Abdul Haji Recounts Rescuing Westgate Hostages - INTERVIEW:
Former Defense Minister Yusuf Haji's son Abdul Haji was photographed rescuing many victims of the Westgate attack. He told NTV's Mark Masai and Smriti Vidyarthi about how he got to the Mall and helped rescue many civilians.
MTANGAZAJI ASIMULIA ALIVYOJIFANYA AMEKUFA KUWAKWEPA MAGAIDI WESTGATE...
Mtangazaji wa kituo cha redio jana ameeleza jinsi alivyonusurika katika shambulio la umwagaji damu nchini Kenya kwa kujigubika katika damu za kijana mmoja ili aonekane kuwa amekufa. Sneha Kothari Mashru alisema kijana huyo alikufa kutokana na majeraha wakati walipojikunyata kwa woga mbele ya watu hao wenye silaha ambao walivamia kituo cha biashara cha Westgate mjini Nairobi.
Kwanza alizima simu yake ya mkononi kuzuia isiwagutushwa wavamizi hao kisha akaja na mpango wa kutisha wa kujifanya amekufa.
Alieleza: "Nilichukua damu yake nyingi, kadri nilivyoweza na kujaribu kujipaka mwilini.
"Niliweka mkononi mwangu, damu nyingi ya kijana huyo, na wakati nilipokuwa nikijaribu kuweka mkononi mwangu ndipo nikagundua ameacha kupumua wakati huo.
"Hivyo nikaweka mkononi mwangu, nyingi nilivyoweza, na nikafunika sura yangu kwa kutumia nywele, sababu nywele zangu zilikuwa zimetimka hadi wakati huo, ili kujifanya kwamba nimekufa au pengine nimejeruhiwa vibaya."
Alisema angependa kumtambua kijana huyo.
Habari yake imeibuka wakati msako ukiendelea kutafuta miili kwenye kifusi kilichosababishwa na mapigano makali ya siku nne kati ya vikosi vya Kenya na wanamgambo wa Al Shabaab.
Mpaka sasa idadi ya waliokufa ni 72 na inatarajiwa kuongezeka kutokana na miili ambayo haijahesabiwa kubakia kwenye jengo hilo lililoharibiwa vibaya.
Watu wengine 175 walijeruhiwa, wakiwamo zaidi ya 60 walioko hospitalini. Takribani watu 18 wa mataifa mengine walikuwa miongoni mwa waliokufa.
AINA ZA SIMU ZINAZOTUMIWA NA VIONGOZI MAARUFU DUNIANI
We have been learning about new phones being launched including iPhone 5S, iPhone 5c, Galaxy Note 3, Moto X and Xperia Z1 . Today we will get you major world figures and their favourite gadgets.US President Barack Obama US President Obama has been BlackBerry’s most high profile fan.
North Korea’s Kim Jong-Un
North Korea’s Kim Jong-Un has been spotted with HTC Butterfly.

Chinese First Lady Peng Li Yuan
Chinese President Xi Jinping’s wife Peng Li Yuan was caught on camera recently using Apple’s iPhone5.

Thai Prime Minister Yingluck Shinawatra
Thailand’s first female prime minister Yingluck Shinawatra uses a total of five smartphones one of which is a white Nokia Lumia 920.

Russian President Vladimir Putin
Since 2012, Putin has been using Russian smartphone MTS-Glonass 945, an Android device.

Britain’s Royal Family
British Royal Family is apparently in love with Apple. Prince William was seen using the iPhone at the Summer Olympics last year, as was Prince Harry.

UK Prime Minister David Cameron
BlackBerry is clearly a major deal for global leaders, UK Prime Minister David Cameron is also found to be a fan of BlackBerry.

German Chancellor Angela Merkel
German Chancellor Angela Merkel is also a BlackBerry fan, in this case its BlackBerry Z10.

Clearly BlackBerry is a winner here with Samsung securing no position here and Apple on the runners up stand. I guess BlackBerry sale out would disappoint these dignitaries.
Well these are few gadgets used by world’s most powerful personalities.
North Korea’s Kim Jong-Un
North Korea’s Kim Jong-Un has been spotted with HTC Butterfly.
Chinese First Lady Peng Li Yuan
Chinese President Xi Jinping’s wife Peng Li Yuan was caught on camera recently using Apple’s iPhone5.
Thai Prime Minister Yingluck Shinawatra
Thailand’s first female prime minister Yingluck Shinawatra uses a total of five smartphones one of which is a white Nokia Lumia 920.
Russian President Vladimir Putin
Since 2012, Putin has been using Russian smartphone MTS-Glonass 945, an Android device.
Britain’s Royal Family
British Royal Family is apparently in love with Apple. Prince William was seen using the iPhone at the Summer Olympics last year, as was Prince Harry.
UK Prime Minister David Cameron
BlackBerry is clearly a major deal for global leaders, UK Prime Minister David Cameron is also found to be a fan of BlackBerry.
German Chancellor Angela Merkel
German Chancellor Angela Merkel is also a BlackBerry fan, in this case its BlackBerry Z10.
Clearly BlackBerry is a winner here with Samsung securing no position here and Apple on the runners up stand. I guess BlackBerry sale out would disappoint these dignitaries.
Well these are few gadgets used by world’s most powerful personalities.
Dozens Dead in Philippines Floods -Typhoon Pabuk
The southwest monsoon, intensified by Typhoon Pabuk, brought torrential rains in Manila and nearby provinces of Luzon Island, killing at least 30 people. Heavy rains triggered landslides and flash floods affecting more than 36,000 people over the past two days, officials said. Al Jazeera's Jamela Alindoghan reports from Zambales Province.
Subscribe to:
Posts (Atom)

