Pages

Alex Massawe Huenda Akapanda Kizimbani Dubai

Alex MassaweMfanyabiashara maarufu nchini, Alex Massawe amefikishwa mahakamani Dubai, Falme za Kiarabu (UAE), kwa tuhuma za mauaji baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), kuiomba Serikali ya nchi hiyo kumkamata.

Massawe anayetarajiwa kuletwa nchini wakati wowote kuanzia sasa, alikuwa anatafutwa na Polisi wa Tanzania kwa muda mrefu na alikamatwa Dubai, mapema Julai na maofisa wa usalama wa UAE baada ya alama zake za vidole kuonyesha kuwa alikuwamo kwenye orodha ya watu waliokuwa wanasakwa na Interpol.
Baada ya kukamatwa, Mkuu wa Interpol, Tawi la Tanzania, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Gustav Babile alisema Massawe alikamatwa kati ya Juni 20 na 25, mwaka huu kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai akitokea Afrika Kusini.

Massawe ambaye anafanya biashara zake katika Miji ya Arusha, Dar es Salaam na Moshi, inadaiwa kwamba akiwa Dubai, alikutwa na pasi tatu bandia za kusafiria zilizokuwa na majina tofauti wakati alama zake za vidole zilionyesha anaitwa Alex Massawe. “Ombi la kuleta mhalifu nchini kutoka nje ya nchi (extradition request), lina hatua ndefu. Unajua kuna mlolongo wa taratibu za kutekeleza. Kwanza lazima Polisi wa Tanzania watoe tangazo kwa Interpol kuhusu kumsaka mtu huyo ili aletwe,” alisema Babile.

Hivi karibuni, Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu Dar es Salaam ilitoa hati ya kukamatwa na kurejeshwa nchini kwa Massawe ili kukabiliana na kesi mbili ikiwamo ya madai ya kughushi nyaraka mbalimbali.Kusoma zaidi bofya

Hati hiyo ilitolewa baada ya Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka kuwasilisha ombi la kutaka mfanyabiashara huyo arejeshwe nchini kwa kuwa tayari amefunguliwa kesi namba 150/2013.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishna wa Polisi, Robert Manumba alisema kwa agizo hilo, polisi kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali waliandika barua kwa Mwanasheria Mkuu wa Dubai kuangalia taratibu za kisheria za kumrudisha baada ya kumfikisha mahakamani mtuhumiwa huyo.
“Massawe alifikishwa mahakamani Dubai kwa makosa ya kukutwa na hati bandia za kusafiria, lakini vilevile kugundulika kuwa ni kati ya watu wanaotafutwa na Polisi wa Interpol kwa tuhuma za mauaji,” alisema Manumba.
“Sheria inasema mtu akikamatwa nchi nyingine, anashtakiwa nchini humo, huku taratibu za kisheria za kumrejesha zikiendelea kwa nchi ambazo zina utaratibu wa kubadilishana wafungwa kama ilivyo Tanzania na UAE,” alisema Manumba.

Alisema ushahidi dhidi ya mtuhumiwa huyo umekamilika na tayari umewasilishwa Dubai ili kuendelea na taratibu nyingine za kisheria za kumrejesha Tanzania haraka kujibu tuhuma zinazomkabili.

Kutajwa mahakamani
Aprili 4, mwaka huu, Massawe alitajwa mahakamani katika kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Onesphory Kituly ambaye aliuawa katika mazingira ya kutatanisha Novemba 6, 2011 akiwa nyumbani kwake Magomeni, Dar es Salaam.
Katika kesi hiyo ambayo mshtakiwa wa kwanza ni mfanyabiashara maarufu, Abubakar Marijani ‘Papaa Msofe’, mshtakiwa mwingine, Makongoro Joseph Nyerere alitoa malalamiko, mbele ya Hakimu Mkazi, Agnes Mchome mara baada ya Wakili wa Serikali, Mwanaisha Kombo kudai upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kuomba tarehe mpya ya kuitaja.

Mshtakiwa huyo, aliomba jalada la kesi yao lipelekwe mahakamani hapo kwa ajili ya kulifanyia kazi na kutuhumu kuwa ndugu wa marehemu Kituly hawataki maendeleo ya kesi yao hadi Massawe akamatwe. 
Mwananchi

For Bloggers na Sponsors ..Ipeni Caption then Mjipange

DarSlam

This's Why Google+ is Better than Facebook

So, Google launched its long-awaited new social network Google +. According to rumors, it was she was instantly at the peak of popularity, Facebook moved into second place. According to the site comScore, before users spent 62% more time on Facebook, than on Google and its related sites, which could not possibly please the developers of Google and meant a significant loss in advertising. Former Projects Google, such as Buzz and Orkut, have failed, but a new attempt, a social network Google +, has been very successful and has a good chance to completely replace Facebook.
Google+
1. Slogan «Google Plus» is the simplicity and naturalness, and its positioning as a "simple and easy way to share information with friends." Thus, the main advantages of «Google Plus»:
The first advantage: Privacy. «Google Plus» introduced a special "community" - the specific group of users, so that you can determine for themselves what information and with whom to share.
Google+
2. The second advantage: Facebook offers the option of "friends" - so, basically, you can also determine for themselves what content and for any of your readers is an open question. But the process of forming groups of friends on Facebook is much more complicated than «Google Plus».
Google+
3. The third advantage: «Google Plus» is the perfect addition to the projects Google Map and operating system, Android, which acts on many smartphones.
Google+
4. A fourth advantage: Facebook recently too, "overcrowded". Often in your contact list you can find people, which generally have no idea. According to recent studies, all in a larger number of Facebook users a feeling of unease and insecurity. In addition, the site leaves a lot of users, saying that just because they have too many unwanted contact and receive requests for admission to friends of people with whom to be friends and do not want to communicate. It should also be noted that most U.S. citizens are dissatisfied with where and created a social network. Eloquent proof, is not it?

The fifth advantage: Because the encoding site Facebook is a PHP, to develop applications for the site is problematic. And just in the application of social networks and are most popular.
The sixth advantage: As long as that one advantage of Facebook is that it can create pages of firms and companies to promote their advertising and promotion in the market. But «Google Plus», most likely, too, will soon be possible.

Seventh: In addition, the company Google is elementary more experience than of Facebook, at least by the fact that it exists for a longer time.

Eight: And, finally, the option «Google Plus», as Huddle, which allows you to send messages to groups of friends entirely.
Google+
5. That these eight factors are prerequisites for the enormous success Google Plus. Time will tell whether this will get a new social network development.

Sunderland Kujenga Academy Dar es salaam

Sunderland

Club ya Sunderland ya Uingereza inatarajiwa kuanza ujenzi wa kituo cha michezo "Academy" katika eneo la kidongo chekundu jijini Dar es salaam kwa lengo la kuinua michezo nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi wa biashara wa Sunderland, Gary Hotchinson, alisema ujenzi huo utaanza hivi karibuni kwa kushirikiana na kampuni ya kufua umeme "Symbion Power".
"Academy hii tunataraji kabla ya mwaka huu kuisha tayari itakuwa imeanza kujengwa na huu ni kwasababu ya ushirikiano wetu mzuri na Tanzania kwa kushirikiana na Bodi ya utalii" na aliongea kuwa Tanzania itapata mafanikio makubwa kupitia mpango huu, hasa katika sekta ya utalii.

aidha Hotchinson aliongeza kuwa licha ya kujenga kituo hicho, wanatarajia kutoa mafunzo mbalimbali ya michezo, ikiwemo ya ukocha na kupitia Club hiyo watakuwa wakizileta timu mbalimbali nchini na kuzidi kuboresha sekta ya utalii na michezo.

Nae mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Dk Alloyce Nzuki, alisema wamefarijika na uhusiano huo, ambapo wanaimani kubwa kuwa sekta ya utalii itazidi kupanuka kutokana na ujio wa timu hiyo. 
Mtanzania

Destiny Shapers: The Vinyl Decorators

It is often said a true entrepreneur identifies a gap in the market and sets out to fill it. That truth hit home for Kevin and Mwatibo, a couple who stumbled into a business idea when they wanted to decorate their house, but found no one to do the interior design to their liking. They decided to do it themselves and from then on they have never stopped. in this episode of Destiny Shapers, Kevin takes us through their new found business.

Everything Wrong With Harry Potter & The Chamber Of Secrets

Well after many months of making you wait, we finally return to the Harry Potter series for the second installment, running down the list of sins in Harry Potter & The Chamber Of Secrets. Yes, there were many. Yes, it was more than we expected. No, we aren't doing Prisoner Of Azkhaban next week.

Masanja Akimdhibiti Joti Kwenye Wizi wa Pawa Windo


Tamwauwadaa: Masanja na NGO za dili kupambana na madawa ya kulevya

G.RAMO -AM A RAPPER (Video)

Samba Mapangala & Virunga - Vunja Mifupa. Audio (Congo-Kenya 80's Soukous) Zilipendwa

Late 80's Soukous Classic!
Vocals: Samba Mapangala, Wuta Mayi, Passi Jo
Lead Guitar: Syran M'Benza
Rhythm Guitar: Bopol Mansiamina
Bass: Miguel Yamba
Drums: Komba Bellow, Ti Paul
Percussion: Rudolph

Weird Therapies: Medicinal Stone