
Woman Uses Fake Baby Bump in Attempt to Smuggle Cocaine
Pictured: The fake baby bump used by a Canadian woman social worker 28, caught smuggling two kilos of cocaine out of Colombia
Tabitha Leah Ritchie was carrying over four pounds of cocaine under a latex belly
Colombian police detained her after an inspector noticed her belly was cold and hard
Ritchie is a social worker who arrived in Colombia on August 6.
Tabitha Leah Ritchie was carrying over four pounds of cocaine under a latex belly
Colombian police detained her after an inspector noticed her belly was cold and hard
Ritchie is a social worker who arrived in Colombia on August 6.
Ni Kweli Watu Hawana Uwezo wa Kunisaidia Ili Nisife
Inauma sana unapoona familia ndio inakutegemea, halafu unayetegemewa mwenyewe unaumwa kama hivi.Mbaya zaidi kadri ninavyohangaika ili kupona, hali ndio inazidi kuwa mbaya zaidi. Nimekuwa nikitokwa na usaa mwingi mno, kwa dakika tu hata kikombe kinajaa, nilikwenda hospitali wamezuia hilo.Sasa uvimbe naona unakua, maumivu ninayoyapata ni makali mno.Naombeani mniokoe nipate fedha nikatibiwe.
Joseph Ayubu ni mkazi wa Kijiji cha Nyenze, Shinyanga.Ugonjwa unaomsumbua unaendelea kumwathiri, huku akiwa hana uwezo wa matibabu.
Maisha yamejaa changamoto, unaweza kulia kwa sababu ya tatizo hili, mwingine akalia kwa lile.
Wataalamu wa saikolojia, wakiwemo Fernald LD na Hockenbury Hockenbury kutoka New Zealand, wanasisitiza katika machapisho yao kadhaa yakiwemo kitabu cha Life is like this, yaani maisha ni kama hivi, kwamba unapokuwa na tatizo, tuliza kichwa, tafakari sababu hasa ni nini na nini cha kufanya ili kuondokana na hali hiyo.
Ilimradi uko hai, shida zipo, huna sababu ya kukata tamaa, cha msingi chukua hatua kuzishinda shida zinazokusumbua, ikiwezekana shirikisha wengine.
Mfano wa Joseph Ayubu
Joseph Ayubu (40) mkazi wa Kijiji cha Nyenze wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, kwa miaka mingi amekuwa akihangaika kupata tiba ya tatizo lake bila mafanikio.
Ayubu anateswa na ugonjwa wa kansa, hali yake kwa sasa ni mbaya, anatokwa na usaa mwingi; akiukinga usaha unaotoka shingoni, kikombe hujaa ndani ya dakika moja.
“Nimevumilia mno, kadri siku zinavyokwenda mbele naona kifo kinakuja. Sitaki kuamini kama ulimwengu wote au Watanzania wote wanaweza kuwa na roho ngumu ya kushindwa kuniokoa, naomba msaada niondokane na shida hii,” anasema Ayubu.
Anawaomba wasamaria wema wamchangie fedha ili akatibiwe katika Hospitali ya KCMC iliyoko mkoani Kilimanjaro.
Ayubu anasumbuliwa na tatizo la saratani ya shingo, hivyo kusababisha shingo yake kuvimba na kumfanya ashindwe kutoa sauti ipasavyo kwani sehemu kubwa ya koo lake imeziba.
Anaeleza kuwa kutokana na ugonjwa huo, kichwa nacho kinazidi kuvimba na kupata maumivu makali.
Macho nayo yanavimba na kumsababishia ashindwe kuona mbali. Mbaya zaidi ni kwamba kwa namna anavyoona, kila siku ugonjwa unaendelea kukua katika mwili wake.
Anasema ugonjwa huo umeshindikana kutibiwa katika hospitali za kawaida hivyo anatakiwa aende kutibiwa Hospitali ya KCMC (Kilimanjaro Christian Medical Centre).
Ayubu anatakiwa kuchomwa sindano sita, kila sindano gharama yake Sh218,000, hivyo anatakiwa awe na Sh1,308,000 kwa matibabu hayo pekee, nje ya tiba zingine, gharama za kuishi huko KCMC na mengineyo.
Ugonjwa ulivyoanza
Alianza kuugua maradhi hayo mwaka 2010, ulianza uvimbe mdogo shingoni, baadaye ukaongezeka, ikamlazimu kununua dawa za kutuliza maumivu hasa Panadol, kwa vile uvimbe huo ulikuwa unasababisha maumivu makali.
“Hali yangu ya kiafya inazidi kudhoofika, siwezi tena kufanya kazi za kuniingizia kipato kwani maumivu ninayoyahisi ni Mungu tu ndio anajua, ni maumivu makali mno. Ninaomba sana Watanzania wenzangu na yeyote ambaye si Mtanzania anisaidie, nina mke na watoto ambao bado wadogo na sina namna ya kuwasaidia kwa sasa”anasema.
“Wakati mwingine mwili wangu unakufa ganzi na fahamu kupotea, wakati mwingine fahamu zinarudi naweza kujielewa vizuri, ninachokisubiri kwa sasa ni huruma yenu Watanzania, ndiyo itasababisha maisha yangu kurudi kama nilivyokuwa mwanzo”
Anasema watoto wake wanasoma lakini kwa sasa wamesimamishwa kwa sababu hana fedha za kuwalipia ada na huduma zingine za masomo.
Anasema alipokuwa hajaugua ugonjwa huo alikuwa akifanya shughuli mbalimbali ndogo ndogo za kuingiza kipato, huku akifanya pia kazi kama Mwalimu wa Kwaya katika Kanisa la KKKT kijijini hapo. Kwa sasa hawezi tena kufanya kazi yoyote kwa sababu ya maumivu makali anayohisi na pia hali ngumu ya kiafya inayoendelea kumsumbua.
“Nimeshawahi kwenda hospitali mbalimbali mkoani hapa lakini hali haibadiliki, nilienda hadi kwa waganga wa kienyeji, ugonjwa unaongezeka.
Hali yake kwa sasa ni mbaya, ndani ya dakika moja naweza kujaza usaha kwenye kikombe, huku maumivu yakiendelea kuwa makali zaidi.
Ayubu anasema ameendelea hivyo, mpaka alipokwenda Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga, ambako alishonwa ndipo angalau sasa usaha umepungua, ingawa hali yake bado ni mbaya hasa shingo kuendelea kuvimba.
“Mpaka sasa siwezi kugeuka nikitaka kugeuka inabidi nigeuze mwili wote sio siri nateseka sana endapo maumivu haya yangekuwa yanawezekana kumwachia mtu mwingine ningekupa ukaona maumivu yake.
“Nina watoto wananitegemea, nilikuwa nalima na kufanya biashara mbalimbali, kwa sasa siwezi kutokana na kupata maumivu makali ambayo yananisababishia hata kushindwa kula”anasema Ayubu.
Maisha yake kwa sasa yamekuwa ya kubahatisha, kuna wakati hulala bila kula japo ni mgonjwa.
“Sisi Watanzania wote ni ndugu nihurumieni mwenzenu naumia, naomba sana mnisaidie kulingana na ulichonacho,”anasema Ayubu huku akitokwa machozi.
Kwa mujibu wa Ayubu, madaktari wamemshauri kwamba akipata fedha hizo tatizo lake linaweza kutibiwa na kurudi katika hali yake ya kawaida.
Kwa mujibu wa vitabu vitakatifu, kusaidia wenye uhitaji huchangia kupata baraka katika maisha, lakini kama wanadamu tunapaswa kusaidiana...duniani tunapita.
Kwa yeyote mwenye moyo wa kumsaidia chochote, Ayubu awasiliane na Mhariri wa Jarida la Ndani ya Habari, 0754498972.
Mwananchi
Alex Massawe Huenda Akapanda Kizimbani Dubai
Massawe anayetarajiwa kuletwa nchini wakati wowote kuanzia sasa, alikuwa anatafutwa na Polisi wa Tanzania kwa muda mrefu na alikamatwa Dubai, mapema Julai na maofisa wa usalama wa UAE baada ya alama zake za vidole kuonyesha kuwa alikuwamo kwenye orodha ya watu waliokuwa wanasakwa na Interpol.
Baada ya kukamatwa, Mkuu wa Interpol, Tawi la Tanzania, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Gustav Babile alisema Massawe alikamatwa kati ya Juni 20 na 25, mwaka huu kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai akitokea Afrika Kusini.
Massawe ambaye anafanya biashara zake katika Miji ya Arusha, Dar es Salaam na Moshi, inadaiwa kwamba akiwa Dubai, alikutwa na pasi tatu bandia za kusafiria zilizokuwa na majina tofauti wakati alama zake za vidole zilionyesha anaitwa Alex Massawe. “Ombi la kuleta mhalifu nchini kutoka nje ya nchi (extradition request), lina hatua ndefu. Unajua kuna mlolongo wa taratibu za kutekeleza. Kwanza lazima Polisi wa Tanzania watoe tangazo kwa Interpol kuhusu kumsaka mtu huyo ili aletwe,” alisema Babile.
Hivi karibuni, Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu Dar es Salaam ilitoa hati ya kukamatwa na kurejeshwa nchini kwa Massawe ili kukabiliana na kesi mbili ikiwamo ya madai ya kughushi nyaraka mbalimbali.Kusoma zaidi bofya
Hati hiyo ilitolewa baada ya Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka kuwasilisha ombi la kutaka mfanyabiashara huyo arejeshwe nchini kwa kuwa tayari amefunguliwa kesi namba 150/2013.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishna wa Polisi, Robert Manumba alisema kwa agizo hilo, polisi kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali waliandika barua kwa Mwanasheria Mkuu wa Dubai kuangalia taratibu za kisheria za kumrudisha baada ya kumfikisha mahakamani mtuhumiwa huyo.
“Massawe alifikishwa mahakamani Dubai kwa makosa ya kukutwa na hati bandia za kusafiria, lakini vilevile kugundulika kuwa ni kati ya watu wanaotafutwa na Polisi wa Interpol kwa tuhuma za mauaji,” alisema Manumba.
“Sheria inasema mtu akikamatwa nchi nyingine, anashtakiwa nchini humo, huku taratibu za kisheria za kumrejesha zikiendelea kwa nchi ambazo zina utaratibu wa kubadilishana wafungwa kama ilivyo Tanzania na UAE,” alisema Manumba.
Alisema ushahidi dhidi ya mtuhumiwa huyo umekamilika na tayari umewasilishwa Dubai ili kuendelea na taratibu nyingine za kisheria za kumrejesha Tanzania haraka kujibu tuhuma zinazomkabili.
Kutajwa mahakamani
Aprili 4, mwaka huu, Massawe alitajwa mahakamani katika kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Onesphory Kituly ambaye aliuawa katika mazingira ya kutatanisha Novemba 6, 2011 akiwa nyumbani kwake Magomeni, Dar es Salaam.
Katika kesi hiyo ambayo mshtakiwa wa kwanza ni mfanyabiashara maarufu, Abubakar Marijani ‘Papaa Msofe’, mshtakiwa mwingine, Makongoro Joseph Nyerere alitoa malalamiko, mbele ya Hakimu Mkazi, Agnes Mchome mara baada ya Wakili wa Serikali, Mwanaisha Kombo kudai upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kuomba tarehe mpya ya kuitaja.
Mshtakiwa huyo, aliomba jalada la kesi yao lipelekwe mahakamani hapo kwa ajili ya kulifanyia kazi na kutuhumu kuwa ndugu wa marehemu Kituly hawataki maendeleo ya kesi yao hadi Massawe akamatwe.
Mwananchi
This's Why Google+ is Better than Facebook
So, Google launched its long-awaited new social network Google +. According to rumors, it was she was instantly at the peak of popularity, Facebook moved into second place. According to the site comScore, before users spent 62% more time on Facebook, than on Google and its related sites, which could not possibly please the developers of Google and meant a significant loss in advertising. Former Projects Google, such as Buzz and Orkut, have failed, but a new attempt, a social network Google +, has been very successful and has a good chance to completely replace Facebook.

1. Slogan «Google Plus» is the simplicity and naturalness, and its positioning as a "simple and easy way to share information with friends." Thus, the main advantages of «Google Plus»:
The first advantage: Privacy. «Google Plus» introduced a special "community" - the specific group of users, so that you can determine for themselves what information and with whom to share.

2. The second advantage: Facebook offers the option of "friends" - so, basically, you can also determine for themselves what content and for any of your readers is an open question. But the process of forming groups of friends on Facebook is much more complicated than «Google Plus».

3. The third advantage: «Google Plus» is the perfect addition to the projects Google Map and operating system, Android, which acts on many smartphones.

4. A fourth advantage: Facebook recently too, "overcrowded". Often in your contact list you can find people, which generally have no idea. According to recent studies, all in a larger number of Facebook users a feeling of unease and insecurity. In addition, the site leaves a lot of users, saying that just because they have too many unwanted contact and receive requests for admission to friends of people with whom to be friends and do not want to communicate. It should also be noted that most U.S. citizens are dissatisfied with where and created a social network. Eloquent proof, is not it?
The fifth advantage: Because the encoding site Facebook is a PHP, to develop applications for the site is problematic. And just in the application of social networks and are most popular.
The sixth advantage: As long as that one advantage of Facebook is that it can create pages of firms and companies to promote their advertising and promotion in the market. But «Google Plus», most likely, too, will soon be possible.
Seventh: In addition, the company Google is elementary more experience than of Facebook, at least by the fact that it exists for a longer time.
Eight: And, finally, the option «Google Plus», as Huddle, which allows you to send messages to groups of friends entirely.

5. That these eight factors are prerequisites for the enormous success Google Plus. Time will tell whether this will get a new social network development.

1. Slogan «Google Plus» is the simplicity and naturalness, and its positioning as a "simple and easy way to share information with friends." Thus, the main advantages of «Google Plus»:
The first advantage: Privacy. «Google Plus» introduced a special "community" - the specific group of users, so that you can determine for themselves what information and with whom to share.

2. The second advantage: Facebook offers the option of "friends" - so, basically, you can also determine for themselves what content and for any of your readers is an open question. But the process of forming groups of friends on Facebook is much more complicated than «Google Plus».

3. The third advantage: «Google Plus» is the perfect addition to the projects Google Map and operating system, Android, which acts on many smartphones.

4. A fourth advantage: Facebook recently too, "overcrowded". Often in your contact list you can find people, which generally have no idea. According to recent studies, all in a larger number of Facebook users a feeling of unease and insecurity. In addition, the site leaves a lot of users, saying that just because they have too many unwanted contact and receive requests for admission to friends of people with whom to be friends and do not want to communicate. It should also be noted that most U.S. citizens are dissatisfied with where and created a social network. Eloquent proof, is not it?
The fifth advantage: Because the encoding site Facebook is a PHP, to develop applications for the site is problematic. And just in the application of social networks and are most popular.
The sixth advantage: As long as that one advantage of Facebook is that it can create pages of firms and companies to promote their advertising and promotion in the market. But «Google Plus», most likely, too, will soon be possible.
Seventh: In addition, the company Google is elementary more experience than of Facebook, at least by the fact that it exists for a longer time.
Eight: And, finally, the option «Google Plus», as Huddle, which allows you to send messages to groups of friends entirely.

5. That these eight factors are prerequisites for the enormous success Google Plus. Time will tell whether this will get a new social network development.
Sunderland Kujenga Academy Dar es salaam

Club ya Sunderland ya Uingereza inatarajiwa kuanza ujenzi wa kituo cha michezo "Academy" katika eneo la kidongo chekundu jijini Dar es salaam kwa lengo la kuinua michezo nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi wa biashara wa Sunderland, Gary Hotchinson, alisema ujenzi huo utaanza hivi karibuni kwa kushirikiana na kampuni ya kufua umeme "Symbion Power".
"Academy hii tunataraji kabla ya mwaka huu kuisha tayari itakuwa imeanza kujengwa na huu ni kwasababu ya ushirikiano wetu mzuri na Tanzania kwa kushirikiana na Bodi ya utalii" na aliongea kuwa Tanzania itapata mafanikio makubwa kupitia mpango huu, hasa katika sekta ya utalii.
aidha Hotchinson aliongeza kuwa licha ya kujenga kituo hicho, wanatarajia kutoa mafunzo mbalimbali ya michezo, ikiwemo ya ukocha na kupitia Club hiyo watakuwa wakizileta timu mbalimbali nchini na kuzidi kuboresha sekta ya utalii na michezo.
Nae mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Dk Alloyce Nzuki, alisema wamefarijika na uhusiano huo, ambapo wanaimani kubwa kuwa sekta ya utalii itazidi kupanuka kutokana na ujio wa timu hiyo.
Mtanzania
Subscribe to:
Posts (Atom)