Pages

Moto Wateketeza Baa ya Samaki Samaki Mbezi Beach

Moto mkubwa umeteketeza jengo la baa ya Samaki Samaki Mbezi Beach Jijini Dar Es Salaam na kuleta taharuki kwa wamiliki wa majengo jirani jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa mashuhuda,moto huo ulioanza majira ya saa tano umelipuka gafla na kusambaa mara baada ya tingatinga lililokuwa likibomoa kupisha njia ya ujenzi wa bomba kuu la maji toka Ruvu chini hadi jijini Dar es salaam kubomoa sehemu ya mbele ya jengo hilo huku wakilalamikia uchelewaji wa vikosi vya zimamoto na uokoaji

Hata hivyo meneja wa jengo hilo aliyedai kuwepo hapo wakati wa ubomoaji huo amesema chanzo ni ubishi wa opareta wa tingatinga aliyeombwa kubomoa kwa umakini kabla ya tukio kutokana na uhalisia wa jengo kujengwa kwa makuti, nyasi, mbao na miti mikavu huku likiwa na mtandao wa nyaya nyingi za umeme.
Itv imeshuhudia tingatinga hilo likiendelea kubomoa maeneo ya Mbezi beach huku baadhi ya wamiliki wa majengo yanayobomolewa kupisha ujenzi wa bomba hilo wakiiomba serikali kuangalia kwa jicho la upendeleo baadhi ya wamilki wa majengo ambao wanatambulika kisheria wakiutaja kuwa ni uzembe unaotokana na watendaji wa serikali wasiokuwa waaminifu kwa kutoa hati na vibari vya ujenzi.

Madonna Tops Celebrity Rich List -Forbes

Madonna Madonna is the world's top-earning celebrity raking in an estimated £80m ($125m) last year, according to the Forbes rich list. The pop star, 55, beat second-placed Steven Spielberg (£65m, $100m) to top spot, after her MDNA tour grossed more than £190m ($300m).

Spielberg, who had a big hit last year with the film "Lincoln", earned most of his income from his catalogue of past hits, such as "E.T." and "Jurassic Park".
At joint third, with earnings of £60m ($95m), were "50 Shades of Grey" author E.L. James, radio shock jock Howard Stern and music and television producer Simon Cowell.
"Madonna's success, at age 55, just goes to show the incredible power of a successful music career," Forbes reporter Dorothy Pomerantz said.

Forbes compiles its annual list of celebrity earnings using input from agents, managers and producers.
The figures do not reflect tax deductions, agent fees or "the other expenses of being a celebrity".
Madonna's top spot compares with her previous peak of £70m ($110m) in 2009.
But it falls short of the £105m ($165m) taken in by Oprah Winfrey in the previous year, Forbes said.

Talk show queen and media mogul Winfrey took a big pay cut this year according to Forbes, falling to 13 on the list with earnings of £50m ($77m).
Lady Gaga ranked 10th in the list, earning £51m ($80m).

Others in the top 10 included TV host Glenn Beck, director Michael Bay of the "Transformers" franchise, and thriller novelist James Patterson.
skyPatterson is now the best-selling author of all time, Forbes said.
Both Spielberg and Bay also made last year's top 10, though with significantly larger earnings.
The full list of top-earning celebrities can be viewed at www.forbes.com .

Two Men Agree to Marry Same Woman

Residents of Kisimani in Bombolulu Mombasa county have been stunned by an unusual relationship after two men agreed to marry one widowed woman. the two, Sylvester Mwendwa and his "co-husband" elijah Kimani even signed an agreement detailing their dedicated love for the woman,Joyce Wamboi who is a mother of five year old twins.

Kipanya

Kipanya

Pata Blog Zote za Tanzania Zinapatikana Ndani ya Blog Moja (Directory) - Bongo Blogs

Tanzania Directory 
Acha kuzunguka blog kibao bila kupata habari uliyokua unaitafuta,  Blog ni moja tu Bongo Blogs ndio unatakiwa kukumbuka halafu nyinginezo zooote utazipata ndani yake (Bongo Blogs) bofya link upate kujionea mwenyewe.. Bongo Blogs
 http://bongoblogs.blogspot.com
Blog yako ya Taifa

Membe, Warrioba Wazungumzia Uraia wa Nchi Mbili

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amependekeza Diaspora itambulike kikatiba.
Diaspora
Waziri Membe aliyasema hayo alipokutana na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba, ofisi za Tume hiyo zilizopo mjini Dar es Salaam.

Katika mazungumzo yao, viongozi hao walijadili suala la uraia wa nchi mbili ambalo linapiganiwa kwa kiasi kikubwa na Watanzania waishio nje ya nchi (Diaspora).

“Tumekuja kuwasilisha masuala muhimu mawili; moja, uwepo wa uraia wa nchi mbili katika rasimu ya katiba na pili, katiba mpya iruhusu raia yoyote wa Tanzania aweze kuwa na uraia wa nchi nyingine pasipo kuukana uraia wa Tanzania,” alieleza Waziri Membe.

Alisema wizara yake inatambua suala la uraia wa nchi mbili kuwa ni la msingi, ambalo halikugusiwa katika rasimu ya katiba iliyopo.

“Chimbuko la uraia wa nchi mbili lilitokana na wingi wa Watanzania walioko nje ya nchi ambao wanatafuta fursa ya kuwekeza na kuinua maendeleo ya nchi yao,” alisema Waziri Membe.

Aliongeza pia, “Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2005 inawatambua Watanzania hao na kutaka wapewe fursa ya kuwa na uraia wa nchi mbili katika kuinua maendeleo ya nchi.”

Alisema Watanzania hao wamekuwa wakikabiliana na matatizo kadhaa ambayo yanawanyima haki za msingi, kama vile afya, elimu na masuala ya ajira. “Kilio chao kimekuwa kero kubwa kwa vile wakati mwingine wanatibiwa kwa gharama kubwa sana ambazo hazilingani na kipato chao,” alisema Waziri Membe.

Aidha, alisema changamoto hizo zimekuwa chanzo kikubwa cha kuwashawishi Watanzania hao kuchukua uraia wa nchi za kigeni ili kuwawezesha kupata huduma muhimu za kijamii kama vile elimu na afya.

“Hivi sasa sheria yetu haimruhusu Mtanzania kuchukua uraia wa nchi mbili pasipo kuukana uraia wa nchi yake,” alisema Membe, na kufafanua kuwa “Ilani ya CCM inamuhamasisha Mtanzania huyo achangie maendeleo ya nchi yake kupitia uraia wa nchi mbili.”

Waziri Membe alisema Watanzania wakiwa nje wanakosa fursa za kazi zenye kipato kikubwa wasipokuwa na uraia wa nchi hiyo, jambo linalopelekea maisha magumu na kushindwa kujikimu na kuchangia kipato chochote kwa ndugu zao walioko nchini.

“Badala yake, unakuta Watanzania wananaswa na tamaa ya ‘kujiripua’ kwa kubadili uraia wa nchi nyingine zinazokubali uraia wa nchi mbili na kuachana na uraia wa Tanzania,” alieleza Waziri Membe.

Kwa upande wake, Warioba alisema maoni hayo ya uraia wa nchi mbili yamekuwa yakijitokeza katika ukusanyaji wa maoni sehemu mbalimbali na kuongeza kuwa, hofu kubwa ya wananchi ni usalama wa nchi yao endapo uraia wa nchi mbili utaruhusiwa.

Waziri Membe alikuwa ameambatana na Balozi Gamaha, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara, Balozi Bertha Semu-Somi, Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora na James Lugaganya, Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Kwa upande wa Tume mbali ya Warioba, pia alikuwepo Jaji Mkuu Mstaafu Agostino Ramadhani, Makamu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Salim Ahmed Salim, Mjumbe wa Tume, pamoja na Katibu Asaa Rashid na Naibu Katibu wa Tume.
 Na Tagie Daisy Mwakawago, Fatma Salum

The Game - Life After The Math, Documentary

Jayceon Terrell Taylor, better known by his stage name Game, formerly The Game, is an American rapper and actor. As a member of G-Unit, he rose to fame in 2005 with the success of his debut album, The Documentary, which earned him two Grammy Award nominations. Followed by two more successful albums his second album Doctor's Advocate in 2006, and his third album LAX in 2008. Game also runs his own record label The Black Wall Street Records. Since then, he is considered to be a driving force in reviving and bringing back the West Coast hip hop scene, which had been overshadowed by artists from the East and South.[3][4][5] Early life

The Game was born Jayceon Terrell Taylor on November 29, 1979 in Los Angeles, California, and grew up in Compton, California in a primarily Crip gang neighborhood known as Santana Blocc,[6] although he grew up to become a member of the Bloods.[7][8] He was born into a life of gang-banging and hustling. In an October 2006 interview with MTV News correspondent Sway Calloway, Game described his family as "dysfunctional" and claimed that his father molested one of his sisters.[9] When later interviewed, Game stated that at a young age, he recalled seeing both of his parents preparing to do drive-bys. His father was a Nutty Block Crip and his mother a Hoover Crippelette. Drugs and guns were all around Taylor while he was growing up. At around the age of 6, Game stated that a friend of his was murdered in the neighborhood by a teenager, for his clothes and shoes.[10]
At the age of 7, Game went into foster care. In foster care he was teased by other children, he didn't go unnoticed however. Game's intelligence was acknowledged by his caretakers and he usually helped his foster brothers and sisters with their homework. Around 1989, Game met his idol, Eric Wright also known as Eazy-E founder of the rap group N.W.A, this being a defining moment in his life. Game's adolescence was one of many hardships, at 13, one of Game's older brothers, Jevon who was just 17 at the time was shot at a gas station. His brother had just received a record deal. Game stated that he felt his father played a hand in this by not being there and felt that if he had, his brother would not have been shot. Jevon died the day after Game visited him in the hospital promising that things would be better and lost time would be made up. Two years later at the age of 15, teenage Jayceon was removed from the foster care system and back into his mother's home. Taylor and his mother, Lynette, had a tumulutous relationship at first and Taylor's father was no longer around.[10]
Game attended Compton High School where most of the students with gang affiliations were Crips. His older half brother George Taylor III, known as Big Fase 100, attended Centennial High School and was the leader of the Cedar Block Piru Bloods. In high school, Game was beginning to follow in his brother's footsteps. However, Game's natural abilities in althletics led him into a spot as point guard on the basketball team. He also ran track and did various other sports. Game graduated from Compton High School in 1999 and had received scholarship offers from various colleges,[11] Game enrolled at Washington State University on a basketball scholarship. In his first semester, however, Taylor was caught with drugs in his possession prompting the university to revoke his scholarship. He was suspended from athletics in his first semester because of drug allegations. However, the university's athletic department refutes these claims.[12]
It was then that Taylor started fully embracing street life and turning towards selling drugs and running with gangs.[13] Game and his brother Big Fase owned an apartment on the outskirts of Compton in Bellflower. Shortly after moving there, they quickly had a monopoly on the drug trade, but the operation was short-lived. In October 1, 2001, while Taylor was in the apartment alone, he heard a knock on the door at 2 a.m. Expecting a late night sale, Taylor opened the door to see a regular customer. The man, however, was accompanied by two other visitors and a fight ensued between Taylor and another man. Before he was able to reach for his pistol, Taylor was shot execution style by one of the assailants five times. After laying still for several minutes, Game used his cell phone and called an ambulance. Due to the severity of his wounds, Taylor went into a three-day coma.[10

Mkasi Tv with Juma Kaseja na Steve

Young Dee - KIJUKUU [Official Music Video]