni ukosefu wa ulinzi makini kwani kama mtu anaweza kuvaa vazi la kidaktari na kukatiza maeneo yote hadi kuingia wodini iko siku ataingia mtu mbaya na kufanya mambo ya ajabu, hata kuiba wagonjwa na kuondoka nao, achilia mbali masuala ya ugaidi. GPL

Sikiliza Kali za DJ Choka (Playlist)

DJ Choka


Breaking News! Woman Killed Near Capitol After Ramming White House Gate

 
 A woman with a small child in her car tried to ram into a White House barricade Thursday, then led authorities on a chase to the U.S. Capitol, where she was fatally shot, police said.

Rescue personnel stand around a smashed U.S. Capitol Hill Police vehicle following a shooting near the U.S. Capitol in Washington, October 3, 2013
A Capitol Police officer was injured, apparently in a crash that happened after the chase.
The incident began at about 2:30 p.m. at the White House gates at 15th and E streets NW, NBC News confirmed. Video submitted to NBC Washington by AlhurraTV shows the woman’s car surrounded by officers with their guns drawn. The woman bashes into a barricade, backs up, and then drives away.

She then led them and Capitol Police on a chase to 2nd Street and Maryland Avenue NE near the Capitol, where she crashed into a barricade, sources told NBC Washington’s Jackie Bensen.

The woman, who was about 34 and driving a car with Connecticut license plates, was shot at the scene and killed.

A volley of shots were heard and led to a lockdown on Capitol Hill; though initial reports said the woman had fired, later reports said it was unclear who fired the shots.

The woman’s child was taken to a hospital but was not hurt, reported NBC News’ Luke Russert.

The shooting comes on day three of the first government shutdown in 17 years, a tense standoff between the House and the Senate over the federal budget and President Barack Obama’s Affordable Care Act. Both sides have accused the other of refusing to negotiate, and tens of thousands of federal workers have been furloughed.

An armed unit makes it’s way to the U.S. Capitol following a shooting in Washington October 3, 2013. The Capitol was in lockdown on Thursday

However, the shooter’s motives remain unknown. The incident appeared to be isolated and was not related to terrorism, said U.S. Capitol Police Chief Kim Dine.

The police officer who was injured in a crash during the chase was airlifted to an area hospital. He was conscious and breathing, Dine said.
The U.S. Capitol building was put on lockdown immediately after the shooting, though that lockdown has now been lifted.

Rep. Mike Quigley (D-Ill.) said he was in his office when he heard about the shots, reported NBC Chicago.
“We have our interns here — [a warning] squeals through the phone,” he said. “Freaked everyone out — you are to shelter in place, lock your doors, go to the back of your office.”
During the lockdown, the House recessed, and the Senate went into a quorum call.
Pennsylvania Avenue remains closed in the area, and tourists were evacuated.
“You could hear multiple shots,” said one witness. “We knew we were in danger, in harm’s way, and we heard the police screaming, ‘Get down, get down!’ So we hit the concrete and just laid still.”

Another witness told NBC Washington he heard two separate bursts of gunfire. NBC News correspondent Luke Russert reported hearing three or four booms from his office and saw 40 to 50 people hit the ground.
NBC

Ally Mbongo ft Hardmad - Wanadata (Audio)

Ally Mbongo , Hardmad ,Wanadata

Never Reply!! Facebook Scam..!

Facebook Scam
Facebook User
My dearest Love, Thanks for writing back , to tell you all about me. Am Miss Selena Kiki ,i am single and never been married, i am from the Republic of Ivory coast in west Africa, 23 years,fair in complexion,But Currently i am living in a refugee camp in Dakar Senegal,This is not government owned refugee camp but the refugee camp where we are belongs to the Catholic Church organization called ( CARITAS). I am in suffering and pains here in this refugee camp and i really need to have a man by my side to encourage me and give me good advice in life and help me to come out from this situation,

My Late Beloved father Dr.BENSON KIKI he was the holder of the Global Cloths Manufacturing & Co Company Ltd, he is also The former ministry of agriculture and the standard carrier of the national union of the Democratic Republic of Ivory coast,before the rebels attacked our house one early morning and killed my mother and my father in cold blood. Please i want to tell you that your age does not matter to me all i need in a man is honesty and caring. Now,i am writing to solicit your assistance. After death and burial of my esteemed father, I escape Conflict in Ivory coast with a Very Important Document (VID), a DEPOSIT CERTIFICATE (DC) of $3,5M (Three Million Five Hundred Thousand Dollars) , this money deposited by my late beloved father when he was alive and identifying me as the Next of Kin (NK). Meanwhile, I was saddle with the Problem (P) of securing a trust worthy foreign personality who will help me transfer the money over to his country with the intention of investing it in a business under his directives and supervisions because i have no knowledge of investment. Please if you are so kind as to assist me, I shall send you all Vital Information's(VI) for your confirmation regarding the financial house where the DC was lodge. I am giving you this offers as mention with every confidence on your acceptance to assist me as your own sister,wife or friend to manage the money on my behalf until such a time I am able to stand on my own feet. I will be happy to hear from you. God Bless You as you consider my plea.with tears and sorrow i explain my self in a humble manner,Here in this Camp we are not allowed to go out .Its just like one staying in the prison,But I hope by Gods grace with your help i will come out here soon,here in Senegal as a refugee seeking asylum. According to the financial governing laws of this country, people under refugees are not allow to participate personal into any monetary transaction or operate account inter national or local,so please if you will help me reply to me.Please my dear, i kept this secret to people because you know is money issue as soon as people hear about it now all eyes will be on it,Please, I kept this secret to people in the camp here the only person that knows little about it is the Reverend Noah because he is like a father to me ever since i came in here.you can reach me through his phone number which is (+221-774-235-xxx) when you call tell him you want to speak with miss Selena that is in girl hostel (Room 14) So In the light of the above i will like you to keep it to your self,and please don't let it to be open to people,for i am afraid of my life,and loosing the money if people gets to know about it,remember i am giving this information to you with faith and trust that you will be of help to me with the help of God,i like honest and understanding people,truthful and a Person of vision.Once the money transfer to your account we can make the necessary arrangements for me to come over there and meet WITH you in person for my freedom. Please i will be happy to hear from you soon. From yours sincerely , Miss Selena .

-Scam-

OPERESHENI KIMBUNGA ni BALAA TUPU

Na Theonestina Juma, Bukoba
Kampeni ya kitaifa ya kuwaondoa wahamiaji haramu nchini iliyopewa jina la “Operesheni Kimbunga” awamu ya pili ambayo inaendelea katika baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa, imewanasa majambazi watano wanaojishughulisha na biashara ya kuuza silaha zinazotoka nchi jirani na kuziingiza nchini.

Naibu Kamishna wa operesheni hiyo, Simon Sirro, aliyasema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari Mjini Bukoba, mkoani Kagera, kuhusu maendeleo ya operesheni hiyo.
Alisema hadi sasa, majambazi 88 wamekamatwa miongoni mwao, watano wanaojihusisha na biashara ya kwenda nchini Burundi kununua silaha kwa sh. 300.000 na kuziingiza nchini na kuziuza kuanzia sh. milioni moja.
“Majambazi watatu wamebainika kusambaza silaha kwa wateja hapa nchini na majambazi wote ni Watanzania, jambazi mmoja alikuwa akifanya biashara ya kuuza mbuzi nchini Burundi.
“Baadaye alipoona biashara hiyo hailipi, aliwashawishi Watanzania wenzake kufanya biashara ya kuuza silaha ambayo ndiyo inawalipa hivyo kuanza biashara hiyo,” alisema kamanda Sirro bila kutaja majina ya majambazi hao.
Alisema operesheni hiyo awamu ya pili, ilianza Septemba 21 hadi Oktoba Mosi mwaka huu ikiwa na mafanikio makubwa ambapo wahalifu 529 walikamatwa na wahamiaji haramu 425 katika Mikoa ya Geita, Kigoma na Kagera.
Aliongeza kuwa, walioruhusiwa kwa uamuzi wa mahakama ni 159, waliorudishwa makwao kwa hiari 122, walioachiwa huru 39 na wanaoendelea kuhojiwa hadi sasa 105.
Kamanda Sirro alisema, watu watano wanashikiliwa kwa tuhuma ya kuwatorosha na kuwahifadhi wahamiaji na majangili 11 ambapo silaha mbalimbali 23 zimekamatwa.Silaha hizo ni pamoja na bunduki aina ya SMG, bastola, magobole 18, magazine mbili, bomu la kutupwa kwa mkono pamoja na sare moja ya Jeshi la Burundi.
Katika hatua nyingine, Kamanda Sirro alisema ng’ombe 2,220 wamekamatwa, 103 wanamilikiwa na Bw. Kalemela George, wilayani Biharamulo ambaye mahakama imetoa amri ya kutaifishwa baada ya kuwaingiza katika Hifadhi ya Taifa Biharamulo kinyume cha sheria.
“Natoa wito kwa wafanyabiashara wa nyama mjini Bukoba,kwenda kuwanunua kwa ajili ya kuchinja na kuuza, hatua ya kutaifisha mifugo ni nzuri...kesi nyingine za mifugo bado tunafanya utaratibu wa kuzifikisha mahakamani,” alisema.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Missenyi, Kanali mstaafu Issa Njiku, alisema operesheni hiyo bado inaendelea pia itakuwa endelevu.
Majira

Here's the List of Presidents of the United States


"Presidents of the United States", "American Presidents", and "U.S. Presidents" redirect here. For the C-SPAN series, see American Presidents: Life Portraits. For other uses, see President of the United States (disambiguation).

For lists of U.S. Presidents based on other criteria such as age or home state, see Template:Lists of US Presidents and Vice Presidents.
The White House, the president's official residence and center of the administration
Under the United States Constitution, the President of the United States is the head of state and head of government of the United States. As chief of the executive branch and head of the federal government as a whole, the presidency is the highest political office in the United States by influence and recognition. The president is also the commander-in-chief of the United States Armed Forces. The president is indirectly elected to a four-year term by an Electoral College (or by the House of Representatives should the Electoral College fail to award an absolute majority of votes to any person). Since the ratification of the Twenty-second Amendment to the United States Constitution in 1951, no person may be elected President more than twice, and no one who has served more than two years of a term to which someone else was elected may be elected more than once.[1] Upon the death, resignation, or removal from office of an incumbent President, the Vice President assumes the office. The President must be at least 35 years of age and a "natural born" citizen of the United States.

This list includes only those persons who were sworn into office as president following the ratification of the United States Constitution, which took effect on March 4, 1789. For American leaders before this ratification, see President of the Continental Congress.[2] The list does not include any Acting Presidents under the Twenty-fifth Amendment to the United States Constitution.

There have been 43 people sworn into office, and 44 presidencies, as Grover Cleveland served two non-consecutive terms and is counted chronologically as both the 22nd and 24th president. Of the individuals elected as president, four died in office of natural causes (William Henry Harrison,[3]Zachary Taylor,[4]Warren G. Harding,[5] and Franklin D. Roosevelt), four were assassinated (Abraham Lincoln,[6]James A. Garfield,[6][7]William McKinley,[8] and John F. Kennedy) and one resigned (Richard Nixon).[9]

George Washington, the first president, was inaugurated in 1789 after a unanimous vote of the Electoral College. William Henry Harrison spent the shortest time in office with 32 days in 1841, and Franklin D. Roosevelt spent the longest with over twelve years, but died shortly into his fourth term in 1945. He is the only president to serve more than two terms, and a constitutional amendment, affecting presidents after Harry Truman, was passed to limit the number of times an individual can be elected president. Andrew Jackson, the seventh president, was the first to be elected by men of all classes in 1828 after most laws barring non-land-owners from voting were repealed. Warren Harding was the first elected after women gained voting rights in 1920. History records four presidents – John Q Adams, Rutherford B. Hayes, Benjamin Harrison and George W. Bush – who lost the popular vote but assumed office. John F. Kennedy has been the only president of Roman Catholic faith, and the current president, Barack Obama, is the first president of African descent
Wikipedia, the free encyclopedia

Kali TV: Meet Nazizi Hirji